Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Uwezo wa kung'amua mazingira yako ni muhimu sana kutiliwa mkazo katika malezi ya watoto. Unakuta mtu yeye ndio first generation educated kwenye ukoo na uzao wa kwanza kuishi mjini... Anajilinganisha kimafanikio na watu ambao Babu zao walizaliwa mijini, na biashara aliamza Babu yake Babu.... Kujitafutia stress tuu
Babu yake Babu babu Yule Babu yake Sasa ndio alianza biashara. Kujiringanisha nao NI kulazimisha stress .
 
Kipara na mvi ni swala la genetic and not about being broke or jobless and other related stuffs.

Maisha hayana kuwahi wala kuchelewa kitu muhimu ambacho MTU anabidi kukipigania to all his lifetime ni kuhakikisha unakuwa sober all the time Kwa kukubali kujifunza kila siku, kujizuia na aina yoyote ya uraibu Kama Pombe, madawa, ngono and etc.

Ukijifunza hivi vitu

Movement vs progress
Speed vs direction.

Watz tupo katika movement Ila hatuna progress we live fucking life paycheck to paycheck and hand to mouth life.

As well tuna speed ya kuharakia mambo Ila hatuna direction yoyote Kuwa wapi tinahitaji kufika na nini tunataka katika MAISHA yetu.


Ikiwa MTU atapata stress Kwa kupata kipara na mvi basi huyo MTU atakuwa hajitambui na hajui anahitaji nini katika aya Maisha .

Na unfortunately Africans wanaishi Kwa kuongozwa na macho ya watu na sio kutoka ndani and this is problem why we are still broke day to day.

Kanuni za Afrika ni ngumu sana Mkuu.
Kuajiriwa tuu Watu wanaangalia vitu vingi ikiwemo Physical appearance ya MTU.
Hata kwenda kuchumbia ni vivyohivyo.

Ni kweli Upara na mvi ni ishu ya kijenetiki lakini huwezi kuvitenganisha na kuzeeka.
Kipara na Mvi ni sehemu ya uzee.
 
Role model wangu kwenye kupambana na mvi na kipara.Sijali.
Screenshot_20240131-100758.jpg
 
Mkuu unanigusa,kipara kimeanza kuniota mwishoni mwa mwaka jana na umri (nina 30 to 40 yrs of old) umesonga,hata gari sina nimeishia kuwa na familia ya wake wawili na mji mmoja,kibaruani kazi tembo mshahara sungura,naishia kujishangaa tu.

Kwa mwanadamu hakuna mafanikio makubwa zaidi ya kuwa na familià.
 
😀😀
Tuulize sisi wenye vipara alafu moja na mbili haikai.
Au kuwa Jobless uone utaelewa nazungumzia nini.
Utatamani ubandike nywele na gundi kichwani
Itakuwa vizuri iwapo ungetujuza kwamba, pamoja na mvi zako, umepiga hatua gani kimaisha?

Familia

Makazi

Kazi/kipato

Kama hivyo vyote vitatu hauna, basi vilevile hauna vigezo vya kutoa ushauri kwa vijana kwa sababu hujafika sehemu nzuri kimaisha ambayo unaweza kupigia mfano.
 
Itakuwa vizuri iwapo ungetujuza kamba, pamoja na mvi zako, umepiga hatua gani kimaisha?

Familia

Makazi

Kazi/kipato

Kama hivyo vyote vitatu hauna, basi vilevile hauna vigezo vya kutoa ushauri kwa vijana kwa sababu hujafika sehemu nzuri kimaisha ambayo unaweza kupigia mfano.

Huwezi kunielewa kama haupo kundi hili
 
Kanuni za Afrika ni ngumu sana Mkuu.
Kuajiriwa tuu Watu wanaangalia vitu vingi ikiwemo Physical appearance ya MTU.
Hata kwenda kuchumbia ni vivyohivyo.

Ni kweli Upara na mvi ni ishu ya kijenetiki lakini huwezi kuvitenganisha na kuzeeka.
Kipara na Mvi ni sehemu ya uzee.
Kweli Ila MAISHA ni zaidi ya kipara na mvi .

Jamii zenye fikra duni Kama Africa ndo huwa zinajikita kutazama mwonekano wa MTU habari za yule mfupi au yule mnene sijui mrefu sana Mara Ana sura personal and some shit stuff huwa zinaongolewa na low minded peoples and not civilized peoples.
 
Mkuu unanigusa,kipara kimeanza kuniota mwishoni mwa mwaka jana na umri (nina 30 to 40 yrs of old) umesonga,hata gari sina nimeishia kuwa na familia ya wake wawili na mji mmoja,kibaruani kazi tembo mshahara sungura,naishia kujishangaa tu.
Yaani maisha taiti harafu unaongeza na mke wa pili duuu aliyekuloga kafa
 
Kweli Ila MAISHA ni zaidi ya kipara na mvi .

Jamii zenye fikra duni Kama Africa ndo huwa zinajikita kutazama mwonekano wa MTU habari za yule mfupi au yule mnene sijui mrefu sana Mara Ana sura personal and some shit stuff huwa zinaongolewa na low minded peoples and not civilized peoples.
Ni kweli kabisa
Ila linapokuja suala la kazi na kuajiriwa umri ni kigezo muhimu sana ili uajiriwe.
Umri utakaoutaja lazima waajiri waulinganishe na Physical appearance yako.
Kuliko vyeti ambavyo unaweza kuchakachua
 
Back
Top Bottom