Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Umeshajiuliza tabia ya dada zako ikoje?

Lakini pia asili ya familia ikoje?
Ingia kwenye maombi else hiyo kitu itajirudia hata kwa wanao na wajukuu
 
Ulitaka wakazalie wapi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£?..
 
Naijua hii shida na huleta masikitiko makubwa sana,sasa imeishatokea muhimu ni kuwasaidia hao dada zako kujenga uchumi wajisimamie maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…