Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye wa kiume bhanaAngalia na wewe usizalie nyumbani mkuu
Ko ali tangaza vita ya mawe, akati ana kaa nyumba ya viooππ€£Tubu kwanza dhambi zako
Ile kampeni ya kataa ndoa uliyoieneza
Naona imeback fire,Tena Kwa wapendwa wako
Aisee pole sana mkuu,
Enyi viongozi wa kataa ndoa, kuweni makini.Kwani ile kampeni yetu ya kataa ndoa ulitaka mlengwa awe nani?
Cc; Liverpool VPN kuna RAIA wako huku haeleweki.
Wanawake wakiwa wajuaji, waongo na wasiojali ..
Shida Jamaa ali kuwa kataa ndoa, wahuni wanacho mjibu ni vitukoπ€£πWanawake wakiwa wajuaji, waongo na wasiojali ..
Watazalishwa na kila aina ya mwanaume
Dah hapa malipo yame fanyika, na chenchi ime baki π€£πHayo ndo malipo ya hapa hapa duniani πππ
Mtoa mada anayaonja maumivu mapema kabisa ..
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKOYani Dada kuzalia nyumbani zaidi ya mmoja ukute na uwezo pia ni mdogoo nyiee Unaweza kuwa mwanaume ila Ukachukia sana wanaume wenzako lakini Msimamo wetu ni ule ule Kataa ndoa[emoji1787][emoji1787]
Wahuni si watu ππ€£πSahizi mtoto anaagiza takeaway tu za SeleBonge π€£π€£π€£
We Jamaa ni snitch Sana π πMama analea Wajukuu 6 na mama zaoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Saa ingine wazazi inabdi uwe mkalii mnoo yani kauzuu hasaa.. Kama unao watoto wengi wa kikee yule wa kwanza akiharibu unamkaziaa asepe aende kwa mwanaume aliempa uja uzito yani unamfungia Milango kabisa..!!
Usi tuite kundi batili, ni chama chenye misimamo thabitiWewe si ni mwanachama wa lile genge la Kataa Ndoa?!!!
Usilaumu maana hayo ndo matunda ya hilo kundi batili !!!
Kwamba mbwai mbwaiLet Dem Boyz eat and run.Piga simu POLISI Ikiwezekana.
##KATAA NDOA
##JALI AFYA YAKO
πππππππππππ Sema kimeumanaawewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu
Wa 3Wapo wangapi?
Kaka niko nacheka kwa nguvu, aisee kampeni ya KATAA NDOA IME BACK FIREπππππππππππππ Sema kimeumanaa
Kikubwa mwanamke lazma awe na special factors. Kama ni mrembo basi pia awe mpole na mtulivu sio chakaramu.Familia anayotoka mwanamke ina mchango mkubwa sana kumpandisha binti soko la kuolewa.
Tazama mabinti wengi wanaotoka familia zilizoelimika.. ama za uchapakazi.
Hao mabinti kuolewa ni fasta sana labda wakatae wenyewe.
Pia wale mabinti wanaokuwaga best student vyuoni.. nao ofa za ndoa wanazipata fasta tu.
Tazama mabinti wale wafanyakazi wa Big 4 auditing firms pwc, kpmg, delloitte , ama ey uone kwa nini wanaolewa fasta. Na wana ofa za ndoa kibao.. sababu kuu ni brain factor
Mna ji fanya kuchagua au sio ππKikubwa mwanamke lazma awe na special factors. Kama ni mrembo basi pia awe mpole na mtulivu sio chakaramu.
Katika hao wanaume waongo, na wewe umo?Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu. Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani wanaume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari, leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno. Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri: tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo. Hasa hawa wanawake wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.