Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.

Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
"Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe."

[emoji115]
Pole kwa kuchelewa kujua mkuu. Karibu!.
 
Kwa miaka ya Sasa nikawaida Sana kuzalia nyumban chamsingi mshukru Mungu kwa kila jambo maana na ndoa nazo siku hz watu wanakaa miezi 6 tu tayari💔
 
Easy man! Pambana lea wajomba zako ayo mambo uwezi jua sirini kulitokea nini.

Wanawake wanazingua ujui tu.
 
We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.

Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
Ni sahihi, hayo majibu huwa wanayatoa sana bila kufikiria kesho mambo yatakuwaje, mambo yakiharibika ndio anajikuta akili inamrudi na kuanza kujutia huku aliyemshauri hana lawana na hana muda naye tena.

Tuwashauri ili tuepukane na lawana za baadae
 
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Katibu wa chama cha wakataa ndoa kauli mbiu yao ni kuzalisha wanawake na kuwatelekeza
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Watu wa Bukoba wanapenda sana mpini wakitongozwa hawawez kukataa.
 
Ni sahihi, hayo majibu huwa wanayatoa sana bila kufikiria kesho mambo yatakuwaje, mambo yakiharibika ndio anajikuta akili inamrudi na kuanza kujutia huku aliyemshauri hana lawana na hana muda naye tena.

Tuwashauri ili tuepukane na lawana za baadae
Yakishampata ataanza kulaum ooh duniani watu wanafiki, hakuna rafiki wa kweli anaona kama kila mtu anamtenga😅
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
hao jamaa si watakuwa wanachama wenzio wa kampeni ya kataa ndoa?
 
Ukiona una m cheat Mungu, aah bas tena we andika umeumia,.
Okoka ndugu, na waambie nao waokoke maana hawako salama,
Okoka kweli kweli maana Kuna walio okoka bandia nao Wana jazwa na kujaza mimba,
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Si wakubwa mmekubaliana kukataa ndoa?
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Kwani wewe umeoa/kuolewa? Ulitumia mbinu gani? La msingi haukubakwa. Waliridhia wenyewe baada ya kuzuzuliwa na magari. Waache walee watoto wao wakimaliza kulea wachukuliwe tena na magari kwenda guest kuzalishwa watoto wengine.
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Naomba namba ya yule ambaye mwanae kashakua kua kidogo ili nifanye naye utafiti kwa nini anadungwa sindano na kila Serengeti boy
 
Habari njema sana hii na haitakiwi waolewe mpaka uzeeni we toa matumizi kwa kina anko
 
Back
Top Bottom