kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
"Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe."We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.
Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
[emoji115]
Pole kwa kuchelewa kujua mkuu. Karibu!.