Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Unaweza Kuta dada zake wametulia, wanasifa zote za kuwa wake. Na wanapata watu wenye Nia kweli na wao wanakuwa tayari kuwa wake na kuwa mama.....

Ila kaka zao wanachezea dada za watu huko.....Karma inarudi. Hapo Sasa inawakuta dada zake, Hadi wadada wanabaki kujiuliza wanakosea wapi na kosa hawalioni.
Si kweli
 
Hi ishu ya wadada kuzalia nyumbani kwao imekithiri Sana vijijini.
Mama analea Wajukuu 6 na mama zaoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Saa ingine wazazi inabdi uwe mkalii mnoo yani kauzuu hasaa.. Kama unao watoto wengi wa kikee yule wa kwanza akiharibu unamkaziaa asepe aende kwa mwanaume aliempa uja uzito yani unamfungia Milango kabisa..!!
 
Sisi wanaume maranyingi tunajuaga tabia za wadada tunaodate nao kama ni mbaya au nzuri,na tukijua dada flani hajatulia,hatumwambii kua anatabia mbaya,ila tunamtongoza ili tupate huduma,na hatumwambii kua tunataka tulale nae tu,hapana bali akiuliza kama tutamuoa,tunamjibu ndiyo,ili tumle tu,ila moyoni tunajua huyu ni kicheche siyo wa kuoa,muda ukienda,mdada anaacha hata kuchukua tahadhari ya kukwepa mimba,mwisho wa siku anaibeba mimba,mwanaume anakataa kumuoa,anasema ntalea mtoto ila siyo kukuoa.
Wadada wengi ambao hawajaolewa na wana watoto,wanajua makosa ambayo wanayo kitabia,na wengine familia zao zinajua kua watoto wao hawajatulia,hivyo hawalaumu watoto wao kutoolewa.MALEZI JAMANI.
Jamaa umeusema ukweli wote.
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Wapo wadada ambao hawataki ushauri au kuheshimu watu wanaowashauri na kuona kuwa wanabanwa/hawapewi uhuru mwisho wake ndio huo, kupewa mimba na kuachwa.

Wito: Wadada muwe waatifu kwa wakubwa zenu pindi mnaposhauriwa au kukanywa kuhusu mienendo yenu.
 
Wapo wadada ambao hawataki ushauri au kuheshimu watu wanaowashauri na kuona kuwa wanabanwa/hawapewi uhuru mwisho wake ndio huo, kupewa mimba na kuachwa.

Wito: Wadada muwe waatifu kwa wakubwa zenu pindi mnaposhauriwa au kukanywa kuhusu mienendo yenu.
We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.

Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
 
Upo sahihi kbsa mkuu, ukienda vijijini utakuta msichana mdogo wa miaka 20 tu Ila amezalishwa Mara mbili, inasikitisha Sana kwa kweli
Mama analea Wajukuu 6 na mama zaoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Saa ingine wazazi inabdi uwe mkalii mnoo yani kauzuu hasaa.. Kama unao watoto wengi wa kikee yule wa kwanza akiharibu unamkaziaa asepe aende kwa mwanaume aliempa uja uzito yani unamfungia Milango kabisa..!!
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Yawezakana dada zako wanarusha sana maji hivyo kupelekea kilimo cha umwagiliaji
 
Dada zetu punguzeni tamaa,anza maisha na mwanaume yoyote mwenye nia ya kukuoa mali na mengineyo ni majaliwa.

Siku hizi ni wachache sana wanaokubali ndoa na mwanaume ambaye anaunga unga kwenye kipato.

Utasikia Nataka mwanaume mwenye kazi au anayejishughulisha na biashara wanasahau kuwa anaweza kwenda kuanza moja kupambana kwenye kuitafuta mali.
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Umepiga utosini
 
Upo sahihi kbsa mkuu, ukienda vijijini utakuta msichana mdogo wa miaka 20 tu Ila amezalishwa Mara mbili, inasikitisha Sana kwa kweli
Yani changamoto sanaa.. Me bi mkubwa alikuwa anasema Ukizalishaa.. Ukizalishwaa aisee jua Mkataba wangu na wew umeishaa haijalishii una hali gani ya maishaa. Utalea mwanao kwa jasho la damu ila kamwe usitegemee utaniletea mtoto hapa.
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Wewe si ni mwanachama wa lile genge la Kataa Ndoa?!!!
Usilaumu maana hayo ndo matunda ya hilo kundi batili !!!
 
Dah! Bi Mkubwa alikuwa mnoko sana
Yani changamoto sanaa.. Me bi mkubwa alikuwa anasema Ukizalishaa.. Ukizalishwaa aisee jua Mkataba wangu na wew umeishaa haijalishii una hali gani ya maishaa. Utalea mwanao kwa jasho la damu ila kamwe usitegemee utaniletea mtoto hapa.
 
Yani changamoto sanaa.. Me bi mkubwa alikuwa anasema Ukizalishaa.. Ukizalishwaa aisee jua Mkataba wangu na wew umeishaa haijalishii una hali gani ya maishaa. Utalea mwanao kwa jasho la damu ila kamwe usitegemee utaniletea mtoto hapa.
Ndio tunahitaji wa mama wenye msimamo kama hao. Hao sasa ndio masuper woman
 
Tamaa ndio inayo ponza sana wanawake , wanaume waoaji siku zote hawanaga kitu...ni hawa hawa wanaojiita wapambanaji ndio hamuwataki ila ndio waoaji sasa
 
Taja kabila na ukanda unaotoka. Kuna kabila wao kuzalia nyumbani nikawaida Sasa ukute unaumia Bure kumbe ni ka utamaduni ka kabila husika.
 
We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.

Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
Mkuu unawajulia sana. Ndo majibu yao hao[emoji10][emoji10][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom