Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Ni wivu tu anao
 
sensible advise, but it's too LATE, wamejifungua salama, so far so GOOD!
 
Imasikitisha sana lkn nawe umejitasmini kwanza ujazalishs mtoto wa mtu uko kwao
 
Hamna mwanangu, sema Jamaa kaandika kwa uchungu πŸ˜†πŸ˜‚
Inauma na utaanza kuona huyo mdogo wako au mwanao ana umeme mdogo kichwani πŸ˜‚πŸ˜‚.
Maana wao huwaza ndoa tu, akiahidiwa ndoa ndoa anadungwa mimba, ndoa ndoa anadungwa nyingine.
Baba mtu ndo kataa ndoa pro max anaumia ndani kwa ndani tu.
 
Wana tako?
 
Inauma na utaanza kuona huyo mdogo wako au mwanao ana umeme mdogo kichwani πŸ˜‚πŸ˜‚.
Maana wao huwaza ndoa tu, akiahidiwa ndoa ndoa anadungwa mimba, ndoa ndoa anadungwa nyingine.
Baba mtu ndo kataa ndoa pro max anaumia ndani kwa ndani tu.
nanunua gun, atakaye mzoea ana kula chuma man
 
Zinaa ni mbaya, Mjueni mwenyezi Mungu kwanza , ukiwa mzinifu kupata ndoa ni kazi kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…