Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Kumekuchaaaa,,sisi tumezaliwa nane na saiv mama ako pregnant ya mapacha 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuchaaaa,,sisi tumezaliwa nane na saiv mama ako pregnant ya mapacha 4
Nyie nae sasa mmezidi, hv ulanzi nao una tabia ya kushuka chini?Kumekuchaaaa,,sisi tumezaliwa nane na saiv mama ako pregnant ya mapacha 4
Hakika momKama una uzao zaa tu ndugu yangu.
Mnaweza kuwa wengi na ikawa afadhali ya aliezaliwa peke yake, ndugu wengi ni wazuri sana mkiwa wadogo ila mkishakuwa wengi ni mtihani.Kuzaliwa na ndugu sio ishu hiyo. Mimi nina ndugu wengi na hata hatuna ushirikiana yaan kila mtu na mambo yake. Muombe Mungu akupe watu sahihi katika maisha yako. Ndugu unawezakuwa nao na hawana faida yeyote
Njoo nikuoe. Lakini wewe umeshakuwa konki wa Jf sitakuweza.Watoto wanne dunia nzima unataka kuijaza peke yako?🤔
nitauliza,,ila namimi nmeunga mkono,nmetafuta koo yenye mapacha wengi nko na 6 months pregnant ya mapacha tatuNyie nae sasa mmezidi, hv ulanzi nao una tabia ya kushuka chini?
Eb ulizianitauliza
Wamesema hapanaEb ulizia
Hamna pombe hapoWamesema hapana
ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume (ni mtoto wa baba.
Nipo hapa,nna watoto wawili tayari bado wawili na wewe.mimi nataka watano,Mmoja nitajua mwenyewe kwa kumtoa.Wengi sanaa wawili! Ndio maana napenda kuolewa na single faza nimkute na watoto tayari ili asiniambie habari za kuzaa watoto 6
Kaburi la mama yao lipo wapi?Nipo hapa,nna watoto wawili tayari bado wawili na wewe.mimi nataka watano,Mmoja nitakua mwenyewe kwa kumtoa.
Wewe ni mtoto wa ngapi kwenye familia yenu?Watoto wanne dunia nzima unataka kuijaza peke yako?[emoji848]
Ilo tuangalie mwakani,nitakuonesha tuKaburi la mama yao lipo wapi?
Wa mwisho! Tumezaliwa wawili mimi na dada yanguWewe ni mtoto wa ngapi kwenye familia yenu?
Bado una nafasi ya kutafuta nduguHakuna kitu kinaninyima Raha maishani kama kuzaliwa peke angu kwenye tumbo Moja🥺
Najua ni mipango ya mungu ila huwa naumia sana
Natamani ningekuwa na ndugu wa Damu hasa wa kike Wa kushare nae mambo yangu binafsi kwenye shida na raha kwa sababu Kuna mambo ambayo kabla mtu huja-share na mzazi au mwenza wako ni lazima umhusishe ndungu yaki., ila ndo hivo ndugu niliyenae ni mmoja na ni wa kiume (ni mtoto wa baba.
Huwa nawaza pindi mungu akiwachukua wazazi nitaishi vipi?
Namuomba sana mungu ANIPE uzao I hope wanangu watakuwa ndugu zangu🥺
Naandika haya nikiwa na masikitiko makubwa coz Kuna jambo linanitatiza hapa ila ndugu wa ku share nae Sina.
Dah!