Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Baki hapohapo ulipo....
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kwani huna akili usijue pa kwenda? Nenda popote katafute badala ya kukaa na kulalamika lalamika. Tumia kichwa na mikono yako utakuja nishukuru siku moja mwanangu.
 
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Wengine tumepitia hiyo Hali mpk SS imetuzoea
Tupo tu hatuna namna
 
Umesoma Uzi wote mkuu?
Yep. Unasema eti ulikuwa ukiamka asubuhi kwa kuigiza wenzako kwenda kuzurura. Utazururaje kama mnyama? Hata wanyama tunawaonea kusema wanazurura wakati wanatafuta chakula. Umenielewa mwanangu?
 
Jaribu kufikiria wale jamaa walikuwa under 🇺🇸 AID, juzi kuna jamaa waliandaliwa kwenda nyanda za juu kusini kupiga kazi, walishaandaa mambo yao, perdiem za kutosha. Mara paap, safari imesitishwa. Ile miradi iliyopo chini ya USAID yote imelala, zile NGO zilizopata kuendesha miradi chini ya marekani...noma na nusu!
Ila hao wengi walishajipanga pesa wanrkula sn ht haziwafikii walengwa
Labda Kwa ambayo ndo walijua wanaanza au Hawana muda mrefu
 
Yep. Unasema eti ulikuwa ukiamka asubuhi kwa kuigiza wenzako kwenda kuzurura. Utazururaje kama mnyama? Hata wanyama tunawaonea kusema wanazurura wakati wanatafuta chakula. Umenielewa mwanangu?
Ndio ni kuzurula sbb huna Cha kufanya
 
Ndio ni kuzurula sbb huna Cha kufanya
Acha kuzurura uanze kwenda kutafuta. Nitakupa mfano, kwanini usianze hata kujitolea badala ya kuzurura? Ukifanya hivyo, niamini, utaanza kupata matunda. Kama uko serious, nitumie anwani yako na qualifications nikuunganishe leo leo na sehemu ya kuanzia.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.

Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu

Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe

Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini

Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari

Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko

Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo

Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato

Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje

Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kazi ni kipimo cha utu
 
Acha kuzurura uanze kwenda kutafuta. Nitakupa mfano, kwanini usianze hata kujitolea badala ya kuzurura? Ukifanya hivyo, niamini, utaanza kupata matunda. Kama uko serious, nitumie anwani yako na qualifications nikuunganishe leo leo na sehemu ya kuanzia.
Mkuu Nina zaidi ya 10 yrs kitaa😃🙌
Yaani tushajitolea tukachoka,tukajaribu bness zikagoma , application za kazi tukachoka
SS ni kutulia kuona inakuwaje
 
Acha tu
10 yrs kitaa ni vile tu,tuna wazazi wanajiweza laa sivyo 🙌
Hapo ni unasema let nature decide itself
Ila naamini iko step Moja utachukua na vitu vitakaa sawa
But 10yrs dah utakuwa na misuli ya nondo to survive the situation 🙌🙌🙌🙌🙌ningechanganyikiwa
 
Hapa Dar wakiona unapendeza tuu wataanza kukupeleleza wajue kazi unayofanya aisee kweli nimeamini heshima kazi

Ila mkuu ulifail wapi wakati kazi za ulinzi zipo kibao tangia enzi na enzi kigezo uwe timamu na mwenye nia ya kazi
 
Daaaah siku Moja nikiwa Sina mishe nikaamua kwenda kujitolea kweny ofisi Moja....nkakatuna na mfanyakazi Amefanya KAZI miaka 10 Cha ajabu ananiomba mim nauli Ile Hali Sina hata mia mfukoni.....
🤣 Duh kwahyo ukakimbia kabisa au uliendelea kupiga kazi
 
Hapa Dar wakiona unapendeza tuu wataanza kukupeleleza wajue kazi unayofanya aisee kweli nimeamini heshima kazi

Ila mkuu ulifail wapi wakati kazi za ulinzi zipo kibao tangia enzi na enzi kigezo uwe timamu na mwenye nia ya kazi

akili hiyo hata sikuwaza aisee maana kama kichwa Kilichanganyikiwa hivi
 
Kwani huna akili usijue pa kwenda? Nenda popote katafute badala ya kukaa na kulalamika lalamika. Tumia kichwa na mikono yako utakuja nishukuru siku moja mwanangu.
Soma Hadi mwisho, kutoka kwangu ilinifanya nipate mishe had Leo nipo kitu kilichonisahidia kwenda mjin nikakutana na mishe
 
Back
Top Bottom