Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Uchumi umekuwa kutoka wapi kwenda wapi na wakati upi??? Tulikuwa uchumi wa chini wa kati, saivi tupo wapi??? Thibitisha huo ukuaji wa uchumi kwa fact.Hayo yote ndio yanafanya uchumi unakua na Ongezeko ni muhimu Ili kukuza uzalishaji.
Dormant prices don't grow mwisho Ongezeko Hilo ni dogo sana kulinganisha na fursa zilizozalishwa kwenye maelfu ya Ajira,nafuu iliyoletwa Serikali kwenye Elimu,Afya, biashara na uwekezaji.
Ndio maana with those unaita Ongezeko still the economy is growing very fast.It would have been the case if the econy would be stagnant or not producing employments as it was the case awamu ya 5.
Ongezeko la tozo limepelekea anguko la biashara ya miamala,
Nishati ya umeme isiyo ya uhakika imepelekea viwanda kutumia mafuta ambayo gharama iko juu na hatimae kuwa na product zenye gharama kubwa ambazo zinepelekea mauzo kushuka.
Gharama kubwa ya mafuta imepekea kuelemea biashara za usafirishaji nchini
Uchumi wa mtu mmoja mmoja umeathiriwa na gharama kubwa za maisha, gharama kubwa za bidhaa, gharama kubwa za nishati, gharama kubwa za usafirishaji.
Uchumi upi unaozungumizia wewe? Umekuzwaje??? Unakuzwa na nani kwa mazingira kama hayo???