Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Hii nchi ni kubwa sana, unapolia shida ya umeme wengine tulipo hakuna shida kabisa.

Tanesco hawa hawa ndo watoa huduma.
 
shida yetu ya umeme siku zote imekuwa ni Uhaba wa maji.
Leo hii tunapata mvua nyingi haijawai tokea lakini Umeme unaendelea kuwa Mgao kama kawadia.
Ni aibu sana. Natamani kujuwa wanufaikaji wa aya matatizo
Endeleeni tu kumlilia.
Ila hakuna namna ukitaka kumpata mfuate tu...
 
Tanesco ni Shirika ambalo asilimia 99 watumishi ni wagalatia, hakuna Cha maana wanachojua zaidi ya wizi tuh na hawana tija Wala ubunifu wowote

Epuka imani za kidini ziinazohalalisha uhalifu..
 
Hii nchi ni kubwa sana, unapolia shida ya umeme wengine tulipo hakuna shida kabisa.

Tanesco hawa hawa ndo watoa huduma.
Ww uko wap !? Dar watu wanalia umeme ,Mwanza ndio kbs ,Dodoma ndio nnapoishi mm shda tupu sasa wameshindwa kuwa na umeme miji hyo ije kuwa Geita sjui Moshi wanazngua wapuuz tu
 
shida yetu ya umeme siku zote imekuwa ni Uhaba wa maji.
Leo hii tunapata mvua nyingi haijawai tokea lakini Umeme unaendelea kuwa Mgao kama kawadia.
Ni aibu sana. Natamani kujuwa wanufaikaji wa aya matatizo
Hata wakati wake umeme ulikuwa unakatika sema watu walikuwa wanakaa kimya tu
 
Oyah acheni kelele hii ndio Tz tunayoijua sisi ile ya JPM haikuwa Tz tulsingziwa ,Tz tangu lin tuwe na umeme wa kudumu ,Tz tangu lin tuwe nchi ya raha!? Hii ndio Tanzania halisi
 
Umeme ni sehemu ya engine ya kuendesh uchumu wa nchi,kama kuna shida kubwa ya umeme basi umasikini wa wananchi utaongezeka lakini pia serikali itakosa mapato. hili ni jiwe moja ambalo linaua zaidi ya ndege wawili kwa wakati mmoja. Tatizo hapa ni chama cha mapinduzi na serikali yake kwa ujumla,they know kwamba hawawajibiki kwa wananchi kupitia chaguzi huru ndiyo maana they dont give a https://jamii.app/JFUserGuide abou people's suffering.

Imagine shida ya mgao wa umeme ilivyokua kubwa hivi halafu kuna wajinga wanaimba mama anaupiga mwingi,wengie wanajitolea kumchangia kuchukua fomu,huwa najiuliza hawa watu wanafikiria kwa kutumia nini? mfumuko wa bei upo juu kupita kiasi,umeme,maji,uhalifu nk,huu mzigo wote wa matatizo ni wa Samia Suluhu Hassan na chama chake. Tungekua na chaguzi za haki hawa watu wangekua wana sweat kuifikiria 2025 maana wangejua hawachomoki.
 
Bwawa la mtera lipo Iringa, mvua zinapiga daily Iringa, cha ajabu Iringa hainufaiki na hili bwawa, kila siku ni mgao hapa town!
Wee kumbe ni mavie kabisa kwasababu bwawa limejengwa kwenu unata iringa ndo muwe wafaidika wakuu putumbu lako wew
 
Lkn mkuu wao ambae ndio alipaswa kuwaonya hao wagalatia ni wa upande wa kobaz
Wagalatia hata aje kiongozi Gani wameshindikanika, mbaya zaidi pesa hizo hizo za wizi zinasubiriwa na mwamposa na kadinali pengo wakatoe sadaka,hovyo kabisa majizi hao
 
shida yetu ya umeme siku zote imekuwa ni Uhaba wa maji.
Leo hii tunapata mvua nyingi haijawai tokea lakini Umeme unaendelea kuwa Mgao kama kawadia.
Ni aibu sana. Natamani kujuwa wanufaikaji wa aya matatizo
Na wewe umefanya nini?

Au ndio walewale wa kusubiri kudura?
 
shida yetu ya umeme siku zote imekuwa ni Uhaba wa maji.
Leo hii tunapata mvua nyingi haijawai tokea lakini Umeme unaendelea kuwa Mgao kama kawadia.
Ni aibu sana. Natamani kujuwa wanufaikaji wa aya matatizo
Muulize Makamba jr na Maharage wao wanajua kila kitu !
 
Ishazungumzwa lizy mmiliki sheli,abdul kampuni ya solar,waziri mwenye dhamana kampuni ya majenereta lazima tukione cha mtema kuni ila hatufi kwa shida ya umeme.
 
It is has if ...Kwani lazima uongee kingreza??
 
Aliyesababisha Hadi Sukari kutoa 1500-2000 Hadi 3000-3500 ni Magufuli.

Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.

Hakuna wakati wowote Nchi hii Iko pazuri kushinda awamu ya 6,Kumlinganisha mtu aliyepora pesa za wafanyabiashara na Watumishi Kwa sababu ya kufilisika ni kumkosea heshima Samia.

Mwisho hakuna mtu anakukataza kumuwaza Mwendazake,wenzako wanaomtumia kama.kete ya siasa Kwa wajinga wewe unamkumbuka kushinda Muumba wako,hapo ndipo laana itakutafuna.
Mpumbavu ktk ubora wako.
 
Mnajitoa ufaham eeh,SI mlikuwa mnalia hapa enzi za jiwe na kusaga meno na kusema sadaka makanisani zimepungua?wezi wakubwa kumbe nyinyi Kisha mnakimbilia kutoa sadaka makanisani
kutoa sadaka makanisani

Sikujua kuwa ukitoa sadaka makanisani maisha ya watu uchumi hutulia.

Hilo umelisema wewe

Mimi nimesahau majina ya wale kila wakiingia madarakani kila mtu anafanya yake. Bei za vitu hupanda, majenereta kila kona yanapiga kelele kwa ukosefu wa umeme.

Nikipata majina yao nitakujuza.

Ni hatari sana wale!!
 
Back
Top Bottom