Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Miaka aliyotawala ni michache sana na Angalau aliweza kujenga hicho alichokijenga. !
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni !
Msema kweli mpenzi wa Mungu .
Lakini pia alikuwa na mapungufu yake kama binadamu !πŸ™πŸ™
Ni nani aliyekaa miaka mingi na hakufanya kitu? Nitajie Rais yeyote kati Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwette.

Kama umezaliwa baada ya 1990s nitakuelewa. Ila kama umezaliwa 1980s and before utakuwa na mtindoo wa ubongo
 
Asingekufa mwamba lami ingekuwa imefika hapa kwetu na kupita kwenda huko kituo cha treni mpya.

Japo uliniumiza mahali ila ninakukumbuka

Rest very Easy Mwamba
 
Asingekufa mwamba lami ingekuwa imefika hapa kwetu na kupita kwenda huko kituo cha treni mpya.

Japo uliniumiza mahali ila ninakukumbuka

Rest very Easy Mwamba
Mkuu, wewe leo umekuwaje chief, ni wewe mwenyewe kweli au wezi wa I'd wamekufanyia uhuni?
 
Ni nani aliyekaa miaka mingi na hakufanya kitu? Nitajie Rais yeyote kati Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwette.

Kama umezaliwa baada ya 1990s nitakuelewa. Ila kama umezaliwa 1980s and before utakuwa na mtindoo wa ubongo
Mwenye macho haambiwi tazama !
Huo ni mtazamo wangu tu ! πŸ™πŸ™
Mimi nimezaliwa 1951 πŸ™πŸ™
 
Inashangaza watu wanaponda utawala wa Magufuli, na wakiona huu wa sasa ni bora zaidi. Unafiki.
 
mhhhh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…