‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

Ni kweli kabisa ,wakati huu kufikia ndoa ni kugumu maana ndoa zimekuwa zikipanga baada miaka miwili au mitatu ebu tuelezane nani anaweza kusubiri ndani ya miaka hiyo mitatu kama si kudanganyana huku
Why iwe miaka yote hiyo?
 
Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.

Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?

Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,

Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa

Chaguo ni lako......
Mwanamke kukoma hadi ndoa ni njia rajisi zaidi yakuolewa kuliko kuruhusu chovya chovya kwa kila anaekuja
 
Je ni wanaume wangapi tutavumilia hadi ndoa?
mie babu huwa siwezi na mwanamke huwa akinianziaga sijui bikra sijui sikupi mashine mpaka ndoa ,huwa namwachaga pale pale ,..
Huwa siwezi kujihadaa nafsi yangu na stakigi niwe mnafki tena wa nafsi yangu
 
Sheria za MUNGU hazibadiliki jana, leo, hata milele.
Inabidi tu tukubali ukweli tu sio dunia ya sasa au ya zamani.
Ni kweli kabisa na hili wala sitokuwa mtovu wa adamu kuanza kulipinga ,ila nachoangalia kuna mahali tumekosea na huwa hizi sheria tunaziangalia upande mmoja na ndomana zinakuja kurudhuru mbeleni
 
mie babu huwa siwezi na mwanamke huwa akinianziaga sijui bikra sijui sikupi mashine mpaka ndoa ,huwa namwachaga pale pale ,..
Huwa siwezi kujihadaa nafsi yangu na stakigi niwe mnafki tena wa nafsi yangu
Hupendi mchezo² kabisa
 
Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.

Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?

Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,

Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa

Chaguo ni lako......
Sio kweli wapo wanapewa na bado wasaliti.mi mmoja wapo nimesalitiwa Jana tu hpa bado na machungu nimetoka kumsemea kwa mama yake amkanye mwanae.mie hatuongei kimenuka.
 
Oyaa ni wewe ndo umejenga nini?
Hahaha hapana aiseee ,yaan mimi binafsi siwezi huwa nakumwaga hapo hapo stakagi maigizo ya kujiigiza mwenyewe ,huwa ni mkweli wa nafsi yangu ,maana nakula nashiba huwa siwezi kuvumilia
 
Why iwe miaka yote hiyo?
babu sasaivi bila M1 hupati mke hiyo mahari ya chini bado gharama za sherehe aisee ni balaaa unaweza kujikuta unanyanya walau hata vyumba viwili
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ni kweli kabisa na hili wala sitokuwa mtovu wa adamu kuanza kulipinga ,ila nachoangalia kuna mahali tumekosea na huwa hizi sheria tunaziangalia upande mmoja na ndomana zinakuja kurudhuru mbeleni
Kweli kabisa mzee ila sema ndio tumeshajivuruga.
 
Kweli kabisa mzee ila sema ndio tumeshajivuruga.
Ni kweli maana wanawake wanalitumia hili la kutokukupa papuchi mpaka ndoa si kwa ajili ya dini imesema ,hapana ila kwa maslahi yao ,na utakuta anakunyima ww kuna bwege anajilia mzigo kiulaaani
 
Sio kweli wapo wanapewa na bado wasaliti.mi mmoja wapo nimesalitiwa Jana tu hpa bado na machungu nimetoka kumsemea kwa mama yake amkanye mwanae.mie hatuongei kimenuka.
Sijakataa kwamba haya mambo yapo tatizo huwa tunachanganya mambo ,yaani kwanza tunachobugi katika kuchagua au kuangalia huyu ana nia au hana ila mambo yanapoharibika mazi tunakuja kutia lawama wanaume wote na kuwaekea vikwazo hata wale ambao wanania kweli
 
Back
Top Bottom