‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

Ni kweli maana wanawake wanalitumia hili la kutokukupa papuchi mpaka ndoa si kwa ajili ya dini imesema ,hapana ila kwa maslahi yao ,na utakuta anakunyima ww kuna bwege anajilia mzigo kiulaaani
Hapo panaumiza sana
 
Bint ndo mpanga mahari si wazazi
Kama anajua changamoto zako hatakulipua
kwani shida iko kwa bint tatizo wazazi na wengi wamekuwa wakitegemea mahari kufanya shughuli ya bint yao ,hapo ukiachana na makorocho ya mila zao ni hatar kingozi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ni kweli maana wanawake wanalitumia hili la kutokukupa papuchi mpaka ndoa si kwa ajili ya dini imesema ,hapana ila kwa maslahi yao ,na utakuta anakunyima ww kuna bwege anajilia mzigo kiulaaani
Hapo ndio inakuwa jau wewe unakaziwa hafu nyau mwingine anabembelezwa kula papuchi.
Drama juu ya drama
 
Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.

Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?

Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,

Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa

Chaguo ni lako......
Umenikumbusha mbali sana mkuu.!
Kuna kademu nilitakaga kukaoa mwaka juzi ikawa kila akija kunitembelea gheto anagoma kutoa "ufa" kisingizio bado bikra nikasema poa nikaanza kugharimia mwisho wa siku nikaanza maandalizi ya kutuma wazee mwao lakini nikamwonya kwamba iwapo tukimaliza harusi nikikuta sio bikra ntaumia sana na hata kumwacha maana sipendi mke mwongo ni bora kuwa nkweli mapema ili hata kama ametumika nimwoe huku nikijua.
Siku mbili kabla ya wazee kwenda kwao alikuja gheto na kuniambia wazazi wake wameshajiandaa kupokea wageni ila kuna kitu kinamnyima raha kabisa.!
Kumuuliza ni kitu gani akasema eti nimsamehe kwa kunidanganya kuwa ni bikra ukweli ni kwamba aliwahi kufanya mara moja.!
Nilifikiria kipindi chote nahudumia hajawahi kunipa hata "tako moja"
kwa kisingizio cha bikra.!
Siku hiyo ilibidi anipe japo kwa shingo upande "nilimkanyaga" kiroho mbaya ila nilichokikuta..[emoji86]
Lile sio shimo yaani nilihisi naelea sigusi hata ukuta.!
Nikahamia kwenye ule mtandao wa watu wa Dar "Halichachi"
Huko nako nikakuta walishatumia sana mpaka nikahisi nimeingiza kwenye kikombe.!
Sikumbuki kilichoendelea ila nasikia siku hizi kaolewa na askari polisi mmoja hivi.[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Je ni wanaume wangapi tutavumilia hadi ndoa?
Yesu mwenyewe tunamngoja mpaka Leo sembuse hawa viumbe tena kwa uongo wa bikira. Hawa watu ni sawa na supu unaambiwa haijatiwa maji kumbe muuzaji ashatia maji Mara tatu. Ukisubiri inakula kwako lazima ionjweee
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu.!
Kuna kademu nilitakaga kukaoa mwaka juzi ikawa kila akija kunitembelea gheto anagoma kutoa "ufa" kisingizio bado bikra nikasema poa nikaanza kugharimia mwisho wa siku nikaanza maandalizi ya kutuma wazee mwao lakini nikamwonya kwamba iwapo tukimaliza harusi nikikuta sio bikra ntaumia sana na hata kumwacha maana sipendi mke mwongo ni bora kuwa nkweli mapema ili hata kama ametumika nimwoe huku nikijua.
Siku mbili kabla ya wazee kwenda kwao alikuja gheto na kuniambia wazazi wake wameshajiandaa kupokea wageni ila kuna kitu kinamnyima raha kabisa.!
Kumuuliza ni kitu gani akasema eti nimsamehe kwa kunidanganya kuwa ni bikra ukweli ni kwamba aliwahi kufanya mara moja.!
Nilifikiria kipindi chote nahudumia hajawahi kunipa hata "tako moja"
kwa kisingizio cha bikra.!
Siku hiyo ilibidi anipe japo kwa shingo upande "nilimkanyaga" kiroho mbaya ila nilichokikuta..[emoji86]
Lile sio shimo yaani nilihisi naelea sigusi hata ukuta.!
Nikahamia kwenye ule mtandao wa watu wa Dar "Halichachi"
Huko nako nikakuta walishatumia sana mpaka nikahisi nimeingiza kwenye kikombe.!
Sikumbuki kilichoendelea ila nasikia siku hizi kaolewa na askari polisi mmoja hivi.[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Dah hahahaha aisee nihatari ndomana nakwambia hawa watu sio wakuwachukulia dhamana kabisa ,maana kila mtu anajifanya mgeni ila siku ikila mzigo ndo unakuja kugundua ni mwenyeji kabisa
 
Kuonjana lazima aisee! Bikra yenyewe sina sasa navunga nini?
 
Back
Top Bottom