Why iwe miaka yote hiyo?Ni kweli kabisa ,wakati huu kufikia ndoa ni kugumu maana ndoa zimekuwa zikipanga baada miaka miwili au mitatu ebu tuelezane nani anaweza kusubiri ndani ya miaka hiyo mitatu kama si kudanganyana huku
Mwanamke kukoma hadi ndoa ni njia rajisi zaidi yakuolewa kuliko kuruhusu chovya chovya kwa kila anaekujaNaomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.
Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?
Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,
Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa
Chaguo ni lako......
mie babu huwa siwezi na mwanamke huwa akinianziaga sijui bikra sijui sikupi mashine mpaka ndoa ,huwa namwachaga pale pale ,..Je ni wanaume wangapi tutavumilia hadi ndoa?
why wanatudanganya sasa ,huwoni huwa inaleta sitofahamu mbele ya safari?Ma-binti nowadays bikra zao wanazaliwa zimekwisha toweka believe me.
umeona eee na ndo pale unakuja kuona huna furaha na ndoaNdo ivyo sio tunapigishana mark time at the end unakuta mwenzio ana madhaifu ya hapa na pale.
Ni kweli kabisa na hili wala sitokuwa mtovu wa adamu kuanza kulipinga ,ila nachoangalia kuna mahali tumekosea na huwa hizi sheria tunaziangalia upande mmoja na ndomana zinakuja kurudhuru mbeleniSheria za MUNGU hazibadiliki jana, leo, hata milele.
Inabidi tu tukubali ukweli tu sio dunia ya sasa au ya zamani.
Hupendi mchezo² kabisamie babu huwa siwezi na mwanamke huwa akinianziaga sijui bikra sijui sikupi mashine mpaka ndoa ,huwa namwachaga pale pale ,..
Huwa siwezi kujihadaa nafsi yangu na stakigi niwe mnafki tena wa nafsi yangu
Sio kweli wapo wanapewa na bado wasaliti.mi mmoja wapo nimesalitiwa Jana tu hpa bado na machungu nimetoka kumsemea kwa mama yake amkanye mwanae.mie hatuongei kimenuka.Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya Sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya Sex kwa muda mrefu ,tofauti na mwanaume ,
Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya Magumu na watoto wa kike la kutokufanya Mapenzi mpaka ndoa.
Kidini na kimaadili ni jambo jema na liko Sahihi kabisa.
Shida inapokuja kwa Dunia ya sasa tuliokuwa nayo imekuwa ni shida na ni gumu jambo hili kutekelezeka ,na limejikuta likiwaacha wadada wengi wakilia na kusaga meno kwa sababu mbali mbali,
Wapo ambao wengi husingizia wao ni bikra na hawatofanya mpaka waolewe.
Yupo dada mmoja alijinasibu kuwa yeye ni bikra na hatoe penzi mpaka aolewe ,jamaa alijikusuru na kubebea mzigo akidhani bint anayemuowa ni bikra matokeo yake alikuta tofauti na jamaa alishindwa kuvumilia na kumwacha mwanamke ,Nilipokuwa nimekaa na yule bint na kumuuliza kwanini aliamuwa kumwongopewa mshkaji kwamba ni bikra na hampi mpaka amuowe ,jibu aliniambia amechoja kuchezea alifanya hivyo ili aolewe ,swali nililomuuliza haya umeolewa na je umedumu katika ndoa?
Ukweli usio pingika hakuna mwanaume anaweza kuvumilia hili jambo na kama wapo ni wachache na wengi wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ,Na kama basi ataweza kustahamili mpaka ndoa basi kaaeni fika mkijua kuna sehemu anapunguza ugwadu ,
Binaadamu yeyote anayekula akashiba na hasa vyakula hivi vyetu vya kisasa ,lazima matamanio yaje ,Tuache kuigiza tuje kwenye uhalisia kama umempenda mtu basi mpe haki yake laasivyo jiandae yafuatayo;
1: kusalitiwa ,
2:Au kuachwa kwenye mataa
Chaguo ni lako......
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Heee makubwa kumbe kishawaka huko?.Mmeamua kuhamishia ugomvi wenu MMU ee
Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa.
Hahaha hapana aiseee ,yaan mimi binafsi siwezi huwa nakumwaga hapo hapo stakagi maigizo ya kujiigiza mwenyewe ,huwa ni mkweli wa nafsi yangu ,maana nakula nashiba huwa siwezi kuvumiliaOyaa ni wewe ndo umejenga nini?
babu sasaivi bila M1 hupati mke hiyo mahari ya chini bado gharama za sherehe aisee ni balaaa unaweza kujikuta unanyanya walau hata vyumba viwiliWhy iwe miaka yote hiyo?
Kweli kabisa mzee ila sema ndio tumeshajivuruga.Ni kweli kabisa na hili wala sitokuwa mtovu wa adamu kuanza kulipinga ,ila nachoangalia kuna mahali tumekosea na huwa hizi sheria tunaziangalia upande mmoja na ndomana zinakuja kurudhuru mbeleni
yah sikatae mkuu ila kuna maisha baada ya kuolewa na wengi ndipo wanafeli hapoMwanamke kukoma hadi ndoa ni njia rajisi zaidi yakuolewa kuliko kuruhusu chovya chovya kwa kila anaekuja
Wapi huko mahari mil 1?babu sasaivi bila M1 hupati mke hiyo mahari ya chini bado gharama za sherehe aisee ni balaaa unaweza kujikuta unanyanya walau hata vyumba viwili
Ni kweli maana wanawake wanalitumia hili la kutokukupa papuchi mpaka ndoa si kwa ajili ya dini imesema ,hapana ila kwa maslahi yao ,na utakuta anakunyima ww kuna bwege anajilia mzigo kiulaaaniKweli kabisa mzee ila sema ndio tumeshajivuruga.
Sijakataa kwamba haya mambo yapo tatizo huwa tunachanganya mambo ,yaani kwanza tunachobugi katika kuchagua au kuangalia huyu ana nia au hana ila mambo yanapoharibika mazi tunakuja kutia lawama wanaume wote na kuwaekea vikwazo hata wale ambao wanania kweliSio kweli wapo wanapewa na bado wasaliti.mi mmoja wapo nimesalitiwa Jana tu hpa bado na machungu nimetoka kumsemea kwa mama yake amkanye mwanae.mie hatuongei kimenuka.
Yaan stakagi maigizo mkuu [emoji4] [emoji4] [emoji4] maisha yenyewe magumu kwanini tupasuane kichwaHupendi mchezo² kabisa
Na hakuna msimamo usiokuwa na gharama na hilo pia usisahau kuwaambiaWe km ni mwanamke SIMAMIA UNACHOKIAMINI.hakuna kizuri kilicho na Njia fupi/kijacho Kirahisi
babu hiyo ishatokea kwa wana kibao kitaa hapaWapi huko mahari mil 1?