Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Braza ulifika mkurnga kufanya nn we mzee wa totozi?? 😂😂Kuna mwaka nilienda Mkuranga tu Apo,
Tulikua tunatafta chumba Cha kupanga,
Kuna nyumba tulikuta chumba Ni elfu 3 kwa mwezi,
Na aliyekua anaishi hapo,
Alipewa notsi ya kuhama kwa kushindwa kulipa Kodi ya miezi 3 mfululizo, yaani shilling elfu 9 tu.
Aya maisha KILA MTU anaishi kwa LEVEL YAKE