Hakuna maisha magumu Zama hizi; kilichopo ni watu kutaka usawa

Braza ulifika mkurnga kufanya nn we mzee wa totozi?? 😂😂
 
Kiukweli karne hii watu kama Maasai wa ngorongoro huenda wao wanaona maisha marahisi sana kuliko sisi tunavoona wanapata taabu..

Mtu ukiwa hauko exposed na vitu vingi Maisha huwa easy sana,,,kuridhika pia huja... na kujikuta unaishi Maisha ya Level zako
 


Ni kweli Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…