Hakuna mantiki kutoa ajira kwa usawa baina ya wanawake na wanaume ilihali mzigo wa kutunza familia unabaki kwa mwanaume

Yaani wao ni kupokea tu, za kwake yeye anataka abadilishe smartphone kila toleo jipya analo...
 
Yaani wao ni kupokea tu, za kwake yeye anataka abadilishe smartphone kila toleo jipya analo...
Shida tupu. Ngumu sana. Wanawake wamekuwa rabid beggars kupitia meseji na watakuelemea na shida zao zote za hela kuanzia hela ya bando, lunch, kusuka, kodi, biashara na ina progress from thereon kutegemea unavyo respond. Ni parasites wabaya mno watakuganda na hadi akili yako iikae vizuri utakuwa ushapoteza mamilioni. Kwa wanawake ni always a winning transaction ilhali kwako ni hasara tu
 

Mbona hizo saving hatuzioni

Zinaishia kwenye kucha, nywele, na ma shughuli.

Kwa hiyo nyinyi mkihudumia mama zenu ni sawa ila sisi tukihudumia mama zetu ni nongwa.

Wanawake ni wabinafsi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 


Umepuyanga,

Inabidi hii 50/50 ianze na kwenye kutoa hela.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona unawajaza tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwacha mke utaona quality of life yake itaporomoka ghafla. Na ukimwachia watoto ukasepa zako hapo ndiyo utakuwa umemmaliza kabisa hadi kifo.

Halafu wanajimwambafy eti wanatafutia watoto.

Na ukimwacha quality of life la mwanaume linaongezeka.

Itoshe kusema mwanaume ndio industry inayotoa ajira nyingi kuliko serikali katika sekta zake zote.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi wanaume tushtuke tuachane huu unyonyaji.

Si wametaka 50/50 ...tuweke mzani sawa sasa, weka buku niweke buku, tuache ujambazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ajira na mishahara inatolewa Kwa mtu binafsi na kulingana na Makubaliano. Mambo ya Ndoa na matumizi ya wanandoa hayajadiliwi na waajiri. Hayo ni mambo binafsi ya Watu. Ingawaje sheria zipo wazi kuwa MKE amhudumie Mume, na Mume amhudumie MKE. Hiyo ni sheria.

Kiutamaduni Mwanamke anatakiwa kuhudumiwa na mumewe, lakini ni aibu Kwa mwanaume kuhudumiwa na Mkewe. Hiyo ni kiutamaduni. Lakini kisheria haipo hivyo.
 
Wewe unaeleza sheria zilivyo, wakati mimi nimekuambia jinsi zinavyotakiwa ziwe. Kwani nani kabisha kwamba sheria zipo hivyo?
 
Wewe unaeleza sheria zilivyo, wakati mimi nimekuambia jinsi zinavyotakiwa ziwe. Kwani nani kabisha kwamba sheria zipo hivyo?

Kaskazini Wanawake wanahudumia familia kama wanaume. Hivyo ishu uliyoieleza ni ishu inayotegemeana na jamii MTU aliyepotoka.ukioa Mwanamke tegemezi hata sheria iweje bayana hautabadili chochote.

Mbona kuna wanaume licha ya kulipwa mishahara lakini hawataki kuhudumia familia? Wengine wanatelekeza kabisa. Ilhali Sheria za dini, Mila na sheria za nchi zinawatakq kuhudumia MKE na Watoto
 
Nadhani hizo zitakuwa ni micro-deviations za baadhi ya jamii, lakini generally, as a principle of nature , masculinity in ana inherent trait ya kuwa provider, hayo mengine ni ukengemfu. Hiyo ni sawa na kusema wapo wanaume wanaolewa, ni sawa ila huo ni ukengemfu kwa baadhi ya jamii chache sana, ila si Tz hii.
 

50/50
Isiishie kwenye mishahara sasa. Bali mpaka majukumu yawe Sawa. Nafikiri unamaanisha hivyo.
 
Jamaa ana hoja ambayo inatakiwa isapotiwe na kila mwanaume mwenye uanaume lakini nashangaa Feminist wakiume wanakaza vichwa Dunia ilipofikia tatizo la ukosefu wa ajira na mitaji ni kubwa sana na mwanaume ndie provider kwenye familia you can imagine wanaume wanavyopata shida.

Kuna group la ajira za uwalimu tamisemi jana niliona post kapoti mwanamke anasema
“Na nisipopata ajira hii pia bora tu niamue kuolewa”

Unaona mwanamke kuingia kwenye ndoa ni suala la kuamua tu haangalii uchumi hata awe hana ajira hana mia ila kuna mwanaume ataamua hivyo inamuhitaji kwanza awe na kipato kwahio unaona wanaume hawa wanapambana wapate ajira japo waoe lakini katika mpambano wanapambana na wanawake wa aina hii ambao bila hata ajira wanauwezo wa kuingia kwenye ndoa tu YOU SEE kila mtu anataka pesa maisha magumu ila motive ya mwanaume kusaka na kupata ajira, mtaji nk ipo juu sana once yeye ni provider in nature.

Hii impact yake huwezi iona moja kwa moja ila nenda kwenye taasisi za ndoa ujue nowdays ndoa zinavyovunjia kisa ukata wa uchumi kwa mwanaume(provider), vijana hawaoi kabisa maana ni ufal**

Unawawekaje 50/50 kwenye ajira mwanaume na mwanamke aisee

Ninyi wanaume munaopinga wacheni kushiboka upande wa wanawake Wanawake hua aikuzoye wanasimama upande wao kwenye agenda kama hizi wanajari prosperity yao ila wanaume baadhi wamekuwa wajinga Sana kuahobokea feminism mwanaume simama na masculinity wanaume tunakula msoto Duniani kwaajiri ya kuyarinda haya maia ila mwanaume mjinga unasimama kupetipet agenda za kike

Technical hakuna mwanamke jobless mwanamke hata akiwa jobless anakuwa na maisha anahongwa, apewi kioaumbele kuhudia home ila mwanaume ukiwa jobless full of hell
 
50/50
Isiishie kwenye mishahara sasa. Bali mpaka majukumu yawe Sawa. Nafikiri unamaanisha hivyo.
Natural order of things imeweka barrier ya majukumu, shida ipo hapo, baba ndio mlezi na mlinzi wa familia, na hii ni God given natural instinct ya viumbe karibu wote wenye masculine identification, hatuwezi kulazimisha majukumu ya kiume yawe sawa na kwa mwanamke.., tufuate utaratibu wa asili ambao wote tunaujua ndani yetu. Mama alee watoto, baba atafute, familia imara na bora ni za namna hiyo.
 
mleta uzi ana hoja za msingi asipuuzwe maana kwa umri nilionao hadi sasa sijaona mwana beijing ambaye anahudumia familia kindakindaki kwa sababu ana kipato cha kueleweka, kimsingi wanawaza nywele mafuta ,lotion vipodozi etc. Hakuna hata mmoja ambaye anabeba majukumu ya msingi ya familia ni mauzauza tu, ndio maana hata maandiko yanasisitiza kwamba Baba ndio Kichwa cha familia sasa hawa wa haki sawa wanaharibu sana mambo.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 

Dunia Kwa sasa iko corrupted.
mungu wa dunia yeye mfumo wake haupo kama wa Mungu muweza wa yote.
Hivyo kila MTU apambane na hali yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…