Hakuna marefu yasiyo na mwisho, ila nitawakumbuka daima

Ndivyo inavyotakiwa, nilitamani kufahamu tatizo lilikuwa wapi ila naona nitakukumbusha na kukuletea maumivu.
next time mkuu, I had a bitter a piece of cake kwa wakati ule.
Ilaa most of these shit, ni deep so Nisha malizana nazo.
 
Watu tumeumbwa wengi duniani ili tusaidiane mawazo ungesema shida yako Mzee wangu
 
Afya ya akili ni janga jipya ambalo AFRICA hatulitolei macho.
Life limekuwa gumu watu wamekosa tumain kabisa kujiua sio big deal
 
Afya ya akili ni janga jipya ambalo AFRICA hatulitolei macho.
Life limekuwa gumu watu wamekosa tumain kabisa kujiua sio big deal
Na shida sio life mkuu, nilicho fanya Hadi umri huu ni ndoto kwa vijana hata watu wazima pia.
 
Tutaonana Tena Yani Tutaoonana Tena ×4
Safari Uimaliza Salama Bwana ametwaa bai rafiki....🎼🎼🎼
 
hahaha, Sina Sina na sija wahi kuwa nayo, beside I managed to pass through that shit.

Na Mwaka Jana ndo mda Nili safiri humu tz, kuliko mda wote nilio wahi ishi.
Karibu sweet food tupate soup ya samaki.
Kaka Habar za Leo, nina shida na ww sana nakuomba PM, maana umefunga PM yako. It is too serious Bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…