Hakuna marefu yasiyo na mwisho, ila nitawakumbuka daima

Mungu anao watu anao-waamini, watu wenye misuli ya imani, wao wanapopita kwenye magumu, wanamtukuza katika hayo, amini lipo kusudi la Mungu katika hayo unayoyapitia, wewe siyo wa kwanza kuwa katika hali hiyo, ni wengi waliopitia katika situation iyo na Mwenyezi Mungu amewabadilisha na kuwapa tumaini jipya, mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, naye atayanyoosha mapito yako.
 
Don't give up! For in the darkest moment of difficulties there is a twinkle of light to lead you through
Not that simple bro, unakumbuka nilikuuliza Kuhusiana na tiba ya rohoni ??, Nilijaribu karibu Kila kitu but it's nothing bro.

Bora wangenikata hata miguu, sehemu za Siri au hata kiungo kingine but sio kuifunga akili yangu.

Ila bado najiuliza, was I a big threat🤔 that why they decided to annihilate me like this🤔🤔
 
Intelligent businessman anataka kujiua kisa life gumu. Hizi Id muda mwingine haziwakilishi uhalisia wa watu
Bro it's better Mara 100 life ingeKuwa ngumu, but it's about my mind Kaka. My damn brain. imefungwaa.

Imagine I was a great learner in my academics, my whole life bro vitabu vimejuwa rafiki yangu ila Sasa siwezi ingiza taarifa kichwani
 
Kafie mbele hukoo...
 
Bro it's better Mara 100 life ingeKuwa ngumu, but it's about my mind Kaka. My damn brain. imefungwaa.

Imagine I was a great learner in my academics, my whole life bro vitabu vimejuwa rafiki yangu ila Sasa siwezi ingiza taarifa kichwani
Pole mkuu kamwe usijaribu kuchukua maamuzi magumu niamini kuna watu wawili walikusaidia miaka miwili nyuma.

Ni watu wako wa karibu sana, mmoja upo naye karibu tokea ulipo pata hiyo hali miezi mitatu nyuma. Amini uyo mwingine atatokea muda si mrefu, utakuwa sawa. Chakufanya waeleze kila kitu unachopita acha kuwa msiri sana. Hopefull utapona muda si mrefu. Ugua pole.
 
If you don't mind, would you please leave me the fu....ck alone.

Huezi elewa, ila naomba niache dude. Au mama yako hajakufundisha
Km una ugonjwa wa akili jipe muda utapona inachukua muda kidogo ila utapata nafuu make sure unatumia Olive oil kwa wingi kunywa na kula ili km una wadudu mwingine wenyewe watakuhama maana Olive oil na wale wadudu ni maji na mafuta,
 
Km una ugonjwa wa akili jipe muda utapona inachukua muda kidogo ila utapata nafuu make sure unatumia Olive oil kwa wingi kunywa na kula ili km una wadudu mwingine wenyewe watakuhama maana Olive oil na wale wadudu ni maji na mafuta,
Bro you think it's funny, nimekunywa pilton zaidi ya 20 lakini bado naishi. Sioni umuhimu wa haya maisha
 
Vipi mkuu ushaondoka tayari?
Kama bado upo nambie unapatikana wapi tufanye mpango wa jeneza mkuu mie ntakuuzia bei nzuri kama mwanaJf mwenzetu kaka usiondoke hivi hivi bila kuniungisha!
Sijaondoka mkuu, ila nimejifunza pilton na Panadol haziui Kama wanavyosemaga watu
 
Thanks mkuu ila bila akili yangu Mimi si kituu. Akili yangu haifanyi kaziii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…