Hakuna marefu yasiyo na mwisho, ila nitawakumbuka daima

Ghafla umenifanya nicheke hovyo, sema
Mfahamiane trudie you never know what might happen btn you and Mr chizi
 
Yalikukuta nini!!? Kiongozi! Pole sana, siku nyingine usitume kwanza nauli sawa
 
Umefanya makosa makubwa sana kutokuni tag, nakuhakikishia utajutia sana kwa kitendo hicho.
 
Sikuuona huu uzi .
But Intelligent businessman sio wewe ulikuwa unanifuata sio PM sio kwenye komenti kwa matusi ya utani ati wewe bwege acha pombe unaidharirisha familia yako ?

Sio wewe uliniambia kabla ya jumanne utakuwa ushanitumia dawa ya kuacha pombe ?

Sio wewe umeniambia nitajiua kabla ya wakati nikiendekeza pombe na starehe?

Come on Nigga ni kipi kikubwa duniani mpaka kujiona weye si chochote mdogo wangu ?

Rudi nyuma , tizama upya waza upya njoo tena PM mimi nizungumze na wewe nitakusaidia kwa lolote na chochote ikiwa bado uko hai .

Usifanye lolote kumbuka utaondoka na deni langu mdogo wangu , Kumbuka uliniahidi nini na mpaka sasa bado haujafanya achana na mawazo hayo njoo tuzungumze mdogo wangu.
 
Kiutu uzima zaidi. Uraaaa
 
 
bangi zkuvuta mchana ni mbaya sna kwakwelii hawa nado wanafnya serikali izuie bangiiiii[emoji2962][emoji2962]
 
I appreciate you bro🙏🙏
 
How did you survive in this situation...?? share story mkuu i guess kuna ambao wanapitia issue kama hiyo uliyopitia mwezi Feb ...... anzisha thread mkuu nadhani itasaidia wengi.
 
How did you survive in this situation...?? share story mkuu i guess kuna ambao wanapitia issue kama hiyo uliyopitia mwezi Feb ...... anzisha thread mkuu nadhani itasaidia wengi.
Life had to go on, nime jifunza mengi na nime elewa mengi pia🙏🙏.
👉Wanao nijua personal, Wana Elewa NILIVYO kuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…