Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Huo ndiwo ukweli.
Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.
Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.
Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.
Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.
2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!.
Allah nijalie niuone mwaka 2025.
Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.
Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.
Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.
Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.
2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!.
Allah nijalie niuone mwaka 2025.