Hakuna mbunge atakayethubutu kuukosoa utawala wa Rais Samia, kwa sababu kwa kufanya hivyo atahatarisha nafasi yake

Hakuna mbunge atakayethubutu kuukosoa utawala wa Rais Samia, kwa sababu kwa kufanya hivyo atahatarisha nafasi yake

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Huo ndiwo ukweli.

Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.

Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.

Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.

Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.

2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!.

Allah nijalie niuone mwaka 2025.
 
CCM nitawashangaa sana ikiwa watawaoitisha wale waliokuwa upinzani wakapewa force impression kuhamia CCM wakiwaacha wanaccm kindakindaki miaka nenda Rudi wakipiga miayo ya njaa
 
Halafu, ogopa sana mtu anayefanya maamuzi nyuma ya kivuli cha watu wengine! Kwa sasa watu wengi tunamkasirikia mzee wa tozo, na kumbe yeye ni mjumbe tu!

Hahahahahaaaaa, bora adui unayemjua kuliko rafiki.....!
 
Mfumo wa CCM ni mgumu mno, yaani we fikiria kama Spika anaweza kutwishwa kitu kizito na akatulia je wewe ni nani?

Na hii ni mbaya mno maana kwa mantiki hii tunakosa nani wa kututetea sisi wananchi hasa kwenye hizi tozo.

Watu pekee wa kututetea sisi kisheria na in formal way ni Wabunge tu, sasa kwa mfano huo hapo unafikiri ni nani ajajifunga kengele? hajipendi ?

Vita bado mbichi.... tuendelee kunywa mtori tutakutana na nyama chini ya bakuli.
 
Huo ndiwo ukweli.

Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo...
2020 walipita bila kupingwa 50%. Waliobaki wanajua wenyewe walipitaje
 
Taratibu tu..tutafika siku wenyenchi wakiamua kujitetea wao badala ya wawakilishi..

#MaendeleoHayanaChama
 
Huo ndiwo ukweli.

Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.

Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.

Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.

Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.

2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!

Allah nijalie niuone mwaka 2025.
Kwani aliyepita alikosolewa

We si uliona waliyokuwa wanakosoa

Nini kinawakuta

Mwafrika hanaga utamaduni wa kukubali kukosolewa

Ova
 
Huo ndiwo ukweli.

Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.

Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.

Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.

Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.

2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!

Allah nijalie niuone mwaka 2025.
Huyu ndio muumini wa uongozi wa kiimla sana kuliko hata waliowaho kuongoza nchi ya Tanzania. Kwanza hapendi kukosolewa sio kwa sababu wakosoaji wanakosea, hapana ni kwa sababu anayekosolewa huwa anahisi kuwa na uduni hivyo wasaidizi wake wanachukua majukumu ya kuwakomoa wahusika bila kuzingatia sheria. Kwa kuwa wale mabingwa wa kuhamasisha kupinga dhuluma walishalambishwa asali suala la kukandamiza haki za binadamu linanyamaziwa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea. Mifano ni mingi sana hata unaowasikia wakisifia sio kwamba wana penda ila matakwa ya wakati wa mtawala aliyeko madarakani ndio shida inapoanzia.

Wabunge hawatetei wananchi wala kukemea ukiukwaji wa haki za wengine hasa wasiokuwa na kipato cha kutosha na kumudu angalau mahitaji muhimu ya binadamu
 
Back
Top Bottom