Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Ucha Mungu gani kwanza maana miungu wako wengi lakini sio yule alieye haiSio kweli mama samia ana imani na uchamungu...mwendazake ndie alikuwa na tabia hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ucha Mungu gani kwanza maana miungu wako wengi lakini sio yule alieye haiSio kweli mama samia ana imani na uchamungu...mwendazake ndie alikuwa na tabia hiyo
Uchamungu kwa mungu alie juu juuu juuuu zaidiUcha Mungu gani kwanza maana miungu wako wengi lakini sio yule alieye hai
Sio kweli mama samia ana imani na uchamungu...mwendazake ndie alikuwa na tabia hiyo
Kama ni kwa mungu sawa, ila sio uchamungu kwa Mungu.Uchamungu kwa mungu alie juu juuu juuuu zaidi
Hilo bunge nani alilitengenezaHuyu ndio muumini wa uongozi wa kiimla sana kuliko hata waliowaho kuongoza nchi ya Tanzania. Kwanza hapendi kukosolewa sio kwa sababu wakosoaji wanakosea, hapana ni kwa sababu anayekosolewa huwa anahisi kuwa na uduni hivyo wasaidizi wake wanachukua majukumu ya kuwakomoa wahusika bila kuzingatia sheria. Kwa kuwa wale mabingwa wa kuhamasisha kupinga dhuluma walishalambishwa asali suala la kukandamiza haki za binadamu linanyamaziwa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea. Mifano ni mingi sana hata unaowasikia wakisifia sio kwamba wana penda ila matakwa ya wakati wa mtawala aliyeko madarakani ndio shida inapoanzia.
Wabunge hawatetei wananchi wala kukemea ukiukwaji wa haki za wengine hasa wasiokuwa na kipato cha kutosha na kumudu angalau mahitaji muhimu ya binadamu
Naona mleta uzi huu hapa anapita kimya kimyaKwa taarifa huyo mama ukimkosoa washauri wake wanamwambia usikubali kuchezewa, mbona hawakumchezea Magufuli? Kitakachifuata hapo utajua hujui. Magufuli ndio alipandikiza hii mbegu mbaya ya kutotaka kukosolewa, na wengine wote watakaofuata watatumia mbinu hiyo hiyo. Machafuko tu ndio yataturejesha kwenye njia sahihi.
Hakuna kitu mulemule 85% ni wa magumashi...unategemea kuna vitu vitasonga kweli.
Inteligence Justice kwa mara ya kwanza nasikia neno Haki kutoka kwenye maandishi yako.Wabunge hawatetei wananchi wala kukemea ukiukwaji wa haki za wengine hasa wasiokuwa na kipato cha kutosha na kumudu angalau mahitaji muhimu ya binadamu
Sote tunaelewa kwamba kujipendekeza ndio mtindo wa kisasa. Kwahio kila mwenye nafasi ya kusikika anataka asikike akitoa pambio ila zote ni njaa tu.Huo ndiwo ukweli.
Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.
Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.
Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.
Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.
2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!.
Allah nijalie niuone mwaka 2025.
Mungu akubariki chanzo cha matatizo yote haya ni magufuri,huwezi ukatibu ugonjwa bila kujua chanzo cha ugonjwa,watu wataongea sana ila wakijua kuwa kuna kitu Magu alipanda watatulia tu.Sio kweli mama samia ana imani na uchamungu...mwendazake ndie alikuwa na tabia hiyo
Ngoja niende zangu Burundi Mie kila Siku MapyaHuo ndiwo ukweli.
Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo.
Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute.
Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa macho ni wale Hayati Magufuli aliwataka.
Kwa muktadha huo waheshimiwa hao kwa sasa wanaishi kwa matumaini yasiyo tumainika na ili aghalabu wapambanie ndoto zao wengi wao wanaonelea ni bora kutoukosoa Utawala huo wakitarajia huruma ya Mwenyekiti kwenye kura za maoni zijazo.
2025 itakuwa huyo alikuwa mwenzetu-apite na huyo hakuwa upande wetu alipuliwe bila kujali ameongoza kura za wajumbe ama la!.
Allah nijalie niuone mwaka 2025.