Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.

Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.

Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.
 
Ni kama vile mtu anasema anatafuta mganga au nabii ampe tafsiri ya ndoto eti usiku kaota anakabwa/anadumbukia kwenye Shimo.

Anasahau kwamba kalalia godoro limeshabakia kama mkate, usiku kala makande,magimbi,Mihogo saa nne ya usiku. Bado chumba alicholala madirisha hayaingizi Oxygen vizuri.
Mwisho Respiration inashindwa kufanya kazi vyema kifuatacho lazima uote wachawi wanakukaba.
 
Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.

Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.

Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.


Watu wanachanjwa hadi kwenye "mashine", halafu wewe unatuletea habari zako za kubuni hapa!!, kwenye mashine ndani ya boxer (underwear) huo mchanga unaingiaje?? na hata kama utaingia ni kwa jinsi gani usababishe chale??!!😀
 
Ni kama vile mtu anasema anatafuta mganga au nabii ampe tafsiri ya ndoto eti usiku kaota anakabwa/anadumbukia kwenye Shimo.

Anasahau kwamba kalalia godoro limeshabakia kama mkate, usiku kala makande,magimbi,Mihogo saa nne ya usiku. Bado chumba alicholala madirisha hayaingizi Oxygen vizuri.
Mwisho Respiration inashindwa kufanya kazi vyema kifuatacho lazima uote wachawi wanakukaba.
Naye anamwambia kuna roho chafu inamnyemelea, kisha anamtapeli kuku, mbuzi a pesa!!
 
Hayajakukuta wewe na yakikukuta huwezi kuja kusema huku kwa kuwa umeleta shit ngja leo usiku nije nikuchanje
Safisha kitanda kabla ya kulala uone kama utapigwa chale. Mnalalia vitanda vichafu, yakiwapata mnasingizia wachawi.
 
Umewahi liwa mzigo na wachawi?

Wewe subiri waje wakuchanje na wakuvunjie yai.

Wenzako huwa kwanza wanauliza ili kupata uhakika wa jambo baadaye ndipo wanaweza kupinga, sasa wewe moja kwa moja unaanzisha mada ya kupinga na kuweka sababu za uongo na kweli eti mchanga kitandani ndio unaosababisha "chale"?!!, ni mchanga gani, wa kiasi gani, katika mazingira gani unaweza kusababisha chale??!!

Hebu tufahamishe hizo chale ulizopigwa na huo mchanga ilikuaje??--- Godoro lako likoje??, mchanga wa aina gani??, huo mchanga ulifikaje kwenye kitanda/godoro na ni mchanga kiasi gani??.

Hapa tunataka tukushike Uongo leo.😀
 
Wewe subiri waje wakuchanje na wakunjie yai.

Wenzako huwa kwanza wanauliza ili kupata uhakika wa jambo baadaye ndipo wanaweza kupinga, sasa wewe moja kwa moja unaanzisha mada ya kupinga na kuweka sababu za uongo na kweli eti mchanga kitandani ndio unaosababisha "chale"?!!, ni mchanga gani, wa kiasi gani, katika mazingira gani unaweza kusababisha chale??!!

Hebu tufahamishe hizo chale ulizopigwa na huo mchanga ilikuaje??--- Godoro lako likoje??, mchanga wa aina gani??, huo mchanga ulifikaje kwenye kitanda/godoro na ni mchanga kiasi gani??.

Hapa tunataka tukushike Uongo leo.😀
Umewahi kunjiwa yai na wachawi?
 
Back
Top Bottom