Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Umewahi kunjiwa yai na wachawi?


Chale tu hawawezi sembuse kuvunjiwa yai??😀

Mimi kabla sijalala ninapojilaza kitandani huwa nafanya dua; Nasoma Suratul fatha moja, Suratul ikhlas moja, Suratul falaq moja na mwisho Suratul nnas moja halafu nafanya kujipakaza viganja vyangu nilivyovisomea hizo dua, kutoka miguuni hadi kichwani kisha nalala, hapo hakuna mchawi-mchanja chale au mvunja yai yeyote atakayesogea.

Hilo ni fundisho kutoka kwa Bwana wetu mtume Muhammad (saw), na ningependa kuchukua nafasi hii kuwanasihi Waisilamu wote kushika njia hii ili kujikinga na shari za usiku kutoka kwa watu au viumbe wabaya.
 
Chale tu hawawezi sembuse kuvunjiwa yai??😀

Mimi kabla sijalala ninapojilaza kitandani huwa nafanya dua; Nasoma Suratul fatha moja, Suratul ikhlas moja, Suratul falaq moja na mwisho Suratul nnas moja halafu nafanya kujipakaza viganja vyangu nilivyovisomea hizo dua, kutoka miguuni hadi kichwani kisha nalala, hapo hakuna mchawi-mchanja chale au mvunja yai yeyote atakayesogea.

Hilo ni fundisho kutoka kwa Bwana wetu mtume Muhammad (saw), na ningependa kuchukua nafasi hii kuwanasihi Waisilamu wote kushika njia hii ili kujikinga na shari za usiku kutoka kwa watu au viumbe wabaya.
Sawa, sasa kama hujawahi vunjiwa yai umejuaje uwepo wa hayo mambo? Maana huwezi kusema kitu kwa uhakika kwa ushahidi wa "Nasikia" au "Wanasema" nk. Wengine hubakwa na wabakaji wa kawaida lakini husema wamebakwa na wachawi ili kuficha aibu, hata juzi kati kuna wamama waliema wanabakwa na wachawi.
 
Sawa, sasa kama hujawahi vunjiwa yai umejuaje uwepo wa hayo mambo? Maana huwezi kusema kitu kwa uhakika kwa ushahidi wa "Nasikia" au "Wanasema" nk. Wengine hubakwa na wabakaji wa kawaida lakini husema wamebakwa na wachawi ili kuficha aibu, hata juzi kati kuna wamama waliema wanabakwa na wachawi.


Uchawi ni nguvu za giza, uchawi ni elimu ambayo mtu hata wewe unaweza kufundishwa au hata kurithi, Uchawi unafanya kazi "mysteriously", kuna nguvu za kichawi kama "Hypnotism" na "Mesmerism", Mchawi kwa kutumia nguvu za hypnotism ndipo anaweza kukufanya uamke wewe mwenyewe bila kujitambua na ukamfungulia mlango na akaingia ndani kwako na ukapanda kitandani kulala naye akakufanyia chochote anachotaka na akishamaliza wewe mwenyewe bila kujitambua ana ku command unaamka naye anatoka nje ya nyumba na wewe unafunga mlango halafu ana ku command na unarudi kulala bila kujitambua unachofanya wakati huo, unaposhituka asubuhi ndipo utagundua hali tofauti katika mwili wako, hapo ndipo unagundua kumbe mchawi aliingia nyumbani mwako.

Kimsingi siyo mchawi aliingia mwenyewe nyumbani mwako bali ni wewe mwenyewe bila kujitambua kutokana na nguvu zake za kichawi, ulimfungulia mlango akaingia.na kipindi anatoka ni wewe mwenyewe uliyeenda kufunga mlango na ukarudi kulala bila kujitambua.

Hilo ni kundi la uchawi unaoitwa; Hypnotism, na yapo makundi mengi na yanafanya kazi tofauti.

Kifupi ni kwamba Uchawi upo na upo wa aina mbalimbali, na Uchawi ni dark science tofauti na science zingine (natural sciences) ambazo ni sayansi za nuru.
 
Uchawi ni nguvu za giza, uchawi ni elimu ambayo mtu hata wewe unaweza kufundishwa au hata kurithi, Uchawi unafanya kazi "mysteriously", kuna nguvu za kichawi kama "Hypnotism" na "Mesmerism", Mchawi kwa kutumia nguvu za hypnotism ndipo anaweza kukufanya uamke wewe mwenyewe bila kujitambua na ukamfungulia mlango na akaingia ndani kwako na ukapanda kitandani kulala naye akakufanyia chochote anachotaka na akishamaliza wewe mwenyewe bila kujitambua ana ku command unaamka naye anatoka nje ya nyumba na wewe unafunga mlango halafu ana ku command na unarudi kulala bila kujitambua unachofanya wakati huo, unaposhituka asubuhi ndipo utagundua hali tofauti katika mwili wako, hapo ndipo unagundua kumbe mchawi aliingia nyumbani mwako.

Kimsingi siyo mchawi aliingia nyumbani mwako bali ni wewe mwenyewe bila kujitambua kutokana na nguvu zake za kichawi, ulimfungulia mlango akaingia.na kipindi anatoka ni wewe mwenyewe uliyeenda kufunga mlango na ukarudi kulala bila kujitambua.

Hilo ni kundi la uchawi unaoitwa; Hypnotism, na yapo makundi mengi na yanafanya kazi tofauti.

Kifupi ni kwamba Uchawi upo na upo wa aina mbalimbali, na Uchawi ni dark science tofauti na science zingine (natural sciences) ambazo ni sayansi za nuru.
Hypnotism siyo uchawi. Kuna hata dawa za hospitali ni haypnotics. Madawa ya kupumbaza hivyo yapo na hata majasusi hutumia kuhoji watu.
 
Utakuwa ni mchawi au Bibi yako mchawi .........Una kinga wasizuilike.......... .haya kibogoyo
Hata Mimi nilitaka kumwambia hivi hivi, mchanga umchanje mtu kuanzia begani hadi kwenye kiwiko Cha mkono! Au kuanzia begani hadi kiuoni! Labda angesema kitu kingine lakini si mchanga..
 
Hata Mimi nilitaka kumwambia hivi hivi, mchanga umchanje mtu kuanzia begani hadi kwenye kiwiko Cha mkono! Au kuanzia begani hadi kiuoni! Labda angesema kitu kingine lakini si mchanga..
Tumecheza Mpira vizuri vichangani ........wapi uliwai kuona chale kwenye mwili ??
 
Hypnotism siyo uchawi. Kuna hata dawa za hospitali ni haypnotics. Madawa ya kupumbaza hivyo yapo na hata majasusi hutumia kuhoji watu.


Hypnostic therapy-- hiyo hutumiwa kutibu wagonjwa wa akili nk,

Kitendo cha mtu kuweza kuitawala akili yako bila wewe mwenyewe kujitambua au kuitawala akili yako hiyo ni miongoni mwa elimu za "Hypnotism", yaani kuna vitu kutoka kwa wanyama (all animals + human beings) na kutoka kwenye aina fulani ya mimea, vitu hivyo vichanganywa "kitaalamu" hapo unaweza kupata "hypnostic stuff", hiyo stuff ndiyo hutumika katika kulaza watu , kufanya watu wasijitambue, kuwafanya watu wawe mentally ecstatic nk, kifupi ni kwamba; Hypnotism has got to do with mental, it affects mental either positive or negative, wachawi hutumia negatively ndio maana uchawi unaitwa Dark science.

It is Hypnosis to be precise.😀😀
 
Hata Mimi nilitaka kumwambia hivi hivi, mchanga umchanje mtu kuanzia begani hadi kwenye kiwiko Cha mkono! Au kuanzia begani hadi kiuoni! Labda angesema kitu kingine lakini si mchanga.
Wakati mwingine ni wadudu wenye sumu au wenye uko na allergy na chemikali zao wamekutembea. Unaona kamstari kwenye sehemu iliyodhurika unasema wachawi.
 
Hypnostic therapy-- hiyo hutumiwa kutibu wagonjwa wa akili nk,

Kitendo cha mtu kuweza kuitawala akili yako bila wewe mwenyewe kujitambua au kuitawala akili yako hiyo ni miongoni mwa elimu za "Hypnotism", yaani kuna vitu kutoka kwa wanyama (all animals + human beings) na kutoka kwenye aina fulani ya mimea, vitu hivyo vichanganywa "kitaalamu" hapo unaweza kupata "hypnostic stuff", hiyo stuff ndiyo hutumika katika kulaza watu , kufanya watu wasijitambue, kuwafanya watu wawe mentally ecstatic nk, kifupi ni kwamba; Hypnotism has got to do with mental, it affects mental either positive or negative, wachawi hutumia negatively ndio maana uchawi unaitwa Dark science.
Sasa mkuu huu ulioleza hapa sio uchawi tunaofahamu sisi kwa dhana za kiafrica na anachokielezea mtoa mada. Ulichokielezea wewe hiyo ni sayansi iwe in either positive way or negative way inabaki kuwa ni sayansi tu na sio "uchawi", matukio yote yanayoelezewa na kusikika kuwa ni uchawi mitaani mathalani haya ya kunyolewa nywele hayaelezeki hata formular zake hazijulikani zaidi ya kuambiwa tu kuwa ni uchawi au wachawi wamefanyizia.
 
Sasa mkuu huu ulioleza hapa sio uchawi tunaofahamu sisi kwa dhana za kiafrica na anachokielezea mtoa mada. Ulichokielezea wewe hiyo ni sayansi iwe in either positive way or negative way inabaki kuwa ni sayansi tu na sio "uchawi", matukio yote yanayoelezewa na kusikika kuwa ni uchawi mitaani mathalani haya ya kunyolewa nywele hayaelezeki hata formular zake hazijulikani zaidi ya kuambiwa tu kuwa ni uchawi au wachawi wamefanyizia.


It is rather Hypnosis to be precise and not Hypnotism.
 
Pia nimeona sehemu, kuna condition inaitwa dermatographia(Skin writing) kwenye wenye hili tatizo wakijikwaruza tu kidogo ngozi yao hutokeza alama kama vile mtu alikuwa anaandika kwenye ngozi zao. Ishu kama hii ikimtokea mtu lazima tuhisi ni uchawi.

33e67c06437e8c2f9ff35fd17073aff7.jpg
 
Pia nimeona sehemu, kuna condition inaitwa dermatographia(Skin writing) kwenye wenye hili tatizo wakijikwaruza tu kidogo ngozi yao hutokeza alama kama vile mtu alikuwa anaandika kwenye ngozi zao. Ishu kama hii ikimtokea mtu lazima tuhisi ni uchawi.
 
Chale tu hawawezi sembuse kuvunjiwa yai??😀

Mimi kabla sijalala ninapojilaza kitandani huwa nafanya dua; Nasoma Suratul fatha moja, Suratul ikhlas moja, Suratul falaq moja na mwisho Suratul nnas moja halafu nafanya kujipakaza viganja vyangu nilivyovisomea hizo dua, kutoka miguuni hadi kichwani kisha nalala, hapo hakuna mchawi-mchanja chale au mvunja yai yeyote atakayesogea.

Hilo ni fundisho kutoka kwa Bwana wetu mtume Muhammad (saw), na ningependa kuchukua nafasi hii kuwanasihi Waisilamu wote kushika njia hii ili kujikinga na shari za usiku kutoka kwa watu au viumbe wabaya.
Unasoma dua ya nini na umesema chale zinaletwa na mchanga??? Unauswalia mchanga?
 
Sasa mkuu huu ulioleza hapa sio uchawi tunaofahamu sisi kwa dhana za kiafrica na anachokielezea mtoa mada. Ulichokielezea wewe hiyo ni sayansi iwe in either positive way or negative way inabaki kuwa ni sayansi tu na sio "uchawi", matukio yote yanayoelezewa na kusikika kuwa ni uchawi mitaani mathalani haya ya kunyolewa nywele hayaelezeki hata formular zake hazijulikani zaidi ya kuambiwa tu kuwa ni uchawi au wachawi wamefanyizia.


Uchawi ni sayansi, ni elimu, mfano mtu anafanya kamba ionekane kama nyoka, ni jinsi gani hiyo kama inaonekana kama nyoka mbele ya watazamaji??, hapo ndipo science ya Optics inapohusika, sasa ili mtu aione hiyo kamba kama nyoka kunatakiwa kuwepo na nyenzo za kufanya kazi hiyo hizo nyenzo ndizo zinaitwa uchawi, hizo nyenzo zinapatikanaje??, hapo ndipo uchawi unapoitwa dark "science".

Mchawi anapoingia nyumbani kwako anatumia elimu ya sayansi inayoitwa Hypnosis (I mistaken with hypnotism), nayo inavyo vifaa vyake (magical tools) ambavyo hupatikana katika njia za giza na ndio maana uchawi unaitwa Dark science na aghlabu ni sayansi inayohusisha unyama na ushetani.
 
Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.

Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.

Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.

Pia kujikuna usiku ukiwa usingizini while una makucha marefu.
 
Back
Top Bottom