Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Hakuna mchawi anayechanja chale watu usiku, acheni kulalia vitanda vichafu.

Ulilo liandika... Kama lilivyo, libebe hivyo hivyo... Kaliseme kijijini kwenu mchana kweupeee....

Narudia tena, Ulilo liandika... Kama lilivyo, libebe hivyo hivyo... Kaliseme kijijini kwenu mchana kweupeee....

Kama hujazaliwa kijijini nenda KWa waha huko kaliseme au hata usukumani kaliseme...

Baada ya Hapo... Lala hata wiki 1 afu ndo Uje uandike tena
Akili za watu wanaoamini uchawi!!!?
 
Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.

Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.

Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.
Huu nao ni utoto tu ukikua utaacha.
 
Bagamoyo niliwahi amka nimechajwa mwili mzima
Sitasahau

Nb mimi sio muumini wa imani za kishirikina kuanzia wazaz mpaka mimi

Mkristo
Mluther
Walau wewe ni muhusika na sio wa masimulizi.

Baada ya kuamka na chanjo mwili mzima namna hiyo je, ulijaribu kufuatilia nini sababu ? Mfano kwenda hospitali labda kujua tatizo kwa vipimo vya sayansi ya afya nk.
 
Huu nao ni utoto tu ukikua utaacha.
Unaamini kuna watu hupaa na ungo, halafu wakifika wanakokwenda wanapita ukutani bila kuonekana wakiwa wamebeba viwembe na muda mwingine wakiwa uchi kisha wanachanja watu?
 
Moja hapa kuna watu wasiojua kuchanjwa na mikwaruzo. Mikwaruso itabakia mikwaruzo aidha sababu ya kujikuna, au babau yeyote ile.

Ukisikia kuchanjwa ni kitu kina pattern, yaani mtirirko kama mara tatu sehemu moja , inaenda tena mara tatu sehemu inayofuatia.... hata sehemu 10 tofauti kwa mtirirko wa 3..3....

Mimi ukweli sijawahi kuchanjwa ila nimeshuhudi watu 3 tofauti na wawili waliacha kazi waliyokua wanafanya maana ilikua kila mwezi lazima wachanjwe...

Kuhusu mtu kulala ndani na kujikuta nje huku milango yote imefungwa(yupo nje na boxer) ikabidi amgongee mkewe amfungulie na mkewe anashangaa walilala wote iweje yupo nje.

Haya mambo au hii dark science ipo sana
 
Moja hapa kuna watu wasiojua kuchanjwa na mikwaruzo. Mikwaruso itabakia mikwaruzo aidha sababu ya kujikuna, au babau yeyote ile.

Ukisikia kuchanjwa ni kitu kina pattern, yaani mtirirko kama mara tatu sehemu moja , inaenda tena mara tatu sehemu inayofuatia.... hata sehemu 10 tofauti kwa mtirirko wa 3..3....

Mimi ukweli sijawahi kuchanjwa ila nimeshuhudi watu 3 tofauti na wawili waliacha kazi waliyokua wanafanya maana ilikua kila mwezi lazima wachanjwe...

Kuhusu mtu kulala ndani na kujikuta nje huku milango yote imefungwa(yupo nje na boxer) ikabidi amgongee mkewe amfungulie na mkewe anashangaa walilala wote iweje yupo nje.

Haya mambo au hii dark science ipo sana
Hamna anayechanjwa na wachawi. Hiyo inaitwa dermatographia, yaani ni kama mtu anaandika kwenye ngozi hivyo kunakuwa na pattern kabisa. Hao wanaodai kuchanjwa waliona hata damu kwenye mashuka? Au watadai wachawi waliokuja na ungo wameondoka nayo? Kifupi ni kuwa ujinga ndiyo unatufanya tuamini mambo haya.

Mtz akiona hivi asubuhi atasema wachawi walikuja wakamchanja.

33e67c06437e8c2f9ff35fd17073aff7.jpg


a9907efd8614331f3e1be1aaf2003436.jpg
 
Moja hapa kuna watu wasiojua kuchanjwa na mikwaruzo. Mikwaruso itabakia mikwaruzo aidha sababu ya kujikuna, au babau yeyote ile.

Ukisikia kuchanjwa ni kitu kina pattern, yaani mtirirko kama mara tatu sehemu moja , inaenda tena mara tatu sehemu inayofuatia.... hata sehemu 10 tofauti kwa mtirirko wa 3..3....

Mimi ukweli sijawahi kuchanjwa ila nimeshuhudi watu 3 tofauti na wawili waliacha kazi waliyokua wanafanya maana ilikua kila mwezi lazima wachanjwe...

Kuhusu mtu kulala ndani na kujikuta nje huku milango yote imefungwa(yupo nje na boxer) ikabidi amgongee mkewe amfungulie na mkewe anashangaa walilala wote iweje yupo nje.

Haya mambo au hii dark science ipo sana
Bila shaka hao kituo cha kazi ilikuaa ni kijijini au ndanindani huko. Hao ni itakuwa walikuwa wamatafuta sababu za kuacha kazi, au kuhakimishwa kituo cha kazi, labda wahamishiwe mjini nk.

Hawana tofauti na tukio moja la waalimu fulani kwenye kijiji fulani ilitoka hadi kwenye taarifa za habari wakieleza mbele ya mkuu wa wilaya mambo wanayoyaita kuwa ni ya kichawi wanayofanyiwa hapo kijijini ikiwemo kujikuta wamelala nje, wamechanjwa na mwingine mke wake kujifungua vitu vya ajabu ajabu sijui matikitiki maji yenye shanga kama sikosei nk. Ila zote izo ilikuaa ni sababu tu za wao kutaka kukimbia mazingira ya kijijini.
 
Bila shaka ninyi sio wahusika na wala hayajawakuta ila haya mnayoeleza ni maneno tu ya kuambiwa, kusimuliwa, na kusikia kuwa ooh ni vile na hivi basi. Ila kiuhalisia hao wachawi wenyewe utawakuta wapi ? Zaidi ya kutishana tishana tu kwa masimulizi ya kusikia kama ivi mnavyofanya.

tatizo huwa siyo kwamba wachawi hujificha kwa sababu mambo yao ni ya siri, la hasha, isipokuwa kwa kuwa hao wanaoitwa wachawi "HAWAPO". Na huo unaodhaniwa kuwa ni uchawi "HAUPO"

tumebaki na kelele tu, “Kuna wachawi na uchawi”, “Kuna wachawi na uchawi,” “Kuna wachawi na uchawi”. Tukiulizana wako wapi wachawi wenyewe. Tunabaki kusema, “Oh, hayajakukuta”, “Oh, yakikukuta utajua” na kadhalika.

Kifupi, watu tumebaki kudhaniana dhaniana tu na kutoa mifano ya mbali kwa mbali. Ukizungumza na watu wa Lindi watakusimulia hadithi za Sumbawanga au Mwanza. Ukienda Sumbawanga utasimuliwa habari za Malawi. Ukienda Mwanza utasimuliwa hadithi za Tanga na Msumbiji. Ukienda Kenya utasimuliwa habari za Tanzania na India. Ukiishi Tanzania utasimuliwa habari za Kongo na Nigeria.

Kiuhalisia ukiamua kufuatilia au kutafiti hata ninyi mwenyewe ni kuwa mtaishia kukutana na hadithi hadithi tu au na vituko vingi. Vingi ya vituko hivyo utaambiwa vilitokea mwaka juzi au miaka mingi iliyopita. Vituko vyenyewe wala haviwi vya pekee sana, vingi vyake huwa vyenye kuelezeka tu na vingi ya hivyo utakuta ni "ujanja ujanja" tu na mambo ya kufanyiana "timing" basi. Na vichache kati ya hivyo ni mambo yanayoelezeka kisayansi.
SAwa kwakuwa bado hujakutana nao au hujakutana nayo hayo maswahibu ila kwa ss tunaokaa uswahikini tunaishi na wachawi na tushawah kushuhudia matukio hayo au kuyapata kabsa huwez kuelewa mpka sku uone kwa macho
 
Wewe subiri waje wakuchanje na wakuvunjie yai.

Wenzako huwa kwanza wanauliza ili kupata uhakika wa jambo baadaye ndipo wanaweza kupinga, sasa wewe moja kwa moja unaanzisha mada ya kupinga na kuweka sababu za uongo na kweli eti mchanga kitandani ndio unaosababisha "chale"?!!, ni mchanga gani, wa kiasi gani, katika mazingira gani unaweza kusababisha chale??!!

Hebu tufahamishe hizo chale ulizopigwa na huo mchanga ilikuaje??--- Godoro lako likoje??, mchanga wa aina gani??, huo mchanga ulifikaje kwenye kitanda/godoro na ni mchanga kiasi gani??.

Hapa tunataka tukushike Uongo leo.😀
Kuna rafiki yangu mmoja naye haamini sana hayo mambo, sasa siku moja alijikuta kwenye mabishano na bibi mmoja ambaye watu wengi wamekuwa wakimuita mchawi.

Watu walimfata kumwambia ajishushe ili bibi asiweze kumroga lakini jamaa alikuwa ni mtata sana.

Basi kuna mchizi mmoja akamuambia leo night jiandae kupokea mgeni sababu hii bifu haijaishia hapa lazima ukabwe.

Jamaa alimjibu kuwa kama grand ni mchawi basi leo night ndio nitashuhudia mwenyewe, si mnasema wanakuwaga uchi wa mnyama wanapokuja kukukaba wanakukalia kwa juu?

Basi leo navua nguo zote halafu nalala chali huku mzigo ukiwa umesimama, grand akijichanganya akatua vibaya tu atajikuta ameukalia
 
Kuamini sorry za kishirikina/uchawi ni kiwango cha chini kabisa cha uwezo wa kufikiri yani zwazwa
 
Pia nimeona sehemu, kuna condition inaitwa dermatographia(Skin writing) kwenye wenye hili tatizo wakijikwaruza tu kidogo ngozi yao hutokeza alama kama vile mtu alikuwa anaandika kwenye ngozi zao. Ishu kama hii ikimtokea mtu lazima tuhisi ni uchawi.

33e67c06437e8c2f9ff35fd17073aff7.jpg

Mitanganyika kitu chochote ambacho hawajui wanasema ni uchawi hawataki kuumiza vichwa
 
Bila shaka ninyi sio wahusika na wala hayajawakuta ila haya mnayoeleza ni maneno tu ya kuambiwa, kusimuliwa, na kusikia kuwa ooh ni vile na hivi basi. Ila kiuhalisia hao wachawi wenyewe utawakuta wapi ? Zaidi ya kutishana tishana tu kwa masimulizi ya kusikia kama ivi mnavyofanya.

tatizo huwa siyo kwamba wachawi hujificha kwa sababu mambo yao ni ya siri, la hasha, isipokuwa kwa kuwa hao wanaoitwa wachawi "HAWAPO". Na huo unaodhaniwa kuwa ni uchawi "HAUPO"

tumebaki na kelele tu, “Kuna wachawi na uchawi”, “Kuna wachawi na uchawi,” “Kuna wachawi na uchawi”. Tukiulizana wako wapi wachawi wenyewe. Tunabaki kusema, “Oh, hayajakukuta”, “Oh, yakikukuta utajua” na kadhalika.

Kifupi, watu tumebaki kudhaniana dhaniana tu na kutoa mifano ya mbali kwa mbali. Ukizungumza na watu wa Lindi watakusimulia hadithi za Sumbawanga au Mwanza. Ukienda Sumbawanga utasimuliwa habari za Malawi. Ukienda Mwanza utasimuliwa hadithi za Tanga na Msumbiji. Ukienda Kenya utasimuliwa habari za Tanzania na India. Ukiishi Tanzania utasimuliwa habari za Kongo na Nigeria.

Kiuhalisia ukiamua kufuatilia au kutafiti hata ninyi mwenyewe ni kuwa mtaishia kukutana na hadithi hadithi tu au na vituko vingi. Vingi ya vituko hivyo utaambiwa vilitokea mwaka juzi au miaka mingi iliyopita. Vituko vyenyewe wala haviwi vya pekee sana, vingi vyake huwa vyenye kuelezeka tu na vingi ya hivyo utakuta ni "ujanja ujanja" tu na mambo ya kufanyiana "timing" basi. Na vichache kati ya hivyo ni mambo yanayoelezeka kisayansi.

Word. Story zote za uchawi ni hearsay, watu wanaamini kama zilivyo nao wanaanza kusimulia. Inabidi uwe zwazwa kuamini hizi story
 
Mtu akiamka akakuta hivi atasema wachawi wamemchanja usiku. Inaitwa dermatographia.

11826d7167751b04d56d8f37c9387cd1.jpg
Nyembe kabisa nilikuja gundua wakati naoga asubuh mwili unawasha sana
Kutoka bafuni nikaenda kujikagua mwili ndani kuangalia
Nyembe zimepita za kutosha na ile siki nililala na jinsi nimerdi gheto sa 8 usiku nikajilaza mazima

Na jinsi haina tobo hataaa
Nikampigia simu antie yangu Moro ye ni mtu wa kusali sana akasema mwanangu utakuwa husali huko bagamoyo lazma

Nikakausha
 
Walau wewe ni muhusika na sio wa masimulizi.

Baada ya kuamka na chanjo mwili mzima namna hiyo je, ulijaribu kufuatilia nini sababu ? Mfano kwenda hospitali labda kujua tatizo kwa vipimo vya sayansi ya afya nk.
Hapana sikwenda hospital manake niliwaza naelezaje aibu hii

Alama za nyembe mwili wote
 
Hamna anayechanjwa na wachawi. Hiyo inaitwa dermatographia, yaani ni kama mtu anaandika kwenye ngozi hivyo kunakuwa na pattern kabisa. Hao wanaodai kuchanjwa waliona hata damu kwenye mashuka? Au watadai wachawi waliokuja na ungo wameondoka nayo? Kifupi ni kuwa ujinga ndiyo unatufanya tuamini mambo haya.

Mtz akiona hivi asubuhi atasema wachawi walikuja wakamchanja.

33e67c06437e8c2f9ff35fd17073aff7.jpg


a9907efd8614331f3e1be1aaf2003436.jpg
Bagamoyo ni wachawi we dada acha afu kule sio mpaka uwachokoze
Wanakuchezea tu tofaut na wafipa mpaka umchokoze
 
Nyembe kabisa nilikuja gundua wakati naoga asubuh mwili unawasha sana
Kutoka bafuni nikaenda kujikagua mwili ndani kuangalia
Nyembe zimepita za kutosha na ile siki nililala na jinsi nimerdi gheto sa 8 usiku nikajilaza mazima

Na jinsi haina tobo hataaa
Nikampigia simu antie yangu Moro ye ni mtu wa kusali sana akasema mwanangu utakuwa husali huko bagamoyo lazma

Nikakausha
Ni kama conditions hapo juu au ulipitiwa na allergic reactions. Uliona damu zilizotokana na kuchanjwa?
 
Back
Top Bottom