Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
"Nakili najua watu mtanipinga sana lakini huu ndo ukweli, na ukweli humuweka mtu wazi na msema ukweli in mpenzi wa Mungu"
Najua watu wengi hawakuuona Mpira wa Pele, lakini kiukweli kwa rekodi hizi chini utakubali nisemalo;
1,Word cup nyingi(3)
2,Magoli mengi(1800)
3,Mchezaji bora wa karne akishea na Maradona (1990)
4,Mchezaji bora wa dunia Mara nyingi
5,Kupiga chenga goli hadi goli
6,Kutokana na rekodi ya FIFA tatu bora no;
1)PELE THE DON
2)Maradona
3)Messi
Kama unabisha utakuwa mototo wa juzi na hujui mpira na pia unaweza kwenda YouTube ukaandika wachezaji 30 bora wa wakati wote orodha ikiongozwa na PELE THE DON.
Nawasilisha uzi wana Jf
POVU RUKSA KWA AMBAE HAJUI MPIRA OK.
Najua watu wengi hawakuuona Mpira wa Pele, lakini kiukweli kwa rekodi hizi chini utakubali nisemalo;
1,Word cup nyingi(3)
2,Magoli mengi(1800)
3,Mchezaji bora wa karne akishea na Maradona (1990)
4,Mchezaji bora wa dunia Mara nyingi
5,Kupiga chenga goli hadi goli
6,Kutokana na rekodi ya FIFA tatu bora no;
1)PELE THE DON
2)Maradona
3)Messi
Kama unabisha utakuwa mototo wa juzi na hujui mpira na pia unaweza kwenda YouTube ukaandika wachezaji 30 bora wa wakati wote orodha ikiongozwa na PELE THE DON.
Nawasilisha uzi wana Jf
POVU RUKSA KWA AMBAE HAJUI MPIRA OK.