Hakuna mfumo hata mmoja wa Patriot ulioharibiwa" Zelensky amjibu Putin

Hakuna mfumo hata mmoja wa Patriot ulioharibiwa" Zelensky amjibu Putin

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
1687151460992.gif


Rais Volodymyr Zelensky ametoa maoni yake kuhusu matamshi ya Vladimir Putin kwamba jeshi la Urusi linadaiwa kuharibu mifumo mitano ya ulinzi wa anga ya Patriot ya Ukraine iliyotolewa kwa Kiev na nchi za Magharibi. Alitoa kauli kuhusu hili wakati wa hotuba yake ya kila siku.

‘Haijalishi ni nani huko Urusi alisema kwamba eti Patriots zetu ziliangamizwa, zote zipo, zote zinafanya kazi, zote zinarusha makombora hadi Urusi. Hakuna hata "Patriot " moja iliyoangamizwa!

Wakati wa kongamano la kiuchumi huko St.PetersburgPutin alisema- ‘Iwapo tuliharibu mitambo mitano ya mfumo wa Patriot karibu na Kievbasi kwa nini tuharibu jingo lolote kati kati mwa Kiev? Hakuna vikwazo kama hivyo. Tumefanya hivyo kwa sababu kadhaa’

Source:BBC
 
Nafikiri Putin huwa anadanganywa sana na washauri Wake.Sawasawa aliambiwa Hypersonic missiles zake hakuna radar inaweza kuziona na kuzidungua, matokeo yake zote zikadunguliwa huko Kyv na kuishia kuwaweka ndani wanasayansi wake!
 
Patriotic missiles zaharibu makombora 7 ya Hypersonic na kuzuia mashambulizi 80 Kwa kipindi Cha mwezi mmoja!
....
 

View attachment 2661974
Getty ImagesCopyright: Getty Images
Rais Volodymyr Zelensky ametoa maoni yake kuhusu matamshi ya Vladimir Putin kwamba jeshi la Urusi linadaiwa kuharibu mifumo mitano ya ulinzi wa anga ya Patriot ya Ukraine iliyotolewa kwa Kiev na nchi za Magharibi.
Alitoa kauli kuhusu hili wakati wa hotuba yake ya kila siku.
‘Haijalishi ni nani huko Urusi alisema kwamba eti Patriots zetu ziliangamizwa, zote zipo, zote zinafanya kazi, zote zinarusha makombora hadi Urusi. Hakuna hata "Patriot " moja iliyoangamizwa!
Wakati wa kongamano la kiuchumi huko St.PetersburgPutin alisema- ‘Iwapo tuliharibu mitambo mitano ya mfumo wa Patriot karibu na Kievbasi kwa nini tuharibu jingo lolote kati kati mwa Kiev? Hakuna vikwazo kama hivyo. Tumefanya hivyo kwa sababu kadhaa’
Source:BBC
Watu wa Ukraine wameamua nchi yao iwe ya majaribio ya siraha
 
Vita ishakuwa ya mipasho kati ya Zele na Putin. Ni kusutana tu.
 
Kwa hiyo baada ya kuongezewa zingine, haraka haraka wamezifunga, then wanadai hazikuharibiwa?

Zele alisema pia kwamba hakuna Leopards zilizoharibiwa, ziko hai mioyoni mwao. Comedian katika ubora wake.
Na nyinyi huwa mnadanganywa kwa propaganda na kujaa vichwani mwenu.

Wakati himars zinaingia mlikuja na ngonjera za kuzipiga na picha zenye mfanano mkaleta kumbe ni mifumo mengine. Mfano wa hii[emoji116].

JamiiForums-1081371301.jpg
 
View attachment 2661974

Rais Volodymyr Zelensky ametoa maoni yake kuhusu matamshi ya Vladimir Putin kwamba jeshi la Urusi linadaiwa kuharibu mifumo mitano ya ulinzi wa anga ya Patriot ya Ukraine iliyotolewa kwa Kiev na nchi za Magharibi. Alitoa kauli kuhusu hili wakati wa hotuba yake ya kila siku.

‘Haijalishi ni nani huko Urusi alisema kwamba eti Patriots zetu ziliangamizwa, zote zipo, zote zinafanya kazi, zote zinarusha makombora hadi Urusi. Hakuna hata "Patriot " moja iliyoangamizwa!

Wakati wa kongamano la kiuchumi huko St.PetersburgPutin alisema- ‘Iwapo tuliharibu mitambo mitano ya mfumo wa Patriot karibu na Kievbasi kwa nini tuharibu jingo lolote kati kati mwa Kiev? Hakuna vikwazo kama hivyo. Tumefanya hivyo kwa sababu kadhaa’

Source:BBC
Zelensky anajua kuwashika masikio wafuasi wake, na wafuasi kwa kuwa ndio stori wanapenda kuzisikia hawajiulizi mara mbili.
20230619_100636.jpg
 
Nafikiri Putin huwa anadanganywa sana na washauri Wake.Sawasawa aliambiwa Hypersonic missiles zake hakuna radar inaweza kuziona na kuzidungua, matokeo yake zote zikadunguliwa huko Kyv na kuishia kuwaweka ndani wanasayansi wake!
Hashauriwi vibaya,,propaganda ni sehemu ya vita
 
Na nyinyi huwa mnadanganywa kwa propaganda na kujaa vichwani mwenu.

Wakati himars zinaingia mlikuja na ngonjera za kuzipiga na picha zenye mfanano mkaleta kumbe ni mifumo mengine. Mfano wa hii[emoji116].

View attachment 2662027
Kwani akina HIMARS bado wapo, mkuu? Sie tunajua kwamba Putin amembakiza HIMARS mmoja tu aliyepo hapa JF. Nduguze wote walishazikwa na kusahaulika ile kitambo sana.
 
Kwa hiyo baada ya kuongezewa zingine, haraka haraka wamezifunga, then wanadai hazikuharibiwa?

Zele alisema pia kwamba hakuna Leopards zilizoharibiwa, ziko hai mioyoni mwao. Comedian katika ubora wake.
Huyu babako Putin si alidai angeichukua Kyv kwa muda wa siku 3 na Zenensky asingebaki kuwa raisi wa Ukraine?mipango yake imeishia wapi?
 
Huyu babako Putin si alidai angeichukua Kyv kwa muda wa siku 3 na Zenensky asingebaki kuwa raisi wa Ukraine?mipango yake imeishia wapi?
Sie lengo letu siyo Kiev, mkuu. Ukraine ni ndogo sana kwetu. Tunaitaka Marekani na NATO yote ili adabu iwakaeni.

Hivi kuhusu maendeleo ya counteroffensive mmefikia wapi? Tuanzie hapo kwanza (nijibu japo kwa asilimia).
 
Back
Top Bottom