Hakuna mfumo hata mmoja wa Patriot ulioharibiwa" Zelensky amjibu Putin

Hakuna mfumo hata mmoja wa Patriot ulioharibiwa" Zelensky amjibu Putin

Huyu babako Putin si alidai angeichukua Kyv kwa muda wa siku 3 na Zenensky asingebaki kuwa raisi wa Ukraine?mipango yake imeishia wapi?
Tuwekee hapa Putin akisema ataichukua ukraine ndabi ya siku 3!
Toka mwaka jana,tuliweka zawadi humu kwa yoyote atakayeleta source ya habari au video inayoonesha Putin akisema hayo ila hakuna aliyeleta!
So hizo porojo zako ni za kujifariji tu!
 
1687171968951.png
 
Wenye mifumo wenyewe walikiri kuharibiwa Kwa mifumo.
Wasomi wa bongo ni Makanjanja, Makanjanja kweli kweli. Mnataka mpewe kuongoza Bandari ilhali vichwani ni weupe kabisa.
Tuachane na ilo.

Mmeshindwa kutofautisha kati ya Destroyed na Damaged?.
US alisema Patroit ipo damaged si destroyed leo Zelensky kasema hakuna mfumo wa Patroit ulio-destroyed wasomi Makanjanja mmehamaki na kumuita muongo.
 
Sie lengo letu siyo Kiev, mkuu. Ukraine ni ndogo sana kwetu. Tunaitaka Marekani na NATO yote ili adabu iwakaeni.

Hivi kuhusu maendeleo ya counteroffensive mmefikia wapi? Tuanzie hapo kwanza (nijibu japo kwa asilimia).
Kaivamieni Marekani sasa au NATO yenyewe sio kuivamia Ukraine halafu mnapiga makelele mitandaoni eti tunapigana na NATO kwani Ukraine ni NATO?
 
Sie lengo letu siyo Kiev, mkuu. Ukraine ni ndogo sana kwetu. Tunaitaka Marekani na NATO yote ili adabu iwakaeni.

Hivi kuhusu maendeleo ya counteroffensive mmefikia wapi? Tuanzie hapo kwanza (nijibu japo kwa asilimia).
Kama mmemshindwa Ukraine marekan ndo mtamuweza? Mazezeta kweli nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuwekee hapa Putin akisema ataichukua ukraine ndabi ya siku 3!
Toka mwaka jana,tuliweka zawadi humu kwa yoyote atakayeleta source ya habari au video inayoonesha Putin akisema hayo ila hakuna aliyeleta!
So hizo porojo zako ni za kujifariji tu!
Urusi wanaendeshwa na propaganda sana huku wanajeshi wao wakitilifika maelfu kwa maelfu, Putin ata hajali
 
Sie lengo letu siyo Kiev, mkuu. Ukraine ni ndogo sana kwetu. Tunaitaka Marekani na NATO yote ili adabu iwakaeni.

Hivi kuhusu maendeleo ya counteroffensive mmefikia wapi? Tuanzie hapo kwanza (nijibu japo kwa asilimia).
Hujui kama Urusi karudisha chenchi?

Vijiji 8 tayari kavitema.
 
Nafikiri Putin huwa anadanganywa sana na washauri Wake.Sawasawa aliambiwa Hypersonic missiles zake hakuna radar inaweza kuziona na kuzidungua, matokeo yake zote zikadunguliwa huko Kyv na kuishia kuwaweka ndani wanasayansi wake!
Hii counter offensive itamtia wazimu huyu Mzee Vladmir...
 
Wenye mifumo wenyewe walikiri kuharibiwa Kwa mifumo.
Si unajua tena masuala ya biashara - Amerika itafanya lolote lile ili kuhakikisha soko lake la silaha sifa zake hata za kutunga kuihadaa Dunia kwamna silaha zao ndio bora zaidi - watafanya hivyo no matter what, chukuliamfano huu ea Zelensky kuja kwenye mkutano baada ya wiki tatu kupita na kudai adhalani kwamba hakuna Patriot hata moja imetiwa kiberiti wakati Dunia ilishuhudia kilichotokea hata baadhi ya majenerali wa USA walikiri ukwelio huo - leo hii Zelensky kutokana na shinikizo la US Administration anakuja hapa na ku- Deny everything, anafikri watu hawana akili ya kujua kinacho endelea nyuma ya pazia.
 
View attachment 2661974

Rais Volodymyr Zelensky ametoa maoni yake kuhusu matamshi ya Vladimir Putin kwamba jeshi la Urusi linadaiwa kuharibu mifumo mitano ya ulinzi wa anga ya Patriot ya Ukraine iliyotolewa kwa Kiev na nchi za Magharibi. Alitoa kauli kuhusu hili wakati wa hotuba yake ya kila siku.

‘Haijalishi ni nani huko Urusi alisema kwamba eti Patriots zetu ziliangamizwa, zote zipo, zote zinafanya kazi, zote zinarusha makombora hadi Urusi. Hakuna hata "Patriot " moja iliyoangamizwa!

Wakati wa kongamano la kiuchumi huko St.PetersburgPutin alisema- ‘Iwapo tuliharibu mitambo mitano ya mfumo wa Patriot karibu na Kievbasi kwa nini tuharibu jingo lolote kati kati mwa Kiev? Hakuna vikwazo kama hivyo. Tumefanya hivyo kwa sababu kadhaa’

Source:BBC
Ameshatudanganya mara ngapi huyu.
 
Leta ushahidi hapa sio kupigapiga maneno!
Wakati uvamizi unaanza majeshi ya Russia yalitinga hadi Kyiv na Russia walitoa hadi masaa jeshi la Ukraine lisarende, sasa tuambie Kyiv kuna nani? kwanini Urusi walichomoa faster Kyiv? lete sababu japo mstari 1
 
Wakati uvamizi unaanza majeshi ya Russia yalitinga hadi Kyiv na Russia walitoa hadi masaa jeshi la Ukraine lisarende, sasa tuambie Kyiv kuna nani? kwanini Urusi walichomoa faster Kyiv? lete sababu japo mstari 1
Haujaona waraka aliouonesha Putin kwa viongozi wa Africa?Sababu ya kuondoa majeshi kyiv kumbe ni mkataba walioingia pande zote mbili chini ya usimamizi wa rais wa Uturuki!
Haya zamu yako,leta sehemu ambapo Russia ataichukua Kyiv ndani ya saa 72,leta hata source!
NB:Usinijazie maneno nataka source maana wewe umesema Putin alisema!Kama wewe sio muongo,weka hapa source!
 
Back
Top Bottom