Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anapiga goti dah kweli dunia yaenda kasiKaz ipo,wanaume kaz tunayo
Sehemu pekee ambayo wanaume walio wengi hutuliza akili ni kwenye kuoa. Aisee ukijichanganya kuoa shepe/zigo/inye/nyashi😅 ujue umeolea na masela.Tayari another man downView attachment 3163537
🤑🤑🤑Sawa lakini sisi wanawake tuna kaunafki flani hv yaani mtu sio mara ya kwanza kumvisha mwanamke pete alfu eti mkono mdomoni kama vile anashangaa ni surprise kama vile ndio wa kwanza mpyaaa🤭
Tayari another man downView attachment 3163537
Sidhani kama alikuwa hajaoa maana niliwahi kusikia alikuwa na mke mzungu london.... Huenda huyu mke wa pili unless nachanganya mafailiTayari another man downView attachment 3163537
We sema 70 uje upigwee matukio uwaachie watu mzigo wa kikokotooFursa ya kuwa Mwanaume hiyo "I will marry when I want"
Mwanaume unaweza Kuoa ukiwa na miaka 23 ama 70, muhimu kuchanga karata zako vizuri
😆😆😆😆Tayari another man downView attachment 3163537
Alishapigwa na kitu kizitoAna mke mzungu na watoto huko uingereza
Alikuwa hajapata wa kufanana naeDu ana tatizo gani hadi anaamua kuoa akiwa kikongwe hivi?