mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
Fala huyoTeam Kataa ndoa hapa wamefeli wapi,?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala huyoTeam Kataa ndoa hapa wamefeli wapi,?
Kwani Kuna shida,wewe uliyeoa ujanani unakipi Cha kutuhadithia tukakusifia?Du ana tatizo gani hadi anaamua kuoa akiwa kikongwe hivi?
😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣Hongera yake ila wataachana tu.
Kuiga kutabikia kuiga tu. Tatizo ukiiga wala hupendezi. Huyo demu ameiga mipigo ya kizungu ya kushangaa kwa kuweka kiganja mbele ya mdomo kama haamini..... Ningefurahi kama angefurahia kwa uhalisia wake.Unataka kusema kipindi chote hicho alikuwa hana Mke?
Ukikongwe wa Salim Kikeke umeanza tangu lini? Mwanaume hadi miaka 90 unavuta mzigo mpya wa kukupatia joto bila shida kabisa. Cha msingi kuwa na Mali za kumrithisha.Du ana tatizo gani hadi anaamua kuoa akiwa kikongwe hivi?
Haa Ulisema Unapumzika JFKila la heri kwao
Aamini nn wakati wamesha lala sanaKuiga kutabikia kuiga tu. Tatizo ukiiga wala hupendezi. Huyo demu ameiga mipigo ya kizungu ya kushangaa kwa kuweka kiganja mbele ya mdomo kama haamini..... Ningefurahi kama angefurahia kwa uhalisia wake.
dada makamasiKwani alishaachana na yule mkewe mzungu?
Lakini, haya sio maigizo kweli? Mbona eneo liko hovyo sana kwa event ya uvishwaji pete?
Hata hivyo hongera kwao.
Na wewe umeona eeh.... yaani acha tu.Anamuoa nani,naona hana neema ya shehe Kipozeo
Amrabat anataka kukaushwa Mafuba ya BBC eeenh .
#Labda maigizo kweli.
Wote used, so ngoma droo...Tayari another man downView attachment 3163537
Watanzania wadanganyifu sana, wangegombana maana wazungu wengi ni wakweliSa si angemleta Bi Mzungu TZ?