Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai!! Bye bye Salim Kikeke

Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai!! Bye bye Salim Kikeke

Screenshot_20241127_215309_Google.jpg
 
Mhhh..
Hizo karata unazichangaje vizuri!? Na unajuaje km ushazichanga vizuri!? Mambo ya ndoa navona hayatabiriki
Kuna mambo kadhaa Wanaume huwa tunayazingatia kabla ya kufanya uamuzi wa Kuoa.

Mambo hayo Kwa sehemu kubwa uki-mess ndiyo huleta shida kwenye Ndoa hata kama umeona ukiwa na umri wangu wa miaka 78😜
 
Back
Top Bottom