Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hata bila bila kupiga goti kama kulizwa utalizwa tu. Hainaga formulaHilo goti alilopiga litampoza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata bila bila kupiga goti kama kulizwa utalizwa tu. Hainaga formulaHilo goti alilopiga litampoza.
Ngoja tuoneHata bila bila kupiga goti kama kulizwa utalizwa tu. Hainaga formula
Kuna waliopigiwa magoti na wadada lakini wanakiona ch moto. Waulize wapo humu. Ile ni showoff tu haina uhalisia wowoteNgoja tuone
Kupigiwa magoti na wadada kitandani si ndio?Kuna waliopigiwa magoti na wadada lakini wanakiona ch moto. Waulize wapo humu. Ile ni showoff tu haina uhalisia wowote
kupiga goti ni kuonesha udhaifuKuna waliopigiwa magoti na wadada lakini wanakiona ch moto. Waulize wapo humu. Ile ni showoff tu haina uhalisia wowote
Huyu umri wake ni sawa na Baltasar Engonga, vipi ile show ulionaje?Kikongwe Salim Amezeeka sana.
Humo ndani bado MAINI yanafanya kazi kweli?
Au ndo yale mambo ya PEPEA ITASIMAMA?
"Pepea na gazeti baby itasimama ndani kwa ndani"
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Demi Kalpana binti kiziwi
Hongera kwake...Tayari another man downView attachment 3163537
Huyo alishaoa miaka 17 huko nyumaTayari another man downView attachment 3163537
Mmh! Sijui kwakweli!!Hapo sawa ,naona Rukia kwasasa yupo Yas Mixx vipi bado anaendeleza kupasha?
Hongera Kwa kusema ukweliSawa lakini sisi wanawake tuna kaunafki flani hv yaani mtu sio mara ya kwanza kumvisha mwanamke pete alfu eti mkono mdomoni kama vile anashangaa ni surprise kama vile ndio wa kwanza mpyaaa🤭
Umejaribu kuishi na jinsia ME? Jaribu hutojutia.Ila jamn kuish na jinsia k nikazi sana
amini ni kweli? Au wewe ndiyo halima kopwe?Tayari another man downView attachment 3163537
Ila wanawake wengine wana roho ngumu! Hivi unapataje hisia ama kumoenda mzee ngozi imejaa makunyanzi halafu unalala naye! Duh! Wanawake wengine siyo michezo!Ukikongwe wa Salim Kikeke umeanza tangu lini? Mwanaume hadi miaka 90 unavuta mzigo mpya wa kukupatia joto bila shida kabisa. Cha msingi kuwa na Mali za kumrithisha.
Huyo mmoja anapasua balaa, ukiongeza unaongeza na waume wenza wenzako kama wote!Mke Mmoja Anapumbaza Akili, Oa Wake Wanne
Aaah!....acha uchawi aiseee..In Loving Memory of Salim kikeke 🌷
🤣🤣🤣Mijusi?!🤭Na unga mkono hoja. Huwa na enjoy sana kula mijusi
Naitaga mijusi, mwili wembamba juu mpaka chini na kitako kwa mbaliii!!🤣🤣🤣Mijusi?!🤭