Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
🤣🤣🤣 Hongera sanaNaitaga mijusi, mwili wembamba juu mpaka chini na kitako kwa mbaliii!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Hongera sanaNaitaga mijusi, mwili wembamba juu mpaka chini na kitako kwa mbaliii!!
Hahahaha 😆Umejaribu kuishi na jinsia ME? Jaribu hutojutia.
Ungenambia nikufafanulieUmejaribu kuishi na jinsia ME? Jaribu hutojutia.
acha ujinga,mwanamme hazeekiDu ana tatizo gani hadi anaamua kuoa akiwa kikongwe hivi?
Hahhahahaa Baltazari hana mpinzani maninaaHuyu umri wake ni sawa na Baltasar Engonga, vipi ile show ulionaje?
Mazoezi, chakula na mipango ikiwa imekaa sawa…..!
Kwahyo acha niendelee kuzisakaMwanaume unaweza Kuoa ukiwa na miaka 70 na bado ukaendelea kuzalisha hasa ukipata Mke wa miaka 28 hadi 33 hapo
Keshafeli mbele za Mungu na wanaume.Tayari another man downView attachment 3163537
Keshafeli mbele za Mungu na wanaume.Tayari another man downView attachment 3163537
Kabisa..!! 😆😆😆Aaah!....acha uchawi aiseee..
Unajua nguvu ya maokoto???Ila wanawake wengine wana roho ngumu! Hivi unapataje hisia ama kumoenda mzee ngozi imejaa makunyanzi halafu unalala naye! Duh! Wanawake wengine siyo michezo!
Demu ako na mdomo mkubwaaaaa......Tayari another man downView attachment 3163537
Mbona alikuwa na mke atakuwa alikimbia manyanyaso uko abroad maana kule kila kitu anapewa mwanamkeUnataka kusema kipindi chote hicho alikuwa hana Mke?
Goti la umautiHilo goti alilopiga litampoza.
Mdogo mkubwaaaaa.......Demu ako na mdogo mkubwaaaaa......
Kwa nyie Kataa ndoa bora muendelee kutafuta hela ili ukioa usiwe na hofu ya kugawana Mali na Mkeo.Kwahyo acha niendelee kuzisaka
Tayari another man downView attachment 3163537