Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Kibaka lazima utamuona tuu...Ona pozi la Mwizi anajifanya Yuko very surprised......
#Stay Hard.
#Stay Putinized.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaka lazima utamuona tuu...Ona pozi la Mwizi anajifanya Yuko very surprised......
#Stay Hard.
#Stay Putinized.
Ila wanawake wembamba,Mungu awalinde,,naomba niwagaie mbingu yangu...sio kwa utamu huu ninaoupata..yaani ni double kwa Maza house na mchepuko.Huyo bibie nguo imembana mno,anashindwa kuhema jaman🤦
Wewe unaesema mandown...hivi unajua raha ya kusex na wanawake wembamba? Hakuna inapokwama!
Ila gubu ndiyo ananyoka nalo
WoowIla wanawake wembamba,Mungu awalinde,,naomba niwagaie mbingu yangu...sio kwa utamu huu ninaoupata..yaani ni double kwa Maza house na mchepuko.
Mbingu yangu unayo mkuuWoow
OkayMbingu yangu unayo mkuu
Babu mimi sio kataa ndoa naomba nikusahihishe hapo.Kwa nyie Kataa ndoa bora muendelee kutafuta hela ili ukioa usiwe na hofu ya kugawana Mali na Mkeo.
Maana ndiyo kitu mnachoogopa
Wakati mnaanza maisha ya Ndoa una orodhesha Kila kitu ulichonacho ili Mkeo akija mnaanza upya
Atulize Ball mmewe ni mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo.Mmh! Sijui kwakweli!!
Hilo goti alilopiga litampoza.
Goti la umauti
Afadhali, nilitaka kusema Babu yenu nina mkosi maana Vijana wangu wote wa kiume wamekuwa timu Kataa NdoaBabu mimi sio kataa ndoa naomba nikusahihishe hapo.
Umeongea jambo la muhimu sanaWe sema 70 uje upigwee matukio uwaachie watu mzigo wa kikokotoo
Ongea nae au ongea na wazee wenzio umtafutie mjukuu wa kike alietulia aoe.Afadhali, nilitaka kusema Babu yenu nina mkosi maana Vijana wangu wote wa kiume wamekuwa timu Kataa Ndoa
Kuna mmoja hapa nyumbani, amekuwa hapendi ndoa tangu akiwa na umri wa miaka 10 🙌
Hakika nitafanya hivyo, maana ukiwa Baba unatamani kuona Vijana wako wote wa kiume wanaoa na kupata wake wazuriOngea nae au ongea na wazee wenzio umtafutie mjukuu wa kike alietulia aoe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe una maisha mazuri? Unawapangia watu namna na jinsi ya kutoa maoni, mbona utateseka sana,.hii forum ina watu zaidi ya malaki huko, inakaribia milioni, wote hao unataka kuwapangia wachangiaje na kutoa maoni yao, unadhibitisha kwa namna ipi uchumi wa mtu kwa kupitia koment yake..hapa ni uhuru wa maoni na kila mtu ana uhuru wa maoni yake , kama.wewe unaishi duniani huku unataka kila.mtu afanye unavyotaka wewe utateseka sana , na utateseka zaidi na kujidanganya kua wasiotoa maoni unayoyataka wewe ndio wana maisha magumu...grow the fak up!Kupitia mitandao ya kijamii ndio unapata kujua kuwa watu wanapitia magumu maishani mwao kupitia comment zao......na hizi ndio sehemu pekee kwao ya kutoa msongo wa mawazo na hasira zao.........
Imagine mtu anakuwa bitter hata kwa mtu asiyemjua na wala hajali uwepo wake......
Sentence moja tu ya kumtakia mwenzako kheri inakuwa paragraph nzima ya kulaani, kulaumu, kutukana na hata kumuombea mabaya kiumbea mwenzio......
Lakini nimejifunza kuwa ukimuona mtu hamjuani na wala hamfahamiani lakini yupo mkali mkali usimchukie bali unapaswa kumuonea huruma......
Hahahhahaa!!.....Sawa nduguWewe una maisha mazuri? Unawapangia watu namna na jinsi ya kutoa maoni, mbona utateseka sana,.hii forum ina watu zaidi ya malaki huko, inakaribia milioni, wote hao unataka kuwapangia wachangiaje na kutoa maoni yao, unadhibitisha kwa namna ipi uchumi wa mtu kwa kupitia koment yake..hapa ni uhuru wa maoni na kila mtu ana uhuru wa maoni yake , kama.wewe unaishi duniani huku unataka kila.mtu afanye unavyotaka wewe utateseka sana , na utateseka zaidi na kujidanganya kua wasiotoa maoni unayoyataka wewe ndio wana maisha magumu...grow the fak up!
Upwekee nyumba imepwayaaDu ana tatizo gani hadi anaamua kuoa akiwa kikongwe hivi?
Nilijua kuna mbuyu umeanguka,kumbe mbuyu umeangushwa.Tayari another man downView attachment 3163537