Shida unayo we we unayetaka kila MTU apapende mbeyaUtakuwa una shida mahala sio bure au una chuki binafsi..
Utaacha kuishi Mbeya utaenda kuishi Tabora au Mwanza au wapi hasa? Dodoma?
Wala sijalazimisha mtu,ishi unapopapenda ila Mbeya ni tamu balaaShida unayo we we unayetaka kila MTU apapende mbeya
Arusha kimandolu kijenge juu chini ungalimited na kwingineko hata dar kariakoo kuna nyumba za udongo we umezaliwa kahama ukakulia kahama huwezi yajua haya
Dunia kabisa MkuuMbeya ndio kijiji kikubwa Afrika Mashariki
SawaUlikua huna hela unaishi ilemi kule mtoni unategemea nini
Kama picha gani bwashee?Kwenye hizo picha kuna picha nyengine umetufunga mzee uc dangnye wa2
ASawa ndomyana, jina lako tu linaonesha ni mrugaruga wa kama sio Ileje basi Kyela ndani ndani huko...
Hongera kwako wewe uliyezaliwa huko kote ulikokutaja...