Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Mbeya na Njombe ntachagua Njombe...Mbeya mjini hapana jamaniLazima tukubali changamoto ili tuweze kutatua. Mbeya bado. Hata pale panapoitwa jiji ni aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya na Njombe ntachagua Njombe...Mbeya mjini hapana jamaniLazima tukubali changamoto ili tuweze kutatua. Mbeya bado. Hata pale panapoitwa jiji ni aibu.
Sawa nenda kalime viazi,hatujakulazmisha mkuu..Mbeya na Njombe ntachagua Njombe...Mbeya mjini hapana jamani
Mkuu,Hii ni mbeya ya mwaka gani unayoiongelea wewe...Msimu wa kiangazi vumbi jingi sana mnatembea mmekaza meno huku mmefumba macho kama mnafinywa
Huu sio mzuri wa kuanzia sababu ukihama utapata tabu sana mbeya maisha rahisi sanaIngekuwa Vijana wanaoanza maisha ya Utumishi ingekuwa wanaruhisiwa kuchagua Mkoa, ningewashauri waanze na huo.
Maisha ni Cheap sana Mbeya, mara ya kwanza nafika nakutana na Chips za shilingi 500 ambazo nilishindwa kuzimaliza
Ukiwa na shilingi laki 1 inatosha kula Mwezi Mzima
Acha uongo basi,Mji umejaa miti Hilo vumbi linatumika wapi? Mbeya sio Shinyanga ni green City.Msimu wa kiangazi vumbi jingi sana mnatembea mmekaza meno huku mmefumba macho kama mnafinywa
Kabisaa labda vyakula tu,ila vitu vingine mbeya hapana.Mbeya haina hadhi ya kuitwa Jiji...ni ka mji kabovu tu.
Ujenzi holela is all over Tanzania not only in Mbeya..Tatizo kubwa la Mbeya ni ujenzi holela na nyumba zenyewe sasa...khaaa!
Utakuwa una shida mahala sio bure au una chuki binafsi..Kabisaa labda vyakula tu,ila vitu vingine mbeya hapana.
Hayo maisha marahisi ni yanakuaje? Mbona Dar mabanda ya 30,000 Kwa mwezi yapo,Ukiwa na buku 2 unapata mseto wa matunda na unakunywa chai saafi kabisa.Huu sio mzuri wa kuanzia sababu ukihama utapata tabu sana mbeya maisha rahisi sana
Ndo kwenyenyewe Sasa hapoKama kitimoto ipo ni mkoa mzuri
Njombe unaisikia au unaifahamu kwanza?Mbeya na Njombe ntachagua Njombe...Mbeya mjini hapana jamani
Ujenzi holela is all over Tanzania not only in Mbeya..
Mabanda yale Yako Mwanza ni sawa na Mbeya? Mbeya is way better na sio mitaa yote ni baadhi tuu.View attachment 2565933View attachment 2565934
Sio tuu nyumba za udongo Bali hapo Dar,Mwanza,Dom ,Arusha huko nyumba ni za mabanda ya mabati.Wewe ni mwenyeji wa Mbeya?
Ni jiji gani Tanzania hapa ushawahi ona lina nyumba za udongo kama si Mbeya?
Nimeishi Mbeya almost 5 yrs ..pabovu mno hapo mjini..hufeel raha ya kuwa ni mji..slums koteNjombe unaisikia au unaifahamu kwanza?
Hakuna Mkoa Mzuri wa Kuishi Tanzania kushinda Mbeya
Huna hoja unapayuka tuu ilimradi kukidhi your hate..Nimeishi Mbeya almost 5 yrs ..pabovu mno hapo mjini..hufeel raha ya kuwa ni mji..slums kote