Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Nikweli na naunga mkono hoja

Mchele wa Mbeya, Super Kyela ndio mchele wa grade 1.
Maharage ya Mbeya ndio maharage yanayoongoza kwa ulaini, kuyapika hadi yaive maji ni mara moja tuu!. Tena maharage yenyewe ya Mbeya, sio tuu ni maji mara moja bali pia ni matamu hayo!.

Kuna ubaya mmoja wa watu wa Mbeya hukuusema, hawana kabah, as a result watu wasio na kabah wanaitwa Wambeya na wanapenda umbea!.

Na kuna uzuri mmoja wa wanawake wa Mbeya, sio wachoyo, wana roho mzuri na kwenye yale mambo yetu yale, ni kama maharage ya Mbeya, maji mara moja!.

Na kwenye siasa, siasa za Mbeya ni very interesting, kwenye ubunge wa Mbeya mjini, nimewahi kuuliza "Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!
P
Umeanza vizuri ndugu P, ila umekuja kuharibu hapo kwenye "wanawake wa Mbeya sio wachoyo". Jiji la Mbeya lina mkusanyiko wa wanawake kutoka mikoa mbalimbali.
Mi nadhani hali ya hewa ya baridi ndio hufanya wanawake wengi wa huko kutokuwa "wachoyo".
 
Umeanza vizuri ndugu P, ila umekuja kuharibu hapo kwenye "wanawake wa Mbeya sio wachoyo". Jiji la Mbeya lina mkusanyiko wa wanawake kutoka mikoa mbalimbali.
Mi nadhani hali ya hewa ya baridi ndio hufanya wanawake wengi wa huko kutokuwa "wachoyo".
Kuna mahali kuna baridi kuliko Mufindi, Makambako, Katesh, Ilboru, Marangu?, mbona wale sio wamama huruma?.
P
 
Bajaji nyingi Sana kule

Hakuna migahawa mizuri mjini hakuna

Watu wa mbeya ni wastaarabu Sana huwezi lala njaa kule labda uamue unaweza anza na mmama mmoja Kansani unaenda kwingine unawasalimia tu 😂😂 utakaribishwa chakula watakupa na ndizi au karanga uende nazo Hafu fresh tu hawana noma

Wadada wa mbeya sura za baba zao ila makalio Sasa aisee 😂😂😁😍😍
Sasa baba bulubendi hapo makalio yameingiaje!!🤣🤣
 
Uzuri wa Mbeya ni hali ya hewa nzuri
Wanyaki ndugu zangu punguzeni dharau, ukabila,choyo,wivu na kuwapelekea maboss zenu umbea Ili mpendwe.
 
Back
Top Bottom