ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #101
Utatoboa tena saizi msimu wa mavuno ndio wenyewe.Vp nikija na mtaji mdogo kam m.2 iv kuazisha huduma za kifedha kama tigo pesa n.k soko lipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatoboa tena saizi msimu wa mavuno ndio wenyewe.Vp nikija na mtaji mdogo kam m.2 iv kuazisha huduma za kifedha kama tigo pesa n.k soko lipo?
Sababu za kihistoria.Kigoma,Ukerewe,Bukoba Kuna Ziwa vipi mbona watu hawajakaa? Mtwara na Tanga Kuna bahari Kwa nini pulling factor ya bahari haijawavuta?😁😁
Acha porojo sababu nilizokupa ndio za kitaalamu.
Hata kama shida ni simu,lakini jaribu kufanya editing mkuuuMsopende sana mikoa yenye cgakula kingi, hsina nxunguko wa hela.
Mbeta,Songea,Rujwa, Kigoma, Kagera,Kilimanjaro.
Hio mikoa utashiba ika hela za maana hutashika. Mkoa unaoata ndizj 4 kwa miambili utatoboa hapo.
Ili uyoboe hio mikia inakubidi ulime usafirishe mikoa mingine.
Napingana na usgsuri wako. Maisha sio cgakuka vali ni hela ukiwa na hela utanunua chochote..
Ili upate elf 10 itabifi uuze sagani ngspi za chips au chane ngapii za nduzi!
Una matatizo makubwa sana,Kwa hiyo pale Jijini watu wote ni wachuuzi wa mazao hakuna biashara zingine au siyo?Sababu za kihistoria.
Mfano Kigoma imezungukwa na nchi zenye vita muda wote nani ataenda kuwekeza? Serikali haikujenga barabara mapema, mkoa upo pembezoni sana. Kutoka tabora mpaka kigoma mapori makubwa sana hakuna mwingiliano.
Kusini haikukuwa na barabara nzuri kama mbeya. Tanga ni jiji hivyo lina hadhi sawa na Mbeya, Tanga inashindwa na Dar na pwani as a pulling factor, kwa sababu ni karibu hivyo Dar inawavuta zaidi kuliko Tanga, Kuna mambo mengi sana ktk kukua kwa miji.
Ni sawa ba kusema lwa nini Tunfuma inakua kuliko Mbalali.
Hivi Mbeya usipolima na kuwa mchuuzi wa mazao utafanya ishu gani nyingine,.
Fursa ya mipaka inatimiwa na wageni zaidi kuliko wenyeji.
Vitu vingi vinasafirishwa kwenda mikoani badala nje ya mipaka, kwa hio Mbeya imekuwa njia panda ya wageni badala uwe fursa kwa wanambeya.
Kaskazini wanajitahifi zaidi kusafirisha mazao kenya kuliko kusini.
Tujadili ktk mtazamo chanya sio hasi maana hii mikoa tunaishi wote, hivyo maendeleo ni ya wote.
Mwana Mbeya To yeye una wasiwasi naye?Acha kuwachafua Wana Mbeya,hizo ni tabia za watu wa Pwani na Arusha
Kiinglish hicho ni hatari! Rudi shule ya msingiUna matatizo makubwa sana,Kwa hiyo pale Jijini watu wote ni wachuuzi wa mazao hakuna biashara zingine au siyo?
I tired of your nonsense.
Me nilishauri kwa Watumishi Mkuu ingawa hata wasio watumishi.Msopende sana mikoa yenye cgakula kingi, hsina nxunguko wa hela.
Mbeta,Songea,Rujwa, Kigoma, Kagera,Kilimanjaro.
Hio mikoa utashiba ika hela za maana hutashika. Mkoa unaoata ndizj 4 kwa miambili utatoboa hapo.
Ili uyoboe hio mikia inakubidi ulime usafirishe mikoa mingine.
Napingana na usgsuri wako. Maisha sio cgakuka vali ni hela ukiwa na hela utanunua chochote..
Ili upate elf 10 itabifi uuze sagani ngspi za chips au chane ngapii za nduzi!
Me nilitamani kuhamia kabisa, manake kuna mikoa nimeishi gharama za chakula zipo juu sana.Upo sahihi mkuu, gharama za maisha za huo mkoa ni kitongaaaa...
Na sio chakula tu, gharama za vyumba au nyumba za kupanga zipo chini ukilinganisha na majiji mengine.Me nilitamani kuhamia kabisa, manake kuna mikoa nimeishi gharama za chakula zipo juu sana.
Unakuta unatumia almost kipato chako chote kwenye kula lakini sio Mbeya
Ndio neema za Mbeya hizoNa sio chakula tu, gharama za vyumba au nyumba za kupanga zipo chini ukilinganisha na majiji mengine.
Bila kutibu tumbo hakuna Maendelea unaweza fanya.Me nilishauri kwa Watumishi Mkuu ingawa hata wasio watumishi.
Ukishakuwa na uhakika wa chakula hata utafutaji mwingine inawezekana
Mbeya ina mandhari nzuri kwa kuishi but upatikanaji wa hela ni mgumu pia miundombinu kama barabara bado sana ukitaka uichukie mbeya ni kipindi cha kiangazi utapachukia kwa kweliMkoa wa Mbeya ni Kati ya Mikoa 5. iliyopo Nyanda za Juu Kusini sanjali na Mikoa ya Ruvuma,Iringa,Songwe,Njombe na Rukwa.Mbeya ilianzishwa mwaka 1961.
Mkoa wa Mbeya umejaaliwa kila kitu unachokijua wewe..
Kwa hapa Tanzania sijaona Mkoa Mzuri wa Kuishi kushinda Mbeya..
1.Kiuchumi.
Mbeya ni ya 3 Kwa kuchangia pato la Taifa yaani GDP Tanzania.
Mbeya ni ya 3 Kwa kuwa na Watu wenye kipato kikubwa.
2.Hali ya Hewa na Mandhari.
Mbeya Ina Hali ya hewa ya majira yote yaani Bariadi na joto na mvua ni uhakika sio tia maji tia maji kama Mikoa mingine.
3.Usafiri
Uwanja wa ndege wa Songwe
Usafiri wa Barabara kutoka Mikoa yote na Nchi jirani Kupitia Barabara kuu ya Tanzam.
Usafiri wa kwenye Maji via Ziwa Nyasa.
Pia Kuna usafiri wa reli nzuri kabisa unakufikisha Zambia kutokea Dar.
4.Kilimo.
Mbeya Ina Ardhi nzuri ya kulima Kila aina ya zao kuanzia mbogamboga,matunda,nafaka Hadi pareto na chai.
5.Madini na Nishati.
Mkoa una Kila aina ya Madini kuanzia Dhahabu za Chunya Hadi Makaa ya Mawe ya Kiwira bila kusahau Madini ya gas asilia ya CO2.
Umeme ni WA uhakika unaozalishwa kutoka migodi ya Kiwira na Geothermal.
6.Elimu.
Mbeya ni Kati ya Mikoa ya Wasomi hapa Tanzania.Mkoa wa Mbeya una vyuo Vikuu zaidi ya 5 mfano MUST,Mzumbe,CuCoM,Udsm,Tumaini,nk.
Mkoa una mamia ya vyuo vya kati na shule za kutosha eg St.Francis hivyo ni ideal pia Kwa issues za Elimu.
7.Utalii
Hapa kwenye Utalii ndio Kuna fursa nyingi maana sehemu kubwa ni underdeveloped.
Kuna Milima ya kawetere,bwawa la Mungu,Hifadhi ya Kitulo na pia unafika Kwa urahusi Ruaha au Katavi NP kutokea Mbeya.
8.Viwanda na Biashara.
Kuna viwanda vya aina mbalimbali kama Saruji,vinywaji vikali na laini kama soda,bia,wine nk.
Kuna viwanda vya magodoro,vifaa vya ujenzi,home appliances nk.
Aisha kama unataka kujenga viwanda Kuna maeneo ya kutosha yametengwa Kwa Ajili hiyo.
Mbeya ndio Kitovu Cha Uchumi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
9.Makazi na Accomodations.
Kuna fursa kubwa Bado ya ujenzi wa hoteli za kitalii na hoteli za kawaida maana ni Mkoa wa Biashara hivyo itakulipa.
Pia Hapa ni wewe tuu maana ujenzi wa Mbeya sio costful kama Mikoa mingine,unachagua ijengee tofauti au blocks au hata tofari mbichi udongo una nata vizuri kabisa..
10. Watu .
Mbeya Ina idadi ya watu zaidi ya mil.2.3 Kwa Mkoa mzima wanaokuhakikishia soko.
Aisha watu wake ni Wapambanaji ndio maana huwezi kusikia Mbeya ikitajwa kwenye mambo ya umaskini na shida ndogo ndogo,hawalalamiki kusubiria serikali.
Kiufupi hiyo ni summary ndogo sana Kati ya Mengi mazuri yaliyopo Mbeya,Karibuni sana Mbeya.
View attachment 2565251View attachment 2565252View attachment 2565253View attachment 2565317
Upatikanaji wa hela ni mgumu? Wapi pesa zinapatikana kirahisi watu waende Waka make life?Mbeya ina mandhari nzuri kwa kuishi but upatikanaji wa hela ni mgumu pia miundombinu kama barabara bado sana ukitaka uichukie mbeya ni kipindi cha kiangazi utapachukia kwa kweli