ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #261
Achana nao Mkuu,hao ni wale haters wanaosimuliana ujinga vijiweni.Nimemshangaa Sana.
Mbarali ipi anayoisema?
Mbarali yenye Ubaruku, Rujewa, Igawa, Chimala , Igurusi , Mswiswi?
Mbarali kwenye mpunga na madili ya Petrol na diesel?
Wewe ni wa ajabu,, Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayopendwa Sana na watumishiNdo roho zao wanaroho mbaya na chuki Kwa Mikoa iliyoendelea ad wanaume wanawivu kama wanawake,, mm niliomba uhamisho nikarudi zangu maana ukabila sana umetaradadi na ubishi wa kijinga Ndo WANAPENDA tena kama SIO mzawa wa mbeya ukija na plan ya mji wanakataa ila akiinuka boya MMOJA akasema Hoja mlenda wanakubali
Kiufupi watu wa mbeya ni wambeya kama jina lao
Wewe kwenu wapiUkabila mno yaan mnakaa vikao mnapanga namna makazi yapaswa yapangiliwe halafu wanaongea kinafiki et huyu ni mzaliwa wa wapi wakijua sio mbeya yaani hawakubali wanaanza chokochoko za hapa na pale na hii imepelekea at mji wao kuwa wa hovyo Tanzania nzima uchafu Kila upande,,hawasikii kipind sugu yupo at mkiwambia mipango ya kujenga hawataki kuelewa wanaandamana ovyo kutetea ujinga wanaotaka wao
Now wameamka wanataka huduma Bora...
Wewe ni wa ajabu,, Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayopendwa Sana na watumishi
Wewe kwenu wapi
Mapato hayo yanafanya KAZI ipi apa mbeya yenye bajaji nyingi kuliko idadi ya watuAchana nao Mkuu,hao ni wale haters wanaosimuliana ujinga vijiweni.
Kwa mapato baada ya Jiji la Mbeya,next ni Mbarali DC.
Acha kujichosha na kulipa airtime Hilo taahira,nimeshali ignoreWewe kwenu wapi
Wewe unaonekana NI msukuma,, ukabila upo kwenye damu ya msukuma ndio maana Una chuki Sana na watu wa Mbeya ambao ni wasomi , wanajitambua na Wana maisha mazuri.Tanzania napatikana
Umeniignore kama unanilisha pimbi ewe mbana unaanzisha Uzi kuchochea ukanda na ukabila halafu unajiona much know,, kumbe unaonyesha ujinga wa elimu yakoAcha kujichosha na kulipa airtime Hilo taahira,nimeshali ignore
Maisha Gani mazuri Kwa mfano waliyonayo usichekesheWewe unaonekana NI msukuma,, ukabila upo kwenye damu ya msukuma ndio maana Una chuki Sana na watu wa Mbeya ambao ni wasomi , wanajitambua na Wana maisha mazuri.
Zaid ya kukazania mji kutopangwa mmeizid nin kingine Mbeya?
Mnaanza kusema Mbeya hakuna hela , hiv mna akili nyie? Mbeya matajir Hadi vijijin
Pitia Takwimu za Nbs then fananisha hali ya Mbeya na usukumaniMaisha Gani mazuri Kwa mfano waliyonayo usichekeshe
elimu kumzidi@baba swalehe? HahhahKwa hiyo? Nimekuuliza ulienda hata shule kweli wewe?
Nafikiri muunganiko wa hali nzuri ya hewa na gharama ndogo za maisha vinafanya mwanamke yeyote yule anayeishi Mbeya, awe mwenyeji au mgeni kutokuwa "mchoyo".Kuna mahali kuna baridi kuliko Mufindi, Makambako, Katesh, Ilboru, Marangu?, mbona wale sio wamama huruma?.
P
Uhindini kuna nini na uyole kuna nini labda unahitaji kipi zaidi kwenye maeneo mengine tukuambieUnaweza kupunguza negative worlds then ukajibu swali.
""Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?""
#YNWA
Pascal Mayalla ni mnafiki. Nchi hii hakuna wanawake Malaya Kama wanawake wa Kanda ya ziwaNafikiri muunganiko wa hali nzuri ya hewa na gharama ndogo za maisha vinafanya mwanamke yeyote yule anayeishi Mbeya, awe mwenyeji au mgeni kutokuwa "mchoyo".
Hata wanyama huzaliana sana mahala penye amani na chakula kingi.
Kwako ndugu Pascal Mayalla
Huyu alupeleka majini yake ya pwani yakakemewa akawa hana aman moto ulimwakia ofisini.Wewe ni wa ajabu,, Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayopendwa Sana na watumishi
Njoo ule bure uku wewe umetoka singida kwenye njaaMaisha Gani mazuri Kwa mfano waliyonayo usichekeshe