Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Halafu nilisahau kuwauliza watu wa Mbeya,
Vipi mbususu za huko?
Bei zao ni elekezi
Pia pisi za huko ni kali au ni mbegu fupi kama za kule kwa kina nanihii?
 
Niliaminigi maneno ya Wanyakyusa nikaenda huko 2009 nilikutana vumbi kama poda kipindi hiki watu wanakula nondo za utosi, saa moja jioni wote ndani ukitaka kwenda hata dukani inabidi uvae helmet kulinda fuvu.
Duh.!
 
Halafu nilisahau kuwauliza watu wa Mbeya,
Vipi mbususu za huko?
Bei zao ni elekezi
Pia pisi za huko ni kali au ni mbegu fupi kama za kule kwa kina nanihii?
Hizo pisi zimekaa kama wanaume ukijichanganya zinaweka kukugonga ngumi, juu wana miili mikubwa lakini chini wapo kama mandonga.
 
Uhindini kna nn Sasa Bora na isyesye yaan ukisikia jina utakurupka fika Sasa uoneshwe hapa Ndo uhindini utachoka mwili akili na roho

Nl
Mimi mzaliwa wa mbeya naishi mbeya nimejenga mbeya nafanya kazi mbeya nafanya biashara mbeya sijui utanieleza kitu gani kuhusu mneya na wilaya zake kata mpaka vijiji. Nina mahati ya kutembea na kuishi karibia majiji yote na mijij mingi tz hii na hua nazunguka nchi nzima sijafika bukoba na kigoma tu sasa ukiniletea story kuhusu hii tz na miji take ntakushangaa
 
Inategemea umefata nini pale mbeya kama umefata majengo basi sawa mbeya ni mji uliotawanyika sana hakuna sehemu kama arusha kua utakuta soko stend kuu mara maduka
Kwahiyo Uhindini ndio mjini kwenu?

Boss Niko Mbeya tokea 2014.
Mbeya kifupi hakuna chochote ni mara mia na home Dar.

Boraa Tunduma Kuna hela ila sio Mbeya.

#YNWA
Ameuliza mbeya sehemu ukiacha kabwe na mwanjelwa wap umeza ona mji nikamjibu aende uwindini
 
Ni wapi unaweza panda mazao bila mbolea. Kama barabara ni mashimo hilo ni tatizo la serikari iliyopo madarakani sio la wananchi ungesema nyumba za kuishi mbaya basi tungesema letu wanambeya.
Mnachuki sana mbeya sijui tatizo ninini
 
Mm ajae TU hyo pimbi anapost barabara ya TANZAM vipande vipande halafu ni kipindi imejengwa🤣 pia bro mbeya lift wamezindua 2014 na walitamba balaa cheki hapaView attachment 2568295View attachment 2568296
Mbeya hatukuruhusiwa kua na jengo lenye gorofa zaidi ya 3 ulitegemea lift ikae wapi mpaka 2013 ndio ikaruhusiwa na kwanzia apo yapo zaidi ya majengo30 yenye lift
 
L
Shule za international zipo nyingi nyingi kwa sasa na zinafanya vizuri sana tu, ukiachana na za hapa mjini za wilaya nyingine pia
Lete list ya international school mbeya mkoa tuone acha porojo
 
Wee mzee unakufahaam had nsalaga ndundu itakua skalamanga hadi car wash. Kiukwel mbeya maisha cheap sana aisee kiepe cha buku mnakula watatu.. kitimoto kilo 3000.. aiseee
 
Wee mzee unakufahaam had nsalaga ndundu itakua skalamanga hadi car wash. Kiukwel mbeya maisha cheap sana aisee kiepe cha buku mnakula watatu.. kitimoto kilo 3000.. aiseee
Wapi huko kilo 3000?
Mm Naishi huku Mbeya hakuna hyo bei.
 
Wee mzee unakufahaam had nsalaga ndundu itakua skalamanga hadi car wash. Kiukwel mbeya maisha cheap sana aisee kiepe cha buku mnakula watatu.. kitimoto kilo 3000.. aiseee

Huwa mara kadhaa nikiwa Green city nakaa upande wa pili wa hiyo petrol station, mkono wa kushoto kabla hujaanza kushuka ile down uelekeo wa Itewe/Inyala...
 
Huku tunatoa watumishi kuja kuwanyonya nyie huko daslam mnatutajilisha sana kwa kweli
Kama wakina mwamposa wanavyochuma kutoka kwa wajinga na kujenga kujenga mahotel ya kifahari mbeya, ila na nyie mmezidi kila hatua mbili makanisa.
 
Na shule ya mbeya ndio shule bora kabisa tanzania pale st francis wapende wasipende mbeya tutawaongoza
Shule za international zipo nyingi nyingi kwa sasa na zinafanya vizuri sana tu, ukiachana na za hapa mjini za wilaya nyingine p
 
Na shule ya mbeya ndio shule bora kabisa tanzania pale st francis wapende wasipende mbeya tutawaongoza
Hiyo shule imejaa watoto kutoka kanda ya ziwa na kaskazini endeleeni kujipongeza kwenye hamna.
 
Kaka tunaandaa watu wa kupiga pesa nchi nzima sio uimbaji au uhubiri piga sana pesa wakija mbeya kama ee sio mwa hufungui kanisa
Kama wakina mwamposa wanavyochuma kutoka kwa wajinga na kujenga kujenga mahotel ya kifahari mbeya, ila na nyie mmezidi kila hatua mbili makanisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…