Hawa gen z ndo wanajenga holela,mwanza master plan ni nzuri,ukiwa mitaa nyegezi ndani huko ni hovyo kabisaMkuu, sioni tofauti kubwa sana ya ujenzi holela baina ya Mbeya na Mwanza.
Kama ilivyo Mbeya, Mwanza ina maeneo mengi ambayo mpangilio wake ni holela.
Viwanda viko kiasi ni kweli,lakini Iringa nako sii haba,Mafinga na mufindi kwa ujumla is a hot topic ingawa vina roho mbayaNimesema along the road.
Mbeya hakuna pulling factor ktk mji.
Mwanza kuna ziwa linaloleta utitiri wa watu. Kuna viwanda vya samaki, biashara ipo juu. Ni center ya mikoa ya Shy, Kagera, Mara, Tabora, Singida nk.
Mbeya ipo pembezoni sana watu wa Njombe ndio wamejaa. Mwanza iache tu kama ilivyo mbeya haitakuja kuifikia.
Mbeya asilimia kubwa wanategemea kilimo cha kujikimu, hawana ufugaji mkubwa,wala uvuvi, viwanda vichache sana kulinganisha na majiji mengine.
Mimi naamini in hard work,naunga mkono mbeya sababu ya hard work,uchuuzi tuwaachie DP.worldSababu za kihistoria.
Mfano Kigoma imezungukwa na nchi zenye vita muda wote nani ataenda kuwekeza? Serikali haikujenga barabara mapema, mkoa upo pembezoni sana. Kutoka tabora mpaka kigoma mapori makubwa sana hakuna mwingiliano.
Kusini haikukuwa na barabara nzuri kama mbeya. Tanga ni jiji hivyo lina hadhi sawa na Mbeya, Tanga inashindwa na Dar na pwani as a pulling factor, kwa sababu ni karibu hivyo Dar inawavuta zaidi kuliko Tanga, Kuna mambo mengi sana ktk kukua kwa miji.
Ni sawa ba kusema lwa nini Tunfuma inakua kuliko Mbalali.
Hivi Mbeya usipolima na kuwa mchuuzi wa mazao utafanya ishu gani nyingine,.
Fursa ya mipaka inatimiwa na wageni zaidi kuliko wenyeji.
Vitu vingi vinasafirishwa kwenda mikoani badala nje ya mipaka, kwa hio Mbeya imekuwa njia panda ya wageni badala uwe fursa kwa wanambeya.
Kaskazini wanajitahifi zaidi kusafirisha mazao kenya kuliko kusini.
Tujadili ktk mtazamo chanya sio hasi maana hii mikoa tunaishi wote, hivyo maendeleo ni ya wote.
Wanaongoza kukosa ni NjombeUmeanza vizuri ndugu P, ila umekuja kuharibu hapo kwenye "wanawake wa Mbeya sio wachoyo". Jiji la Mbeya lina mkusanyiko wa wanawake kutoka mikoa mbalimbali.
Mi nadhani hali ya hewa ya baridi ndio hufanya wanawake wengi wa huko kutokuwa "wachoyo".
Njombe Iko poa sana,ila Wana mambo ya hovyo mno.Mbeya na Njombe ntachagua Njombe...Mbeya mjini hapana jamani
It depends,huo mji masika watu wanaenda shamba mjini wanarudi kiangazi ,sasa jipange uwe una hang uzunguni na soweto,na uyole in fact Arusha ni nzuri for hang out,Dar es salaam ni fujo muda wote. Mbeya Hata maeneo ya forest yako bomba hakuna slum sana.na forest mpya.Nimeishi Mbeya almost 5 yrs ..pabovu mno hapo mjini..hufeel raha ya kuwa ni mji..slums kote
Muwe na tabia ya kuridhika,Forest mpya Iko poa,uzunguni ni poa sana for hiking,an the like,ukienda soweto pia kuko poa,jitahidi kutafuta vibe,mnaita mbeya Kijiji kwa kuringanisha na wapi,ondoa uwekezaji wa serikali DSM na Dodoma zina nini hapo,reform ya miji haiko vizuri.Mwanza inavurugwa kila Kona sasa hivi ndivyo tulivyo,Ukienda uyole.njia ya tukuyu nako kuko poa sana you can hang out,Raha itafute usifuate mkumbo.Mbeya ndio kijiji kikubwa Afrika Mashariki
Unajua kwanini hawapendi,they invest in farming,ukiona mtu anapika is for funny wanalima sana,any way kulikuwa na pub inaitwa Sunrise ilikufa,lakini Kuna royal tughimbe is hot 🔥Kupika hawajui maskini vyakula ni chukuchuku kule
Kavurugwa huyoHii speed ya uandikaji si mchezo hahahah
Dsm sehemu gani funguka isijekuwa unaongelea ofisi za serikali na magorofa ya national housingJiji ni Dar.
Mbeya ni kabwe na Mwanjelwa.
#YNWA
Kuna mtu kanambia juzi mji wa mbeya hovyo sana nikamwambia sawaWewe ni wa ajabu,, Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayopendwa Sana na watumishi
Mimi napenda forest mpya ya zamani uzunguni na uyole yote,kwa kifupi Sina baya,hata makunguru Kuna vibe flani hiviMbeya pana uzuri wake,huwezi kupa down grade moja kwa moja,shida ni watu wake wanavopasifia sanaaaa,..hii ndiyo hufanya mtu ambaye hajawahi fika mbeya kabisa,anatamani siku moja afike...akisha fika mkiwa mjini katikati ( yaweza kuwa uhindini,mwanjelwa,sido,kabwe nk) mgeni wako atakuuliza "mjini ni wapi?".. wewe utamjibu "hapa ndiyo mjini", basi utamuona mgeni wako akikata tamaa kabisa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Duuu,ulikatisha Chocho za sangu kwa nyuma,vingine ni miridi ya vikundiHuko ulikotaja kunaongoza kwa maslum na vichochoro vyenye matope na mabanda ya nguruwe.
Please,mbona Morogoro bado,Wana vigezo vyao wanaotoa majijiMbeya isingeitwa Jiji wangeita Kijiji kikubwa
Dsm ni mchanganyiko wa kaskazini na Kanda ya ziwe,in fact DSM ni cream ya nchi,Mbeye walioharibu ni wavamizi wameleta vipimbi vingi mnoHalafu nilisahau kuwauliza watu wa Mbeya,
Vipi mbususu za huko?
Bei zao ni elekezi
Pia pisi za huko ni kali au ni mbegu fupi kama za kule kwa kina nanihii?
Kumbuka haya malalamiko ya ubora wa nchi ni ya kote,na huu ni wakati wa mpito,tujitahidi kujenga nchi mafisadi wasifixhe pesa SwitzerlandMbeya hawana international school hata moja, st francis ni shule bora tu lakini si shule ya kimataifa.
Duuu,kitombile hasira zote za niniDaraja zuri lakini angalia background hapo hizo nyumba za tope kila mahali, na hapo ndio maeneo yenu ya kula bata, kutwa nzima kukesha kwenye makanisa na mambo ya kishirikina na kupiga umbeya kama jina la mkoa wenu.
Njombe Kuna Chocho ukiingilia kushuto soko jipya pale kama unaenda Songea,ni balaa.Njombe na Mbeya bora Njombe ..njombe imepangika...