ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Hapa silinganishi na Mikoa niliyoishi ila ukitembea Tanzania hii hakuna Mkoa Mzuri wa Kuishi Kama Mbeya.we umeishi mikoa mingapi na hizo data zako za uwongo. Unafahamu hata Tanzania ina mikoa mingapi, na waweza kuitaja? We ni wale hamjatoka nje ya mkoa.
Wapi pa kukaa unachagua mwenyewe ila Mbeya nayoizungumzia ni hii hpaa 👇Mbeya ipi Sasa Yani ukae ilolo, au sinde useme kukaa mbeya raha ebu kuweni seriously
Karibu tena Mkuu maendeleo ni hatua vumbi limepunguaNiliaminigi maneno ya wanyakyusa nikaenda uko 2009 nilikutana vumbi kama poda kipindi hichi watu wanakula nondo za utosi saa moja jioni wote ndani ukitaka kwenda hata dukani inabidi uvae helmet kulinda fuvu
Huu mji umechoka inabidi uvunjwe ujengwe upya. Ni mji mkubwa ila sio mzuri kimpangolio isipokuwa sehemu kadhaa. Mbeya ingepangwa mji ungekuwa mzuri no 1. Geographically ni no 1.Not that bad
Mkuu rangi za kutu za bati zisikutisheHuu mji umechoka inabidi uvunjwe ujengwe upya. Ni mji mkubwa ila sio mzuri kimpangolio ispokuwa sehemu kadhaa.
Mbeya ingepangwa mji ungekuwa mzuri no 1.
Geographically ni no1.
Mwanza itaendelea kuiacha Mbeya daima kwa sababu Mbeya wanaendelea kujenga holela sasa sijii kwa nini serikali haingilii kati na kuzuia kujenga holela.
Wanyakyusa na ndugu zao wasafwa hawazingatii mpango mji japo ni watu wanaojenga sana pengine kuliko makabila mengi.
Msipende sana mikoa yenye chakula kingi, hsina nxunguko wa hela. Mbeya, Songea, Rukwa, Kigoma, Kagera,Kilimanjaro.Ingekuwa Vijana wanaoanza maisha ya Utumishi ingekuwa wanaruhisiwa kuchagua Mkoa, ningewashauri waanze na huo.
Maisha ni Cheap sana Mbeya, mara ya kwanza nafika nakutana na Chips za shilingi 500 ambazo nilishindwa kuzimaliza
Ukiwa na shilingi laki 1 unatoa kula Mwezi Mzima
Ipo hivi watu wa Mbeya moja ya kitu wanafikiria sana ni kujenga ....... yani wewe ukiwa Mbeya haijalishi una pesa kiasi gani haijalishi unatembelea gari ya bei juu kiasi kuanzia benzi, BMW and the like ...Mkoa wenyewe imejengwa hovyo hovyo hasa Mbeya mjini kuliko mkoa mwingine wowote hapa Tanzania.
Miundo Mbinu mibovu kuliko mkoa mwingine wowote.
Mbeya mjini wameharibu jiografia kwa kujenga hovyo hadi kwenye vimilima kama kile cha Ilemi, cha Simike! Skwataz everywhere.ipo
Mkoa wa Mbeya ni namba 3 Kwa pato la Taifa Sasa unasemaje hakuna pesa?Msopende sana mikoa yenye cgakula kingi, hsina nxunguko wa hela.
Mbeta,Songea,Rujwa, Kigoma, Kagera,Kilimanjaro.
Hio mikoa utashiba ika hela za maana hutashika. Mkoa unaoata ndizj 4 kwa miambili utatoboa hapo.
Ili uyoboe hio mikia inakubidi ulime usafirishe mikoa mingine.
Napingana na usgsuri wako. Maisha sio cgakuka vali ni hela ukiwa na hela utanunua chochote..
Ili upate elf 10 itabifi uuze sagani ngspi za chips au chane ngapii za nduzi!
Naufahamu mkoa vizuri. Serikali imezembea kwente kipanga huu mji na bado wanaendekea kuharibu huko milimani wanajenga miji mipya hovyo hovyo.Mkuu rangi za kutu za bati zisikutisheView attachment 2565195View attachment 2565196
Hili lina ukweli. Mwanambeya akikuambia amejenga halafu ukakikuta alichokijenga, ni ajabuIpo hivi watu wa mbeya moja ya kitu wanafikiria sana ni kujenga ....... yani wewe ukiwa mbeya haijarishi unapesa kiasi gani haijarishi unatembelea gari ya bei juu kiasi kuanzia benzi , bmw and the like ...
Kama utakuwa hujajenga nyumba hata ya vyumba viwili ( hauna nyumba ) basi mbele ya wanambeya huna cha kuwaambia wewe ni .masikini kama masikini wengine .
Sasa basi ili kila mwanambeya kukwepa hii aibu basi atajitaidi kujenga kajumba kokote kale hata eneo lisilotakiwa ili kukwepa kudharaulika matokeo yake ndyo huo ujenzi wa olela unaouona hapo mbeya.
Hakuna single Kiongozi anaweza badili Mkoa yeye kama yeye,sera za Nchi Haziruhusu Hilo maana hata ukiongeza uzalishaji Bado mapato yatakuwa ni ya Nchi.Naufahamu mkoa vizuri.
Serikali imezembea kwente kipanga huu mji na bafo wanaendekea kugaribu huko milimani wanajenga miji mioya hovyo hovyo.
Mbeya haijawahi pata kiongozi mahiri wa kusimamia mji.
Mbeya ingekuwa kama ulaya.
Pesa zingeonekana. Mwanza huitaji kuitetea kila kitu kinajionesha. Kwa nini mbalali haibadiriki kama watu wanahela.Mkoa wa Mbeya ni namba 3 Kwa pato la Taifa Sasa unasemaje hakuna pesa?
Mbeya ni Mkoa wa pili kuwa na mabasi mengi ya kutoka Dar to Mikoani
Sasa with all that how comes hakuna mzunguko wa pesa? Hizi stori Huwa unahadithiwa na nani bwashee?
Upo sahihi mkuu, gharama za maisha za huo mkoa ni kitongaaaa...Ingekuwa Vijana wanaoanza maisha ya Utumishi ingekuwa wanaruhisiwa kuchagua Mkoa, ningewashauri waanze na huo.
Maisha ni Cheap sana Mbeya, mara ya kwanza nafika nakutana na Chips za shilingi 500 ambazo nilishindwa kuzimaliza
Ukiwa na shilingi laki 1 unatoa kula Mwezi Mzima
Hata mipango mji? Mapato ya halmashsuri mengine si yanabaki. Dodoma yajuzi tu wameweza kupanga mji wao na unakua kwa kasi na itaizidi mbeya si muda mrefu.Hakuna single Kiongozi anaweza badili Mkoa yeye kama yeye,sera za Nchi Haziruhusu Hilo maana hata ukiongeza uzalishaji Bado mapato yatakuwa ni ya Nchi.
Mkoa wa Mbeya ni Kati ya Mikoa 5. iliyopo Nyanda za Juu Kusini sanjali na Mikoa ya Ruvuma,Iringa,Songwe,Njombe na Rukwa.Mbeya ilianzishwa mwaka 1961.
Mkoa wa Mbeya umejaaliwa kila kitu unachokijua wewe..
Kwa hapa Tanzania sijaona Mkoa Mzuri wa Kuishi kushinda Mbeya..
1.Kiuchumi.
Mbeya ni ya 3 Kwa kuchangia pato la Taifa yaani GDP Tanzania.
Mbeya ni ya 3 Kwa kuwa na Watu wenye kipato kikubwa.
2.Hali ya Hewa na Mandhari.
Mbeya Ina Hali ya hewa ya majira yote yaani Bariadi na joto na mvua ni uhakika sio tia maji tia maji kama Mikoa mingine.
3.Usafiri
Uwanja wa ndege wa Songwe
Usafiri wa Barabara kutoka Mikoa yote na Nchi jirani Kupitia Barabara kuu ya Tanzam.
Usafiri wa kwenye Maji via Ziwa Nyasa.
Pia Kuna usafiri wa reli nzuri kabisa unakufikisha Zambia kutokea Dar.
4.Kilimo.
Mbeya Ina Ardhi nzuri ya kulima Kila aina ya zao kuanzia mbogamboga,matunda,nafaka Hadi pareto na chai.
5.Madini na Nishati.
Mkoa una Kila aina ya Madini kuanzia Dhahabu za Chunya Hadi Makaa ya Mawe ya Kiwira bila kusahau Madini ya gas asilia ya CO2.
Umeme ni WA uhakika unaozalishwa kutoka migodi ya Kiwira na Geothermal.
6.Elimu.
Mbeya ni Kati ya Mikoa ya Wasomi hapa Tanzania.Mkoa wa Mbeya una vyuo Vikuu zaidi ya 5 mfano MUST,Mzumbe,CuCoM,Udsm,Tumaini,nk.
Mkoa una mamia ya vyuo vya kati na shule za kutosha eg St.Francis hivyo ni ideal pia Kwa issues za Elimu.
7.Utalii
Hapa kwenye Utalii ndio Kuna fursa nyingi maana sehemu kubwa ni underdeveloped.
Kuna Milima ya kawetere,bwawa la Mungu,Hifadhi ya Kitulo na pia unafika Kwa urahusi Ruaha au Katavi NP kutokea Mbeya.
8.Viwanda na Biashara.
Kuna viwanda vya aina mbalimbali kama Saruji,vinywaji vikali na laini kama soda,bia,wine nk.
Kuna viwanda vya magodoro,vifaa vya ujenzi,home appliances nk.
Aisha kama unataka kujenga viwanda Kuna maeneo ya kutosha yametengwa Kwa Ajili hiyo.
Mbeya ndio Kitovu Cha Uchumi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
9.Makazi na Accomodations.
Kuna fursa kubwa Bado ya ujenzi wa hoteli za kitalii na hoteli za kawaida maana ni Mkoa wa Biashara hivyo itakulipa.
Pia Hapa ni wewe tuu maana ujenzi wa Mbeya sio costful kama Mikoa mingine,unachagua ijengee tofauti au blocks au hata tofari mbichi udongo una nata vizuri kabisa..
10. Watu .
Mbeya Ina idadi ya watu zaidi ya mil.2.3 Kwa Mkoa mzima wanaokuhakikishia soko.
Aisha watu wake ni Wapambanaji ndio maana huwezi kusikia Mbeya ikitajwa kwenye mambo ya umaskini na shida ndogo ndogo,hawalalamiki kusubiria serikali.
Kiufupi hiyo ni summary ndogo sana Kati ya Mengi mazuri yaliyopo Mbeya,Karibuni sana Mbeya.
View attachment 2565116View attachment 2565117