Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
SawaHuna hoja unapayuka tuu ilimradi kukidhi your hate..
Mbeya haifananishwi na Mkoa wowote Kwa uzuri wa Kila kitu hapa Tanzania.
Suala la kuishi miaka mingapi Wala sio dili ,mbona Mimi naishi Dodoma mwaka wa 6 huu na sijapapenda? Niliiehi Dar miaka 3 sikupapenda?
Hii ni indicator kwamba mzunguko WA Hela ni mdogoNa sio chakula tu, gharama za vyumba au nyumba za kupanga zipo chini ukilinganisha na majiji mengine.
Katembee tu,Panafaa kuweka makazi ya kudumu ama kutembea tu?
Bajaj zimezidiLazima tukubali changamoto ili tuweze kutatua. Mbeya bado. Hata pale panapoitwa jiji ni aibu.
Mwisho kuhusu Mbeya ni kwamba udongo wake ni kama Saruji ukichoma zile tofali unapunguza ubora so una option ya kujengea mbichi au blocks..
Mwisho umewahi kuona zimevunjika? Umewahi sikia nyumba zimepotomoka? Acheni kukariri maisha na vitu msivyovijua Kila kitu Kiko determined na nature na huo ndio uzuri na upekee wa Mbeya
Ujenzi holela umesababishwa na Serikali.Huu mji umechoka inabidi uvunjwe ujengwe upya. Ni mji mkubwa ila sio mzuri kimpangolio ispokuwa sehemu kadhaa.
Mbeya ingepangwa mji ungekuwa mzuri no 1.
Geographically ni no1.
Mwanza itaendelea kuiacha Mbeya daima kwa sababu Mbeya wanaendelea kujenga holela sasa sijii kwa nini serikali haingilii kati na kuzuia kujenga holela.
Wanyakyusa na ndugu zao wasafwa hawazingatii mpango mji japo ni watu wanaojenga sana pengine kuliko makabila mengi.
Pia wana ukarimu sana dada zao.Bajaji nyingi Sana kule
Hakuna migahawa mizuri mjini hakuna
Watu wa mbeya ni wastaarabu Sana huwezi lala njaa kule labda uamue unaweza anza na mmama mmoja Kansani unaenda kwingine unawasalimia tu [emoji23][emoji23] utakaribishwa chakula watakupa na ndizi au karanga uende nazo Hafu fresh tu hawana noma
Wadada wa mbeya sura za baba zao ila makalio Sasa aisee [emoji23][emoji23][emoji16][emoji7][emoji7]
Baada ya kuishi umeona Zina shida gani? Kama wewe ni WA Mbeya tofali mbichi na zilizochomwa zipi ngumu?Mkuu ujenzi wa tofali za kuchoma kwa Mbeya mjini umekuja baadaye sana, mimi mwenyewe nimeishi sana tu kwenye hizo nyumba za tofali tope...
Nonde, Simike,Sinde, Nzovwe, Mbalizi, Makunguru, Ilomba, Uyole na hata miji mipya kama Nsalaga huku kote nyumba zilizopo ni za matofali ya matope yale...
Kuna miaka serikali ya mkoa ilipitisha amri ya ujenzi wa tofali za kuchoma, ndio walau afadhali watu wakaanza choma matanuru ya tofali na kwa waliokuwa na nyumba tayari, wakaambiwa wapige "lipu"...
Haziwezi vunjika kwa sababu zinajengwa vizuri, isipokuwa zinaharibu muonekano wa mji kwa namna zilivyo...Hazivutii machoni...
Kwahiyo mpo wengi kushinda dar ama sielewi. Mbeya pana pesa sana labda kama ulikuja na biashara yako ya kuuza senene.Tupo wengi ukichukua wastani Lazima tuoneka tupo Chini.
By the way kipenda Roho
hula myama mbichi. Ila Tanzania ni mikoa niliyokutajia Kwa huduma za uhakika
Kwanza hao wanaojisemesha ni aidha wanasimuliwa au waliishi miaka hiyo.Kwahiyo mpo wengi kushinda dar ama sielewi. Mbeya pana pesa sana labda kama ulikuja na biashara yako ya kuuza senene.
[emoji1787] nimecheka kwenye kulinda fuvu[emoji1787][emoji1787]Niliaminigi maneno ya wanyakyusa nikaenda uko 2009 nilikutana vumbi kama poda kipindi hichi watu wanakula nondo za utosi saa moja jioni wote ndani ukitaka kwenda hata dukani inabidi uvae helmet kulinda fuvu
Kwahiyo umeamua kutupangia shuguli ya kufanya wanambeya. Haya sasa wanambeya tumeamua kulima tu tunatoa tani na tani kila siku za mazao ya kilimo eheee mwanza mnafanya niniSababu za kihistoria.
Mfano Kigoma imezungukwa na nchi zenye vita muda wote nani ataenda kuwekeza? Serikali haikujenga barabara mapema, mkoa upo pembezoni sana. Kutoka tabora mpaka kigoma mapori makubwa sana hakuna mwingiliano.
Kusini haikukuwa na barabara nzuri kama mbeya. Tanga ni jiji hivyo lina hadhi sawa na Mbeya, Tanga inashindwa na Dar na pwani as a pulling factor, kwa sababu ni karibu hivyo Dar inawavuta zaidi kuliko Tanga, Kuna mambo mengi sana ktk kukua kwa miji.
Ni sawa ba kusema lwa nini Tunfuma inakua kuliko Mbalali.
Hivi Mbeya usipolima na kuwa mchuuzi wa mazao utafanya ishu gani nyingine,.
Fursa ya mipaka inatimiwa na wageni zaidi kuliko wenyeji.
Vitu vingi vinasafirishwa kwenda mikoani badala nje ya mipaka, kwa hio Mbeya imekuwa njia panda ya wageni badala uwe fursa kwa wanambeya.
Kaskazini wanajitahifi zaidi kusafirisha mazao kenya kuliko kusini.
Tujadili ktk mtazamo chanya sio hasi maana hii mikoa tunaishi wote, hivyo maendeleo ni ya wote.
Wewe utakua ni mkimbizi tu unatuzuga hakuna mahali pazuri kama mbeya apa nimelala zangu kaubaridi safi niamke niende soweto mchana nikagonge kitimotoBaridi na HIV ni balaa huko.Sipapendi Mbeya.Pachafu na wale Nguruwe wanaozurura kila kona hapana aisee.Bora nikaishi Kigoma kuliko Mbeya.
Arusha kimandolu kijenge juu chini ungalimited na kwingineko hata dar kariakoo kuna nyumba za udongo we umezaliwa kahama ukakulia kahama huwezi yajua hayaWewe ni mwenyeji wa Mbeya?
Ni jiji gani Tanzania hapa ushawahi ona lina nyumba za udongo kama si Mbeya?
Ulikua huna hela unaishi ilemi kule mtoni unategemea niniNimeishi Mbeya almost 5 yrs ..pabovu mno hapo mjini..hufeel raha ya kuwa ni mji..slums kote
Na mbeya inajengwa na wanambeya ukiona magorofa hakuna la muhindi wala mwarabu na ya taasisi za serikari ni machache sana. Hotel za mbeya zinamilikiwa na wanambeya huyo yeye alikuja kua dalali mbeya akapaogopaKwanza hao wanaojisemesha ni aidha wanasimuliwa au waliishi miaka hiyo.
sijui inakuaje mtu anashindwa kuelewa kwamba Miji inakua na shughuli zinaongezeka za Kila aina..
Mbeya mjini plus Mbalizi inaleta jumla ya watu 650,000 Hawa watu sio wachache Kwa mjini hapo Bado mawilaya nk.
Mkoa wenyewe imejengwa hovyo hovyo hasa Mbeya mjini kuliko mkoa mwingine wowote hapa Tanzania.
Miundo Mbinu mibovu kuliko mkoa mwingine wowote.
Mbeya mjini wameharibu jiografia kwa kujenga hovyo hadi kwenye vimilima kama kile cha Ilemi, cha Simike! Skwataz everywhere.