Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Sijakuelewa, kwamba kuna wazazi hawapendi mabinti zao waolewe ?! Fahari ya wazazi ni binti yao kuolewa na kutokua nungaiyembe. Miaka 26 plus Nungaiyembe mpaka 30 plus ati kuna wazazi hawataki binti yao aolewe ?!!

Miaka 30 plus baba hataki binti aolewe ?! Ebo. Basi baba na binti watakua wanatombana hao. Wewe vipi mkuu una miaka 29 plus mzuri wa sura na tabia na haujaolewa na wazazi wako "hawataki" uolewe ?
Walaa sijamaanisha hivo mie.. 😂
 
Msichana mzuri huwa anatolewa posa anapomaliza tu kidato cha sita. Anaingia chuo akiwa mke wa mtu. Waremo wote wenye tabia nzuri huwa wanasoma elimu ya juu wakiwa na wachumba ama waume .

By the way miaka hii first degree ni miaka 21, second degree kama anaunganisha ni miaka 24. Upo hapo??

Narudia kukazia tena. Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa.
Kama alimaliza form 4 na miaka 15 inawezekana akapata first degree akiwa 21😂😂😂 na itategemea alichosomea pia mkuu
 
Kuto-olewa by choice maana yake hawa wana tabia za ukahaba. Wanaona ndoa zitawabana wasiendekeze tabia zao za ukahaba.

30+ bado hajaolewa ? Ataolewa na umri gani na ataenda kufanya nn kwenye ndoa ikiwa mwisho wa mwanamke kushika ujauzito ni 45??
Mnhh mwisho kushika ujauzito ni miaka45?mkuu be serious kidogo😂😂😂
 
Kama alimaliza form 4 na miaka 15 inawezekana akapata first degree akiwa 21😂😂😂 na itategemea alichosomea pia mkuu
Yaah! Watoto huanza f1 wakiwa na 11 ama 12, kwahiyo 15 anamaliza F4.

Hata kama anasoma kozi ya miaka 5 chuo 24 anakuwa tayari kahitimu.
 
Yaah! Watoto huanza f1 wakiwa na 11 ama 12, kwahiyo 15 anamaliza F4.

Hata kama anasoma kozi ya miaka 5 chuo 24 anakuwa tayari kahitimu.
Ni hawa watoto wa sikuhizi wanaoanza darasa la kwanza wakiwa na 4 years.. 😂😂😂
Sie tulisubiri hadi mikono iguse sikio😁😁😁
 
Mkuu Demu anakuwa more beautiful at 22 baada ya hapo graph inashuka,so hapo inategemea na maintenance yake tu.


\\Rick Ross = Hustlin'

Don't tote no twenty-twos, Magnum cost me twenty-two (22 - Mguu wa Kuku)
Sat it on them twenty-twos, birds go for twenty-two ( 22' inch rim , 22 ngada)
Lil' mama super thick, she say she twenty-two( 22 - Umri)
She seen them twenty-twos, we in room two twenty-two(Room 222 - Special Guest in the second floor)
mkuu King Kong III hii mada nimekumbuka mfano wa Sepenga wakati huo alipokuwa moto hadi kwa kina Blue, Mond lakini leo hii sio kitu, Mond yupo na wengine sasa. Generation ya kina Sepenga ambaye bado ana-trend ni kama Uwoya tu.
 
Mnhh mwisho kushika ujauzito ni miaka45?mkuu be serious kidogo😂😂😂
Very true mkuu. Biological science ndiyo inavyosema. At 45 secretion of lubricating fluids to the vagina ceases and oestrogen hormone flow stops

Females start feeling pain during sexual intercourse and no more menstruation cycle. Biashara ya kuzaa inakuwa ushney
 
Ni hawa watoto wa sikuhizi wanaoanza darasa la kwanza wakiwa na 4 years.. 😂😂😂
Sie tulisubiri hadi mikono iguse sikio😁😁😁
Siku hizi wanawahishwa kuepusha kuchapiwa ama kulawitiwa na wajomba, makaka na mashamba boy
 
Wewe unajua ni miaka mingapi?Na hiyo huwa maximum age.Nimewahi kuona mwanamme mwenye 38yrs early menopause
Sawa lakini so wote.. Wanawake hadi 55 hado 60 wanafika..talking from experience.. Izo menopause huwa zinaanza tuseme from uo umri na sio lazma kila mwanamke aanze muda huo kama ilivokua katika kupevuka sio wote walipevuka wakiwa na miaka 9,11, 13,15..kunawengine hadi 19,20 years wanafika.. Ni ivo pia kwa menopause😀
Kunawatu wamezaa wakiwa na 45,wengine 50 na watoto wao wako vizuri tu..inategemea na mwili wa mtu pia..
 
Msichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Mh! Inamaanisha mchumba wangu mwenye 28y anamapungufu
 
Hakunaga akili inayomfanya mwanadamu ashindwe kuyatawala mazingira yake. Hayo siyo matumizi ya akili. Hao ni wajinga ni vile tu hukuwajua undani wao vizuri
Nin kwel mkuu unayosasema ,ila kuna kundi kubwa tu wanawaogopa wanawake wenye akili kwa kuhofia kuendeshwa , pengne ata unakuta wla hawapo hivyo , kwa hyo mtu anajifia tu bila kuwa na mwenza .
 
ila kuna kundi kubwa tu wanawaogopa wanawake wenye akili kwa kuhofia kuendeshwa ,
Mwanamke mwenye akili halafu akakosa adabu ni WA kuogopwa. Kwasabb atakosoa ama kushauri jambo pasi na staha hivyo kukwaza nafsi ya mwanaume kisha kupelekea ugomvi.
 
Huko kwenu wadada wanafika menopause wakiwa 40?

Kiuhalisia mtu akioa/akiolewa na umri mdogo anaichoka ndoa mapema sana. Unadhani aliyeolewa akiwa 18 hadi akifika 35 anakuwa na hali gani?

Tumeoa wadada wana 29 na wametuzalia bila matatizo, tusiwape dad's zetu stress za kuolewa wakiwa wadogo, wakati wao ukifika wataolewa, hata wakiwa 40.
Sawa waolewe wakiwa na 40 ila wasigawe gawe utamu.
 
Back
Top Bottom