Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Embu fafanua kwanza
 
Mpatie kani mnyanyuo mzee
 
Kichwa cha hatari hiki sii unaona hadi mrembo kazimia flag. Wewe tuu ndio una macho kengeza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Yani umemtafuna kidogo anakuja kukuanzishia uzi!๐Ÿ’”๐Ÿ’”mtu kama huyu ni wa kumuogopa sana.hana adabu wa hekima ya kuweza kumtunzia mtu privacy yako.

Nakushauri tu kama ulishamtafuna mara moja basi usirudi tena na kama hujawahi kumtafuna hakika usijemtafuna hata kidogo.

Huyu ni aina ya wanawake wanaotusababishia kushindwa kufahamiana na watu wastaarabu wa humu Jf.very ๐Ÿ˜ž
 
Ah wee siwezi muacha maana kashankonjesha utamu.
Watu wastarabu wapo tuu...kama hujampata niambie nikuunganishe nao
 
Kwa hiyo ndio mzabzab kisha kuchezea na kukuharibia maisha? Pole sana nkamu
 
Ah wee siwezi muacha maana kashankonjesha utamu.
Watu wastarabu wapo tuu...kama hujampata niambie nikuunganishe nao
Chizi wewe๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃhujawahi kuwa na akili timamu wallah๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Chizi wewe๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃhujawahi kuwa na akili timamu wallah๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Wapo wengi tuu wenye akili humu. Mie wee niache na uchizi wangu najua kuna warembo wengi wa jf wanaupenda uchizi wangu
 
Wapo wengi tuu wenye akili humu. Mie wee niache na uchizi wangu najua kuna warembo wengi wa jf wanaupenda uchizi wangu
Kuna wakati nikisoma mwandiko wako huwa nachekaga haki tena๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Kichwa yako unaijuaga mwenyewe haki๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Tuache utani..itakuwa umempelekea motro vizuri sana mleta mada๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ