Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Watu humu mambooz.

Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.

Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.

Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Embu fafanua kwanza
 
Ah sasa hawa wanawake bila kuwadanganya unadhani watakuvulia chupi mwanawane? Hawa ni mwendo wakuwaaminisha wapo wenyewe kumbe umewapamda kama watano hivi.

Alafu usidanganyike mzeya wao wanajidai innocent lakini mhm...wanavidume sio chin ya watatu wanakojolea mbususu
Mpatie kani mnyanyuo mzee
 
Kichwa cha hatari hiki sii unaona hadi mrembo kazimia flag. Wewe tuu ndio una macho kengeza🤣🤣🤣
Yani umemtafuna kidogo anakuja kukuanzishia uzi!💔💔mtu kama huyu ni wa kumuogopa sana.hana adabu wa hekima ya kuweza kumtunzia mtu privacy yako.

Nakushauri tu kama ulishamtafuna mara moja basi usirudi tena na kama hujawahi kumtafuna hakika usijemtafuna hata kidogo.

Huyu ni aina ya wanawake wanaotusababishia kushindwa kufahamiana na watu wastaarabu wa humu Jf.very 😞
 
Yani umemtafuna kidogo anakuja kukuanzishia uzi!💔💔mtu kama huyu ni wa kumuogopa sana.hana adabu wa hekima ya kuweza kumtunzia mtu privacy yako.

Nakushauri tu kama ulishamtafuna mara moja basi usirudi tena na kama hujawahi kumtafuna hakika usijemtafuna hata kidogo.

Huyu ni aina ya wanawake wanaotusababishia kushindwa kufahamiana na watu wastaarabu wa humu Jf.very 😞
Ah wee siwezi muacha maana kashankonjesha utamu.
Watu wastarabu wapo tuu...kama hujampata niambie nikuunganishe nao
 
Watu humu mambooz.

Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.

Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.

Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Kwa hiyo ndio mzabzab kisha kuchezea na kukuharibia maisha? Pole sana nkamu
 
Wapo wengi tuu wenye akili humu. Mie wee niache na uchizi wangu najua kuna warembo wengi wa jf wanaupenda uchizi wangu
Kuna wakati nikisoma mwandiko wako huwa nachekaga haki tena🤣🤣

Kichwa yako unaijuaga mwenyewe haki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Tuache utani..itakuwa umempelekea motro vizuri sana mleta mada🤣🤣
 
Back
Top Bottom