Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Unsolved

1. The Dyatlov Pass Incident (1959, Russia)

2. Jack the Ripper (1888, England)

3. The Hinterkaifeck Murders (1922, Germany)

4. The Zodiac Killer (1960s-70s, USA)

5. The Tamam Shud Case (1948, Australia)

6. The Villisca Axe Murders (1912, USA)

7. The Isdal Woman (1970, Norway)


Fuatilia hizo ni very interesting ila hao jamaa waliohusika hakuna hata mmoja aliyekamatwa imefikia hatua watu wanadhani ni hadithi za kufikirika.
 
Asante nitapata muda nizichimbe nijue vizuri
 
Hiyo ni kwa bongo tu


Refer to Jamal khashoggi assassinated 2 Oct 2018 in Instanbul Turkey aliingia ubalozini tu na hakutoka tena huko mkewe mtarajiwa akimsuburi nje ya ubalozi for many hours
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ nilidhan atatoa mifano kwa nchi zilizoendelea kwa upelelez wa makosa kama ayo matokeo yake anatolea mfano kwa bongo tu
 
Hii mbona kama walisolve , kuna documentary nilicheki ila kama sikosei kuna mamlaka ikakataa mbinu zilizotumika in summary watu wa kundi la biggie walimpiga tupac na watu wa tupac wakapiga revenge kwa biggie
Mbona kuna wanaosema kauwawa na Diddy
 
Asante nitapata muda nizichimbe nijue vizuri
Huwa una fuatilia channel inaitwa Discovery ID,Kuna cases nyingi sana unsolved na pia kipindi kinaitwa perfect murder ndani yake,ni channel nzuri Sana na kiukweli watu wanaacha Sana alama na kupelekea kukamatwa kwenye baadhi ya cases
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…