Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Kwenye hiyo crew ya kina biggy, diddy yupo na idea ilitoka kwake vijana walivosikia alafu chance ikaja wakammaliza pac, according to ile docu mambo yalitokea chapu chapu sana
Aah ok
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Burudani ya serial killer huwa ni kuona jinsi gani polisi Wana hangaika kumtafuta.

Kinachowaponza serial killer wengi Huwa ni kulewa sifa, hapo ndo uwa wanakamtwa
Huyu bwana hata sura hawakuijua, aliyeyuka, kuna na mastermind mmoja alishirikiana na wazee wastaafu kuiba benki nae mpaka kesho hawajampataga..

Mleta uzi kattaja kesi ambazo watekelezaji sio pro, makosa kibao ya kiufundi. Jitu limeua na linaacha panga eneo la tukio, huyo Hamis ndio hamna kazi kabisa.

Bongo sijaonaga kesi za wale serial killers, wale ndio huwa professionals maana kuua kwao ni burudani.
 
UKU Bongo au afrika,

Hatuna wale WAHALIFU professional,

Yaani mhalifu anaorganise uhalifu wake kitaalam bila kuongozwa na hisia,hofu, overconfidence Wala mihemko.

Unakuta mhalifu anaandaa uhalifu atatakuja kuutekeza miaka 5 Hadi 10 mbele huko.

Uhalifu anauandalia hadi bajeti kabisa
 
Hata polisi wenyewe Huwa wanakili,

Ktk upelelezi hamna Kazi ngumu sn Kama kupeleleza uhalifu uliotekelezwa na mtu Ambae aliwahi kua mpelelezi au anaejua jinsi wapelelezi wanavyowaza.
 
Umeongea fact kabisa,
Wengi bongo wanafungwa kwa kukosa pesa ya mawakili wazuri, kumtia hatiani mtu Kwa kesi ya mauaji inataka ushahidi USIO WA kuunga unga
Murder chache sana suspects wanakamatwa na kutiwa hatiani wengi wanashinda kesi, kwenye mauaji hakuna ushahidi wa kusikia, ushahidi wenye nguvu ni eyewitness au ushahidi wa kisayansi ukikosekana huo ushahidi hata kama mtu kaua yeye ni ngumu sana kufungwa otherwise akiri mwenyewe ila asipokiri atakaa mahabusu muda mrefu baadae ataachiwa au baada ya kufungwa atakata rufaa na kuwa huru

hiyo mifano yako ni michache na yenye public interest muda mwingine hakimu anafunga macho na kumfunga mtu kutokana na msukumo uliopo kwenye jamii, japo siungi mkono matendo hayo lakini kusema kila anaeua anafahamika hiyo ni uongo mkubwa, siyo Tanzania tu duniani kote.
 
uzii umeeleweka sana, ila Kwa kuongezea tu kuna aina tofauti ya tukio lolote la mauaji.
Organized killer... Hili ni tukio ambalo muuaji anakua amejipanga na ni ngumu sana kubaini kwani tukio Zima Huwa linaanzia kwenye mchoro, pia dhana zote za kazi vinaandaliwa, mistakes kidogo tu unaunguza picha, muuaji anajua kitu anachokifanya na kuhakikisha haachi ushahidi...yako matukio mengi ambayo mpka kesho hajapata kujulikana, ndio maana hata wapelezi wametofaiutiana uwezo, wako wabobevu zaidi, ama international.
Disorganized killer... Hili ni tukio ambalo muuaji anakua hajajipanga, anaweza akatumia hata silaha aliyoikuta Kwa target, hakuna mpango kabla ya tukio, ushahidi unapatikana kirahisi, muuaji hata grooves havai anakuja mzimamzima, hivyo hata wapelezi wanapata pa kuanzi.... Nawasilisha
Huku bongo mtu anaua baada ya kufumania, Ile mihemko TU tayar unakua ujajipanga.

Kuna watu anakufumania Ila anaweka kiporo, afu anakuua Kwa simu ya polepole, ndani ya miez 6+ unaugulia kitandani, afu ndo anakumalizia kabisa.

Ripoti ya kifo inasomeka ni amefariki baada ya kuugua MDA marefu.

Kumbe tayar Kuna mtu keshalipiza kisasi chake na anaendelea na maisha yake
 
Uyo zodiak mbona alishadakwa kitambo Sana
Unsolved

1. The Dyatlov Pass Incident (1959, Russia)

2. Jack the Ripper (1888, England)

3. The Hinterkaifeck Murders (1922, Germany)

4. The Zodiac Killer (1960s-70s, USA)

5. The Tamam Shud Case (1948, Australia)

6. The Villisca Axe Murders (1912, USA)

7. The Isdal Woman (1970, Norway)


Fuatilia hizo ni very interesting ila hao jamaa waliohusika hakuna hata mmoja aliyekamatwa imefikia hatua watu wanadhani ni hadithi za kufikirika.
 
Wao wana assume mhalifu lazima umri wake utakua ni kuanzia miaka 18,

Sasa ukiongeza miaka 100 ya upelelezi Baada ya tukio, utakuta Hata mhalifu mwenyewe mnaemtafuta atakua tayari keshakufa.

Sasa utakua upotezaji WA muda na pesa kuendelea kupeleleza kesi ambayo mhalifu wake tayar keshakufa.

Maana binadamu kuishi zaidi ya miaka 118 ni kipengele Sana.

Sasa miaka mia mzee wangu ni kipengele.
 
Mauaji ya Milembe Suleimani
Hawa wauaji walikuwa smart, jinsi walivyo mlaghai hadi kumpeleka site,
Kuzuia mawasiliano, kuficha simu na vifaa au silaha
Lakini wakasahau chupa ya fanta, na wapelelezi walivoikuta wakachukua vinasaba na kugundulika kuwa aliishika mmoja wa mtuhumiwa na kilichofuata mambo yalikuwa kwenye mwanga wa jua kali
Mkuu unayo Swahili version ya Mwenendo wa ile kesi?
Hizi kesi zinapaswa kutupa mafunzo kama ile kesi ya Ugaidi ya Mbowe iliyokuwa inarushwa Live kutoka Kisutu
 
Sure bro , kuna watu wana ona tanzania ndio dunia eti
Aaah wapi,
Kwanza Tanzania ndo rahisi kufanya uhalifu na ukapotea kimya kimya

maana uku ata serikali yenyewe Haina bajeti ya kufanya upelelezi.

Yaani upelelezi WA bongo unategemea na mfuko WA aliefanyiwa uhalifu ukoje.

Bongo Sio ajabu umepeleka kesi kituoni, afu afande mwenye kesi Yako anakuomba Ela ya vocha ampigie mgambo ili muongozane mkamkamate mhalifu

Na usipotoa Ela ya vocha, mhalifu akamatwi 😀
 
Back
Top Bottom