Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mkui movie na series zinakuharibuBurudani ya serial killer huwa ni kuona jinsi gani polisi Wana hangaika kumtafuta.
Kinachowaponza serial killer wengi Huwa ni kulewa sifa, hapo ndo uwa wanakamtwa
[emoji3][emoji3]Mkui movie na series zinakuharibu
Amejishushia heshima Deep PondAkitazama movie anajua ndo uhalisia
Ilikuwa ya mwaka Gani? na Taifa ganiZipo nyingi tu ambazo ushahidi haukuepo.
Nikikutajia ya Jack the Ripper utasema ni ya zamani teknolojia haikua imetanuka.
Nakupa hii. Kasome kesi ya mtu anaitwa Kenneth McElroy, anapigwa risasi na kuna watu zaidi ya 40 wanaona, hakuna aliyeita ambulance na wakati anapigwa risasi alikua na mke wake na hakuna ushahidi uliowahi kupatikana kua kauawa.
1981. MarekaniIlikuwa ya mwaka Gani? na Taifa gani
Na hii ndo vibaka utumia hii advantage utapigwa mzinga hadi uchoke mara wauingie vijana wese,vocha,andaa usafiri.Aaah wapi,
Kwanza Tanzania ndo rahisi kufanya uhalifu na ukapotea kimya kimya
maana uku ata serikali yenyewe Haina bajeti ya kufanya upelelezi.
Yaani upelelezi WA bongo unategemea na mfuko WA aliefanyiwa uhalifu ukoje.
Bongo Sio ajabu umepeleka kesi kituoni, afu afande mwenye kesi Yako anakuomba Ela ya vocha ampigie mgambo ili muongozane mkamkamate mhalifu
Na usipotoa Ela ya vocha, mhalifu akamatwi 😀
Muuaji hajipelelezi mkuu.Ila mzee wa chadema yule imeshindikana
La duniaKombe Gani?
Unaweza kumkurupua mtu kwenye meza ya kusomea, kisha ukatengeneza tukio la kujitoa uhai, na kisha urudishe kila kilichovurugika mahala pake, kama ilivyokuwa?? Hata kama ni ganda la pipi??Haha! nipeni mimi hiyo shughuli muone kama nitaacha alama mtajuta!