BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hawapo, wewe huwajui wanawake wewe,Wanaume na wanawake wasiochepuka wapo.
Mjadala unaweza kufungwa sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapo, wewe huwajui wanawake wewe,Wanaume na wanawake wasiochepuka wapo.
Mjadala unaweza kufungwa sasa!
Nani anaekwambia asilimia 99:9 wanagongwabaya wewe endelea kujifariji na omba mungu sana yasije kukukutaMnawagonga wasiojitambua.. Na kumbuka karma is bitch.. What goes around comes around.. Mtenda hutendwa!
usiamini mwanamke hata kama ni mama yako mzaziUnaposema "wote" Ni kwamba mpaka mama yako ulishamshuhudia akichepuka?
Hakuna kitu kama icho ndugu yangu mwanadamu ni kiumbe ambacho kimekamilika swala la kusema hakijakamlika si dhani kama Mungu angemuamini adamu sisi wanadamu tumekamilika na kisichokamilika ni kilemavu tu kama wewe akili unayo ndugu yangu umekamilika kabisakama binadamu,
tunategemeana na kwakweli tunayo mapungufu ya kiasili,
ni muhimu kustahimiliana, kuvumiliana na kusitiriana.
Tafadhali tuchukuliane kulingana na mapungufu na makosa ya kibinadamu,
tusimlaumu sana shetani,
ni muhimu kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu, na tujirekebishe na tukiweza tuache michezo hiyo, turidhike na tulichonacho 🐒
Mungu alishakamilisha kazi yake gentleman,Hakuna kitu kama icho ndugu yangu mwanadamu ni kiumbe ambacho kimekamilika swala la kusema hakijakamlika si dhani kama Mungu angemuamini adamu sisi wanadamu tumekamilika na kisichokamilika ni kilemavu tu kama wewe akili unayo ndugu yangu umekamilika kabisa
idadi yao sasa!
watu wawe tayari kwa lolote
Yaani siku ukiamini haya maneno unaweza ukajinyonga usije ukamwamini mwanamke hata siku kwenye maisha yako ebu tuchukulie mfano mwanamke hujamkuta na bikira huyo alie mtoa unamjua?Hawapo, wewe huwajui wanawake wewe,
Hamna mkuu!hii kanuni naijua,lakini sisemei kwanini watu wanachepukiana,bali nasema jinsi ke kwa asili ni wa hepukaji
Mwanaume je yupo?Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Vipi kuhusu mama yako mkuu? Anachapwa nje au? Watu wanaifumua tu. 😀😀😀Uko sahihi ila utpihwa vita humu, watu wana watrust sana wake zao, ila ukweli hawaujui, never trust a woman
Sasa hapo kuna mwanamke. Mwanamke unainamishwa kwenye mwembe. Hiyo ni takataka na Inaonekana we na jamaa yako wote wa hovyo.
Huyu hajaolewa badoMke mtarajiwa wa jamaa yangu jana nimempita kainamishwa kwenye mwembe alivoniona akashtuka akaniambia nisimwambie jamaa... Bado kama miezi miwili wafunge ndoa.
Yes,
Acha tu shee🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿Shemegiiii unakimbilia wapi?
acha uongoKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona